Huyo pandikizi kwa hiyo anajitahidi kujaza upupu mwingi ili a justify malipoMkuu una speed ya sonic.....juzi tu tarehe 14 mwezi huu........leo msg 642.....😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo pandikizi kwa hiyo anajitahidi kujaza upupu mwingi ili a justify malipoMkuu una speed ya sonic.....juzi tu tarehe 14 mwezi huu........leo msg 642.....😀
Chadema tv? Kwani wanayo? Maana wabunge wanalamika kukatwa mishahara yao ili kuchangia chama. Ina maana pesa zinapigwa na mtu mmoja tu.Mod wangekuwa na akili km zako huwenda jamii forum isingekuwepo leo
Jamii forum ni kwa Watanzania wote sio mali ya Chadema
Kama hutaki mawazo km haya kaangalie Chadema t.v.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ibariki JFMbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical
Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu
Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo
Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania
Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara
Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app
=============
Maoni Zaidi
Hakika !Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical
Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu
Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo
Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania
Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara
Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app
=============
Maoni Zaidi
Uliona mbali sana ndugu!Bia yetu, Una chekesha walio kufa wewe!!
Kwanza ubunge ana patia wapi?
Ili aje kuwa KUB??
AMESHA ELEWEKA mrengo wake. Asubiri aje kupewa viti maalum.
Sent using Jamii Forums mobile app
MAGU MUHUNI SANA ALIMTAPELI HUYU BABA KUWA ANAMPA KUWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI...MATOKEO YAKE KAPITWA KURA HADI NA CHAUMMAHuyo pandikizi kwa hiyo anajitahidi kujaza upupu mwingi ili a justify malipo
Yuko wapi sasahivi?Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical
Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu
Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo
Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania
Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara
Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app
=============
Maoni Zaidi
CCM ni kama fisi mzee haina rafiki wa kudumuMAGU MUHUNI SANA ALIMTAPELI HUYU BABA KUWA ANAMPA KUWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI...MATOKEO YAKE KAPITWA KURA HADI NA CHAUMMA
Hahaha ukiona mtu anatumika na kundi moja anaweza pia kutumika na kundi jingine. Na huyo huyo sio salama kwa afya ya kundi lako asilani abadani😁ila ccm sina hamu nao wame m fix hadi kibaraka wao mbatia ha ha ha ha saizi sijui atafanya biashara gani
Kamanda usitoe machozi Mbatia ameanza kuwa mbunge wakati wewe hujazaliwa
Usikimbie October tukutane hapa nitakuambia Nccr ina wabunge wangapi
Sent using Jamii Forums mobile app