NCCR mageuzi haitopata hata viti 3 vya ubunge. Mark my words. Kama CCM.wana imani basi wangewaachia viti vya ueakilishi wapinzani Zanzibar baada ya CUF kususia uchafuzi wa marudio ili kupata judtification ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa. CCM wana roho mbaya kumzidi shetani mwenyewe!
SawaMbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical
Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu
Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo
Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania
Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara
Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Mujibu wa MWL. J.K.Nyerere huyo mtu wako anaitwa mwanasiasa Malaya malaya. Anatongozwa na wanaume anakubali tuu. Hao Wanasiasa malaya malaya hatuta waruhusu watuvurugie nchi pamoja na mabwana zao inzi wa kijani. Ni aibu sana janaume zima kutongoxwa halaf unakubali nipo tayar *****.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakwambia? Nyambafu kabisaaaMbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical
Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu
Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo
Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania
Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara
Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kijiji chenu huko..Lakini vyama ndo hivyo vi3 nilivyokutajia.Ni mwendawazimu tu au mwenye maslahi binafsi ndio ataweza kusimama mbele ya umati na kujaribu kuaminisha unachofanyaNccr mageuzi ina wanachama mpaka vijijini wametulia wanawaangalia tu Chadema mlivyo na mihemuko mtandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kijiji chenu huko..Lakini vyama ndo hivyo vi3 nilivyokutajia.Ni mwendawazimu tu au mwenye maslahi binafsi ndio ataweza kusimama mbele ya umati na kujaribu kuaminisha unachofanya
MBATIA HAJAWAHI KUWA MUASISI WA UPINZANI TANZANIA.Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical
Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu
Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo
Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania
Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara
Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuangalii ukongwe mkuu ,tunaangalia kwa sasa kikoje?......Hivi mbona haka kauzi uchwara nakipa uzitooo!!!
ndio maana urali kisa chadema
Hatuangalii ukongwe mkuu ,tunaangalia kwa sasa kikoje?......Hivi mbona haka kauzi uchwara nakipa uzitooo!!!
MBATIA HAJAWAHI KUWA MUASISI WA UPINZANI TANZANIA.
KASOME HISTORIA, ELIMU YA URAIA NA SIASA YA TANZANIA ITAKUWEZESHA KUWAJUA NI AKINA NANI WAASISI WA UPINZANI TANZANIA
Huyo Mbatia hta ubunge wenyewe kuupata uchaguzi ujao mtihani
Mkuu, Wewe uliye mtanzania hebu ielezee historia ya upinzani Tanzania na waasisi wake. Faida ikiwa ni kuelimishana na kuongeza uelewa na sio kulumbana tu bila tija
Sasa umekuwa speaker wa Mbatia. Jenga nyumba yako kwanza ndipo uhangaike na ya jirani yako.Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical
Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu
Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo
Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania
Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara
Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuota! NCCR hakitopata zaidi ya viti 3. Mark my words! Vyama vitakavounda kambi ya upinzani ni Chadrma ikifuatiwa na ACT. In fact kuna hatari hata hicho kiti kimoja kama NCCR watapata kama hawatashirikiana na CHADEMA. na ACT.Nccr mageuzi kitashika namba mbili kwa idadi ya wabunge baada ya Ccm na Ndio kitaunda kambi ya Upinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungejikita zaidi kwa Mbatia ningeweza kukuelewa lakini wewe issue yako hapa ni Mbowe...umesahau kuwa Mbowe hana bei lakini Mbatia wako kwa sasa ana uhuru wa kufanya mikitano na kupewa ulinzi....BIG NO...hapo hatudanganyiki tuletee mwingine tumpime.Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical
Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu
Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo
Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania
Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara
Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app