Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app

😂 😂 Mbona mnatumia nguvu kubwa sana tatizo ni nn?

This year hakuna uchaguzi tu nadeal na Corona tu, mambo yenu ya siasa mkae nayo nyumbani kwenu
 
Ili kupata kambi rasmi inatakiwa ufikishe asilimia 12.5 ya wabunge wote ambao ni 264 majimbo yote ambapo ni kupata wabunge angalau 33 wa majimbo kitu ambacho NCCR hawawezi kufikisha.
Chadema wao walipata kama 35+.
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app

2020
 
Chubuku on air,njoo chukua buku Saba hapa Lumumba
 
Wait and see Nccr mageuzi walianza mipango Siku nyingi wakati nyie mnazirura mahakamani
Ili kupata kambi rasmi inatakiwa ufikishe asilimia 12.5 ya wabunge wote ambao ni 264 majimbo yote ambapo ni kupata wabunge angalau 33 wa majimbo kitu ambacho NCCR hawawezi kufikisha.
Chadema wao walipata kama 35+.

2020

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema haipati mbunge hata mmoja mkuu[emoji3]mtafute kazi nyingine ya kufanya
Endelea kuota! NCCR hakitopata zaidi ya viti 3. Mark my words! Vyama vitakavounda kambi ya upinzani ni Chadrma ikifuatiwa na ACT. In fact kuna hatari hata hicho kiti kimoja kama NCCR watapata kama hawatashirikiana na CHADEMA. na ACT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mwanachama wa Chadema mmoja Huwezi kutuzuia sisi Watanzania tusichague Nccr mageuzi

Chadema mwafa [emoji3]
Ungejikita zaidi kwa Mbatia ningeweza kukuelewa lakini wewe issue yako hapa ni Mbowe...umesahau kuwa Mbowe hana bei lakini Mbatia wako kwa sasa ana uhuru wa kufanya mikitano na kupewa ulinzi....BIG NO...hapo hatudanganyiki tuletee mwingine tumpime.
KUB anaerubunika hatatufaa....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapoandika historia ya Upinzani Tanzania Huwezi kumwacha Mbatia, lau muhamiaji kutoka kongo Wewe
Mkuu, Wewe uliye mtanzania hebu ielezee historia ya upinzani Tanzania na waasisi wake. Faida ikiwa ni kuelimishana na kuongeza uelewa na sio kulumbana tu bila tija

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna like hats moja mpaka sasa hiyo tu ikutoshe kutambua mapenzi ya watanzania kwa mbowe.
 
Unapoandika historia ya Upinzani Tanzania Huwezi kumwacha Mbatia, lau muhamiaji kutoka kongo Wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

MUASISI (sic) neno sahihi ni mwasisi maana yake ni mtu mwenye kuanzisha jambo fulani
Kwa maana ya neno mwasisi kama ulivyooneshwa hapo juu wafuatao ndio waasisi wa Upinzani Tanzania baada ya mfumo wa chama kimoja kuwepo Tanzania tokea 1963
1. James Benard Mapalala Chama Cha Wananchi
2. Christopher Kasanga Tumbo Union for Multiparty Democracy
3. Chief Abdallah Fundikira union for Multiparty Democracy
4. Shaban K. Mloo KAMAMURU
5. Mtikila Christopher -Democratic Party

MAMAHURU na Chama Cha wananchi viliungana baada ya vyama vungi kuruhusiwa na kuundwa cha cha CIVIC United Front CUF Chama Cha Wananchi

NCCR historia yake ilikuwa ni wahadhiri wa kitivo cha sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es salaam na baadhi ya wanasheria, NCCR ilianza kama vuguvugu la kudai katiba mpya , National Convention for Constitutional Review baada ya vyama vipya kuruhusiwa ndio kikaanzishwa chama NCCR Mageuzi

Mfumo wa vyama vingi uliruhusiwa 1992 wakati huo njia ilikuwa imesha tengenezwa na waasisi waliotajwa hapo juu
 
We jamaa unahangaika sana.😁😁😁😁😁
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbatia no opportunist no one. Hafai
 
Back
Top Bottom