James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

Kwakweli inashangaza sana fedha za mkopo wanajengea madarasa na vyoo

Wakati tuliambiwa tozo hiyo ndio kazi yake.

Tozo inatumika katika nini???

Kwanini serikali badala ya kujikita katika kukusanya mapato inakimbilia kukopa tu??

Kwanini serikali inawaogopa wafanyabiashara mpaka wakipandisha bei kiholela ipo kimya tu??

Je ndio tuseme kwamba wafanyabiashara ndio wanaoongoza nchi kwa sasa??
Kwani ujui tozo ni vijisent vya kununulia tu toilet papers za kuchambia IKULU ,
 
Ni hivi, ile pesa ilikua itumike kuoam ana na uviko,,, sasa wao wakati wakiomba walitoa hoja kuwa huwezi kupambana na uviko bila ku create awareness,
Yaani Elimu ndicho chombo kina create awareness,, so miundombinu ya kuwezesha elimu ndo ni pamoja na madarasa na vyoo,,
Hiyo hoja ilueleweka kwa watoa pesa na wakatoa pesa wakijiua itaenda pia kuimarisha elimu kwa kuboresha miundombinu ya elimu,
SSH aliliweka hili wazi..

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hahaha ujenzi wa vyoo na uviko wapi na wapi?
 
Mama ametuletea mabilioni tumejenga madarasa🖕🖕 Hii nchi tunahitaji wa Watu kama Alphonce Mawazo,Mbowe,Lema,Lissu ...
 
Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi bwana James Mbatia akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Leo hii ametolea ufafanuzi wa mambo mbalimbali yaliyojitokeza kwenye hotuba ya Rais na kauli ya Spika Job Ndugai

Mosi, Suala la akiba ya pesa za kigeni ameiomba serikali wabadili kauli yao ya kuwa tuna dola za marekani bilioni elfu sita yaani kimahesabu ni trilioni sita, China tu kama Taifa lenye pesa nyingi za kigeni wana dola za marekani trilioni tatu tu

Mheshimiwa Mbatia amesisitiza mahesabu ni tatizo kubwa sana kwa viongozi wetu kwani hata pesa za mkopo wa uviko wanazojengea vyoo vya wanafunzi wanamshukuru Rais kwa msaada wakati hilo ni deni la Taifa, Hata Rais akiondoka kama alivyoondoka Magufuli na deni kubwa la Taifa, Deni la Taifa ameliacha kwa wananchi na serikali yao

Wananchi ndio watatakiwa kulipa madeni haya tena kwa pesa za kigeni, Hivyo James Mbatia anashangaa Rais kusema Tutaendelea kukopa bila kuangalia nani atalipa madeni haya ambayo pesa zake hazizalishi kitu, Mbatia amesisitiza ni lazima kuangalia uwezo wa wananchi kulipa madeni hayo

James Mbatia, Ni aibu kwa viongozi karne hii ya ishirini na moja kujenga vyoo kwa pesa za mkopo wa uviko halafu wanaandika kwenye ukuta wa Choo "Ahsante uviko 19" kama jambo la Furaha kumbe ni vichekesho

James Mbatia, Ni aibu viongozi wa serikali toka ngazi ya Taifa mpaka kata kila wakati kusema ahsante Rais umetoa pesa za flyover, mara barabara mara afya wakati ni pesa za watanzania na hata kama ni mkopo ni deni la watanzania. Rais yeye hana pesa za kujenga barabara au flyovers labda kama Rais anauza madawa ya kulevya

Pili, Ni upunguani umeshajijenga na tunazidi kuharibu watoto wa Taifa hili kutokana na upunguani wa viongozi wetu ambao wanashindwa kuelewa maana ya mkopo na deni la Taifa, James Mbatia amesisitiza baada ya watu kujibu hoja za Job Ndugai wao wanatafuta personal attack kwa Ndugai

James Mbatia, Anasisitiza upunguani wa viongozi ndio unapelekaea watu kushindwa kujibu hoja na kukimbilia kumtukana Job Ndugai, Tatizo la upunguani linawafanya viongozi washindwe kupima hoja kama Job Ndugai amekosea, Je usahihi ni upi amehoji bwana Mbatia

Tatu, James Mbatia amesisitiza somo la hesabu hata Bungeni ni tatizo kwa wabunge wengi sana, Ndio maana mambo yanaposomwa kuhusu hesabu wengi hawaelewi, James Mbatia amesisitiza Kuwa viongozi wanaandaliwa
Pasipo kutaka kuingilia uhuru wa mtu katika suala zima la uhiyari wa kuchanja ama kutokuchanja. Naona kama wale wazee wezangu waliokwisha kuchanjwa kama vile tayari madishi yameanza kupata moto na kuuanza kulumbana hadharani pasipo hata kuchukua tahadhari zozote zile.

JPM alisisitiza mno kuhusu usalama wa chanjo hizi kabla ya kuanza rasmi kuzitumia hapa nchini. Ujue si jambo la kawaida kwa wakuu wa mihimili ya dola, viongozi mbalimbali wa kisiasa na taasisi za serikali kujiingiza katika malumbano hadharani pasipo kutafuta namna sahihi ya kufanya hivyo.

Kumbuka UIVIKO 19 bado upo viungani mwetu, kwa hiyo yatupasa sote kuchukua tahadhari zote kuendana na itifaki na kanuni pendekezwa za kiafya.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Tozo ndo ilianza kabla ya oppotunity ya pesa za covid,,, lakini tozo haingeweza kujenga kwa haraka nationalwide,
So fursa ya mkopo wa covid ilipikuja,, wakatake advantage,
From day one mkopo wa covid ilikuwa uende pia kuimarisha elimu,, hata Rais alisema hilo siku anasaini

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app

wenzako hawana muda wa kusikiliza maelezo, wao kazi yao ni kupotosha na kusimamia upotoshaji wao....kifupi tuko kwenye siasa za propaganda ili kuwin popurality..

