James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

Bado hujaelewa,, nadhani uko mzito kidogo,, ntakuelewesha taratibu,,
Hizi pesa za uviko, zimetolewa kwa nchi nyingi tu, wengine wamenunua chanjo na vitu vingine,
Sisi specifically tuliomba na TUKAKUBALIWA kwamba hizo pesa zikatumike pia kuboresha, ELIMU NA AFYA,
Hayo aliyasema Rais mwenyewe,
So vyoo mashuleni ni mmoja ya miundombinu ya elimu,,
Watoto wetu hawawezi kusoma vizuri huku wanaenda haja vichakani,,
Umeelewa au bado? [emoji44][emoji44]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Serikali imekusanya 2.9 kwa mwezi disemba meaning fedha zipo.

Kuna ulazima gani wa kuchukua 1.3 ili kujenga vyoo??
 
Hakuna ulazima huo wa kutumia fedha za mikopo kwa ajili ya kujenga vyoo.

Kama unatumia akili sawa kufikiri utalitambua hilo ila kama unaamua kujitoa ufahamu na kuendeleza mjadala kutetea matumizi ya fedha za mikopo kujenga vyoo nitakua nimemalizana na wewe.

..I agree with u. hata mimi natatizwa na uamuzi wa serikali.

..hata mwananchi wa kawaida hachukui mkopo kujenga choo.

..tunachukua mikopo kufanyia shughuli zitakazotuongezea kipato na kutuhakikishia ziada ya kurudisha mikopo.
 
Tozo ndo ilianza kabla ya oppotunity ya pesa za covid,,, lakini tozo haingeweza kujenga kwa haraka nationalwide,
So fursa ya mkopo wa covid ilipikuja,, wakatake advantage,
From day one mkopo wa covid ilikuwa uende pia kuimarisha elimu,, hata Rais alisema hilo siku anasaini

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mkopo wa covid!! Hatujui kunawa?
Vitakasa mikono ni bei gani?
Barakoa bei gani?
Tuache umamuma!
 
Kwakweli inashangaza sana fedha za mkopo wanajengea madarasa na vyoo

Wakati tuliambiwa tozo hiyo ndio kazi yake.

Tozo inatumika katika nini???

Kwanini serikali badala ya kujikita katika kukusanya mapato inakimbilia kukopa tu??

Kwanini serikali inawaogopa wafanyabiashara mpaka wakipandisha bei kiholela ipo kimya tu??

Je ndio tuseme kwamba wafanyabiashara ndio wanaoongoza nchi kwa sasa??
Pesa za tozo si mnalipwa nyie vijana wa buku saba. Au
 
Lakini tuwe wakweli Wajameni, kwa nini kila heri ya Mradi ilitolewa anapewa shukurani Rais????. Hizo hela ni zake!!
 
Mkopo wote umeishia kwenye mradi wa elimu bure.
Walipaji ni akina nani kwani wakimaliza vyup hakuna ajira na hawana ujuzi waliotoka nayo vyuoni?
Si kweli soma [emoji116]
Screenshot_20220102-183305.jpg
Screenshot_20220102-183349.jpg


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Setikali imekusanya trilioni 2.9 kwa mwezi disemba na bado ikakopa 1.3 kujenga vyoo.

Kama 2.9 ilikuwepo kwanini tukope 1.3 kujenga vyoo??
Trilion2.9 imepatikana mwezi desemba je wakati hiyo pesa ya uviko imepatikana mwezi disemba ulikuwa umefika?

Lakini tukiachana na hilo kwani changamoto zetu Kama Nchi zimekwisha si bado zipo nyingi hiyo hela iliokusanywa itatumika katika kutatua matatizo mengine
 
Kwahiyo ingekosa hiyo covid vyoo visinge jengwa?.

R.I.P Jembe.
 
Unashindwa kujenga vyoo kwa fedha za ndani. Vyoooo
Sio vyoo tu na madarasa hili ni tatizo la muda mrefu Rais ameamua kulipatia ufumbuzi kwani wewe ujui toka enzi za Mzee Mwinyi tunaupungufu mkubwa wa vyumba vya madarasa, madawati,matundu ya vyoo na nyumba za walimu?
 
Tumeruhusu wajinga wengi kujaa kwenye siasa ambapo ndio kwenye ngazi za maamuzi..vijana graduates ingieni kwenye siasa kwa wingi muwezavyo mkaokoe hili jahazi.

Mapunguani yanatuhalibia nchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom