Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Kwani ujui tozo ni vijisent vya kununulia tu toilet papers za kuchambia IKULU ,Kwakweli inashangaza sana fedha za mkopo wanajengea madarasa na vyoo
Wakati tuliambiwa tozo hiyo ndio kazi yake.
Tozo inatumika katika nini???
Kwanini serikali badala ya kujikita katika kukusanya mapato inakimbilia kukopa tu??
Kwanini serikali inawaogopa wafanyabiashara mpaka wakipandisha bei kiholela ipo kimya tu??
Je ndio tuseme kwamba wafanyabiashara ndio wanaoongoza nchi kwa sasa??