James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

Mwezi huu December serikali imekusanya trilion 2.5,, record breaking

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mwezi huu December serikali imekusanya trilion 2.5,, record breaking

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kwanini walikopa 1.3 kujenga vyoo kama pesa hiyo ilikusanywa.

Au ni lazima tu tukope hata kama hatuhitajiki kukopa.

Hapa tutaanza kuulizana kwamba kama hela zipo halafu bado tunajilazimisha kukopa basi kutakua na watu wananufaika na hiyo mikopo inayokopwa kwa lazima.

Nashauri tusiwe tunakopa kama fedha tunazo za kutosha.
 
Mbatia ali ingizwa king na mwenda kuzimu kwamba chama chake kitakuwa chama kikuu cha upinzani akapandisha mabega. Kumbe aliingizwa choo cha kike, alicho kutana nacho kwenye uchaguzi ana jua yeye na alie mkuta huko chooni. Magu kitu ingine
Unaendeleza upunguani wa kuchanganua mambo anaouzungumzia Mbatia, jadili hoja zake wacha kelele zako.
 
James Mbatia, Ni aibu kwa viongozi karne hii ya ishirini na moja kujenga vyoo kwa pesa za 7mkopo wa uviko halafu wanaandika kwenye ukuta wa Choo "Ahsante uviko 19" kama jambo la Furaha kumbe ni vichekesho
Ni hivi, ile pesa ilikua itumike kuoam ana na uviko,,, sasa wao wakati wakiomba walitoa hoja kuwa huwezi kupambana na uviko bila ku create awareness,
Yaani Elimu ndicho chombo kina create awareness,, so miundombinu ya kuwezesha elimu ndo ni pamoja na madarasa na vyoo,,
Hiyo hoja ilueleweka kwa watoa pesa na wakatoa pesa wakijiua itaenda pia kuimarisha elimu kwa kuboresha miundombinu ya elimu,
SSH aliliweka hili wazi..

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Tozo ndo ilianza kabla ya oppotunity ya pesa za covid,,, lakini tozo haingeweza kujenga kwa haraka nationalwide,
So fursa ya mkopo wa covid ilipikuja,, wakatake advantage,
From day one mkopo wa covid ilikuwa uende pia kuimarisha elimu,, hata Rais alisema hilo siku anasaini

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
NOTED: Pesa za mkopo tena kiasi kikubwa "KUTUMBUKIZWA KWENYE MIRADI ISIYOZALISHA"
kujenga choo, madarasa, huduma za afya, walipaji ni wale wale wananchi na uwezo wao wa
awali hafifu wa kuzalisha...

Hakika Ndugai yuko sahihi sana anatutetea sisi wananchi....
 
Hakuna ulazima huo wa kutumia fedha za mikopo kwa ajili ya kujenga vyoo.

Kama unatumia akili sawa kufikiri utalitambua hilo ila kama unaamua kujitoa ufahamu na kuendeleza mjadala kutetea matumizi ya fedha za mikopo kujenga vyoo nitakua nimemalizana na wewe.
 
Yeye mwenyewe amshukuru sana jakaya
Ndio matatizo haya haya anayowaambia Mbatia badala ya kujadili hoja mmafanya personal attack. Sasa amshukuru Jakaya kwa lipi? Kuwa mawenyekiti wa NCCR au kuzaliwa kwake? Usinambie kwa sababu ya ubunge wa enzi zile utakua umeshindwa kujadili hoja.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mkopo wote umeishia kwenye mradi wa elimu bure.
Walipaji ni akina nani kwani wakimaliza vyup hakuna ajira na hawana ujuzi waliotoka nayo vyuoni?
 
Yeye mwenyewe amshukuru sana jakaya
umerudia kosa lile lile alilolisema mbatia kuwa watanzania wanalifanya. Badala ya kujadili hoja mnafanya personal attack kwa mtoa hoja
 
Bunge la mazuzu
 
Hii covd na Nani zake ziangaliwe vizuri!

Isije kuwa kazi moja wapo wa hizo niniliu ni kupunguza uwezo wa akili
 
James Mbatia, Ni aibu kwa viongozi karne hii ya ishirini na moja kujenga vyoo kwa pesa za 7mkopo wa uviko halafu wanaandika kwenye ukuta wa Choo "Ahsante uviko 19" kama jambo la Furaha kumbe ni vichekesho
Aaaah,mkuu hizo...Mimi siamini mpaka nione kwa macho yangu hiyo ...Ahasante Uviko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…