Asante kwa kutoa maelezo mazuri..
 
Hahaha ujenzi wa vyoo na uviko wapi na wapi?
Rejea hotuba ya SSH siku wanapokea pesa, alisema nchi nyingi ziliomba hiyo oesa ya uviko, ila Tanzania waliomba hiyo oesa itumike kuboresha elimu na Afya,, na walikubaliwa,,
So logically kuboresha vyoo na madarasa mashuleni inaitwa kuboresha elimu,
Mi sioni kosa hapo, iliekezwa tangu mwanzo kabisa

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini walikopa 1.3 kujenga vyoo kama pesa hiyo ilikusanywa.

Au ni lazima tu tukope hata kama hatuhitajiki kukopa.

Hapa tutaanza kuulizana kwamba kama hela zipo halafu bado tunajilazimisha kukopa basi kutakua na watu wananufaika na hiyo mikopo inayokopwa kwa lazima.

Nashauri tusiwe tunakopa kama fedha tunazo za kutosha.
Huyu mama ana serikali yake waongo subiri watakaposhindwa kulipa mishahara ndo mtaamini kuwa tumekabidhi nchi kwa mapungu...ni!
 
Ni hivi, ile pesa ilikua itumike kuoam ana na uviko,,, sasa wao wakati wakiomba walitoa hoja kuwa huwezi kupambana na uviko bila ku create awareness,
Yaani Elimu ndicho chombo kina create awareness,, so miundombinu ya kuwezesha elimu ndo ni pamoja na madarasa na vyoo,,
Hiyo hoja ilueleweka kwa watoa pesa na wakatoa pesa wakijiua itaenda pia kuimarisha elimu kwa kuboresha miundombinu ya elimu,
SSH aliliweka hili wazi..

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu.
 
Hakuna ulazima huo wa kutumia fedha za mikopo kwa ajili ya kujenga vyoo.

Kama unatumia akili sawa kufikiri utalitambua hilo ila kama unaamua kujitoa ufahamu na kuendeleza mjadala kutetea matumizi ya fedha za mikopo kujenga vyoo nitakua nimemalizana na wewe.
Iliombwa mahsusi itumike pia kuboresha elimu, na ilielezwa, nashindwa kuona mnafail wapi kuelewa hii simple explanation.. [emoji23]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna ulazima huo wa kutumia fedha za mikopo kwa ajili ya kujenga vyoo.

Kama unatumia akili sawa kufikiri utalitambua hilo ila kama unaamua kujitoa ufahamu na kuendeleza mjadala kutetea matumizi ya fedha za mikopo kujenga vyoo nitakua nimemalizana na wewe.
Eti umemalizana nami,, so ulitaka wanafunzi wanyee maporini?,
Sio kila mtu amelelewa kibushman mkuu,,
Vilevile kunya vichakani ni very unhygienic... [emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Iliombwa mahsusi itumike pia kuboresha elimu, na ilielezwa, nashindwa kuona mnafail wapi kuelewa hii simple explanation.. [emoji23]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Lakini bado huo ni mkopo na matumizi ya mkopo huo ni kujenga vyoo.

Kama unatetea tukope ili tujenge vyoo mkuu utakua na tatizo kubwa sana lakini hutaki kutambua kuwa unalo.
 
Lakini bado huo ni mkopo na matumizi ya mkopo huo ni kujenga vyoo.

Kama unatetea tukope ili tujenge vyoo mkuu utakua na tatizo kubwa sana lakini hutaki kutambua kuwa unalo.
Kwa hiyo wewe ulitaka vyoo na madarasa yasijengwe ili tatizo la watoto kukosa nafasi za masomo liendelee?
 
Punguani mkuu namjua[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2066197
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
"Wanamshukuru Rais kwa msaada wakati hilo ni deni la taifa" huu ndio upunguani wa wakuchanganua mambo.
Hasa Ummy Mwalimu anapenda sana kusema Rais katoa. Ila uenda SSH nae anademka na hii kauli.
 
Lakini bado huo ni mkopo na matumizi ya mkopo huo ni kujenga vyoo.

Kama unatetea tukope ili tujenge vyoo mkuu utakua na tatizo kubwa sana lakini hutaki kutambua kuwa unalo.
Bado hujaelewa,, nadhani uko mzito kidogo,, ntakuelewesha taratibu,,
Hizi pesa za uviko, zimetolewa kwa nchi nyingi tu, wengine wamenunua chanjo na vitu vingine,
Sisi specifically tuliomba na TUKAKUBALIWA kwamba hizo pesa zikatumike pia kuboresha, ELIMU NA AFYA,
Hayo aliyasema Rais mwenyewe,
So vyoo mashuleni ni mmoja ya miundombinu ya elimu,,
Watoto wetu hawawezi kusoma vizuri huku wanaenda haja vichakani,,
Umeelewa au bado? [emoji44][emoji44]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo wewe ulitaka vyoo na madarasa yasijengwe ili tatizo la watoto kukosa nafasi za masomo liendelee?
Setikali imekusanya trilioni 2.9 kwa mwezi disemba na bado ikakopa 1.3 kujenga vyoo.

Kama 2.9 ilikuwepo kwanini tukope 1.3 kujenga vyoo??
 
Back
Top Bottom