Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Hujui KUB anapatikanaje we bashite ndo maana unasema Mbatia atakuwa KUB. Atapata wapi 20% ya wabunge?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbatia anaakili kubwa kuliko mbowe na kundi lake sema siasa zake nisofti sana alipaswa kukaza kidogo pia haifai MTU kuwa mkaidi uzeeni huyu anakaribia miaka 60 angetafutwa/ angetengenezwa kijana wa miaka ya 40 hapo. Mbowe siyo KUB mzuri inafaa asirudi tens kwenye hichokiti
 
Mbatia ana akili sana, Mbowe uwezo wake ni mdogo sana

Mbowe harudi tena bungeni
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ukweli uliowazi kuwa Mbatia anakwenda kuwa KUB uchaguzi wa mwaka huu hii ni kutokana na chadema sisi chama chetu kimefubaa na kukimbiwa tumebaki hatuna mtaji wa kutosha baada ya wanaharaki njaa kutukimbia na inavyoonekana kule Zanzibar ACT wazalendo watakuwa wapinzani wakuu na sisi huku bara NCCR Mageuzi kuchukua kiti hicho

Kosa kubwa tulilolifanya sisi kama chama ni kuruhusu wanaharakati kujaa na kuonekana ndio wapigania haki tukawathamini hao na kuwaacha wanasiasa ombi langu ni mzee Mbatia usikubali hayo yatokee na kuharibu upinzani hapa nchini.kina mdude.tundu.waitara.kigogo.fatuma.msigwa.mchage.lema .Jacob .Jericho bensaa8 na watu kama hao ni kelele tu mh Mbatia usikubal hili


Nakutakia kazi njema ya kujenga upinzani bora baada ya sisi chadema kuuchezea na kukimbia mijadala bungeni


Kukumweupe

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kajifunze kwanza kuandika kisha ndio uje uharishe hapa jukwaani. Ukishajua matumizi sahihi ya nukta ndio uje uongee na wanaume.
 
Unayajua ya kesho? Wewe Mungu?? Mungu akimchukua je?
 
Hakuna kilaza nchi hii kama mbowe boss wako alilamba zero sawa na mmeo


Kukumweupe

Sent using Jamii Forums mobile app

Uko sahihi kabisa, ila Mbowe akiandika anaweza kuweka koma na nukta. Umeanza mwezi uliopita lakini unapanick vibaya sana, utauweza huu mziki wa humu ndani, au walete polisi wakupe mbeleko kama kawaida ya ccm?
 
Chama mboga mboga mnashida kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…