Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Mod wangekuwa na akili km zako huwenda jamii forum isingekuwepo leo

Jamii forum ni kwa Watanzania wote sio mali ya Chadema

Kama hutaki mawazo km haya kaangalie Chadema t.v.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema tv? Kwani wanayo? Maana wabunge wanalamika kukatwa mishahara yao ili kuchangia chama. Ina maana pesa zinapigwa na mtu mmoja tu.
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app

=============
Maoni Zaidi
Mungu ibariki JF
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app

=============
Maoni Zaidi
Hakika !
 
Mbatia kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni ni kiini macho tu japo ni mahiri katika kujenga hoja maridhawa.Hajawa na ujasiri wa kuisulubisha serikali na kamwe hataweza kuwa mpinzani wa dhati,mpinzani wa kweli anajinazibu kwa hoja na matendo yake.Mbatia anakuzwa tu
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app

=============
Maoni Zaidi
Yuko wapi sasahivi?
 
ila ccm sina hamu nao wame m fix hadi kibaraka wao mbatia ha ha ha ha saizi sijui atafanya biashara gani
Hahaha ukiona mtu anatumika na kundi moja anaweza pia kutumika na kundi jingine. Na huyo huyo sio salama kwa afya ya kundi lako asilani abadani😁
 
Back
Top Bottom