James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

Rejea hotuba ya SSH siku wanapokea pesa, alisema nchi nyingi ziliomba hiyo oesa ya uviko, ila Tanzania waliomba hiyo oesa itumike kuboresha elimu na Afya,, na walikubaliwa,,
So logically kuboresha vyoo na madarasa mashuleni inaitwa kuboresha elimu,
Mi sioni kosa hapo, iliekezwa tangu mwanzo kabisa

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Aisee yani na wewe unakubali kujazwa namna hii na unakubali??
Inakuaje tena ni mkopo wa uviko kama inatumika kujenga chooo?

Surely mnaona ni sawa kukopa pesa kwa ajili ya kujenga vyoo???

Nachelea kutumia neno alilotumia Mbatia 🤣
 
Tozo ndo ilianza kabla ya oppotunity ya pesa za covid,,, lakini tozo haingeweza kujenga kwa haraka nationalwide,
So fursa ya mkopo wa covid ilipikuja,, wakatake advantage,
From day one mkopo wa covid ilikuwa uende pia kuimarisha elimu,, hata Rais alisema hilo siku anasaini

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mapunguani kama Ndugayi na Mbatia yana ajenda zao,sijui yalikuwa wapi kusema toka mwanzo.

Unaweza Dhani pesa imeliwa kumbe imesaidia watoto wa maskini lakini wa kwao hawasomi shule za serikali ndio maana wanataka wasijengewe madarasa.

Ni hayo hayo mapunguani yaliponga tozo yaani kiufupi hayana jema.

Mwisho serikali ilieleza vizuri badala ya kusubiria miamala kila baada miezi upate pesa ndio ikajenge wakaona watumie pesa za covid kwa haraka.

Sasa sijui maelfu ya watoto waliofaulu wangeendelea kusubiria tozo hadi mwezi wa 6 ndio waanze shule au hapana.

Ni mapunguani kama haya kina Mbatia na Ndugayi ndio hayasemi kwamba mkopo umenunua mashine za maji mikoa yote,umenunua ambulance na Vifaa tiba nchi nzima nk nk.
 
Ni mapunguani kama Hawa Hawa kina Mbatia na Ndugaye ndio wanaweza hoji jambo ambalo toka awali lilielezwa vizuri na Serikali,Hawa Wana lao jambo na nashauri washughulikiwe.

Mh.Rais isisikilize hao mapunguani Songa mbele.
 
Mbatia ali ingizwa king na mwenda kuzimu kwamba chama chake kitakuwa chama kikuu cha upinzani akapandisha mabega. Kumbe aliingizwa choo cha kike, alicho kutana nacho kwenye uchaguzi ana jua yeye na alie mkuta huko chooni. Magu kitu ingine
sasa hapo hoja yako ni ipi ukilinganisha na uzi uliopo au na wewe ni punguani?
 
Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi bwana James Mbatia akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Leo hii ametolea ufafanuzi wa mambo mbalimbali yaliyojitokeza kwenye hotuba ya Rais na kauli ya Spika Job Ndugai

Mosi, Suala la akiba ya pesa za kigeni ameiomba serikali wabadili kauli yao ya kuwa tuna dola za marekani bilioni elfu sita yaani kimahesabu ni trilioni sita, China tu kama Taifa lenye pesa nyingi za kigeni wana dola za marekani trilioni tatu tu

Mheshimiwa Mbatia amesisitiza mahesabu ni tatizo kubwa sana kwa viongozi wetu kwani hata pesa za mkopo wa uviko wanazojengea vyoo vya wanafunzi wanamshukuru Rais kwa msaada wakati hilo ni deni la Taifa, Hata Rais akiondoka kama alivyoondoka Magufuli na deni kubwa la Taifa, Deni la Taifa ameliacha kwa wananchi na serikali yao

Wananchi ndio watatakiwa kulipa madeni haya tena kwa pesa za kigeni, Hivyo James Mbatia anashangaa Rais kusema Tutaendelea kukopa bila kuangalia nani atalipa madeni haya ambayo pesa zake hazizalishi kitu, Mbatia amesisitiza ni lazima kuangalia uwezo wa wananchi kulipa madeni hayo

James Mbatia, Ni aibu kwa viongozi karne hii ya ishirini na moja kujenga vyoo kwa pesa za mkopo wa uviko halafu wanaandika kwenye ukuta wa Choo "Ahsante uviko 19" kama jambo la Furaha kumbe ni vichekesho

James Mbatia, Ni aibu viongozi wa serikali toka ngazi ya Taifa mpaka kata kila wakati kusema ahsante Rais umetoa pesa za flyover, mara barabara mara afya wakati ni pesa za watanzania na hata kama ni mkopo ni deni la watanzania. Rais yeye hana pesa za kujenga barabara au flyovers labda kama Rais anauza madawa ya kulevya

Pili, Ni upunguani umeshajijenga na tunazidi kuharibu watoto wa Taifa hili kutokana na upunguani wa viongozi wetu ambao wanashindwa kuelewa maana ya mkopo na deni la Taifa, James Mbatia amesisitiza baada ya watu kujibu hoja za Job Ndugai wao wanatafuta personal attack kwa Ndugai

James Mbatia, Anasisitiza upunguani wa viongozi ndio unapelekaea watu kushindwa kujibu hoja na kukimbilia kumtukana Job Ndugai, Tatizo la upunguani linawafanya viongozi washindwe kupima hoja kama Job Ndugai amekosea, Je usahihi ni upi amehoji bwana Mbatia

Tatu, James Mbatia amesisitiza somo la hesabu hata Bungeni ni tatizo kwa wabunge wengi sana, Ndio maana mambo yanaposomwa kuhusu hesabu wengi hawaelewi, James Mbatia amesisitiza Kuwa viongozi wanaandaliwa
Mbatia yupo sahihi Sana, mapunguani mengi mno, na huu upunguani wa michongo utaligharimu taifa vibaya mno.
 
Mapunguani kama Ndugayi na Mbatia yana ajenda zao,sijui yalikuwa wapi kusema toka mwanzo.


Mwisho serikali ilieleza vizuri badala ya kusubiria miamala kila baada miezi upate pesa ndio ikajenge wakaona watumie pesa za covid kwa haraka.
Ni mapunguani kama haya kina Mbatia na Ndugayi ndio hayasemi kwamba mkopo umenunua mashine za maji mikoa yote,umenunua ambulance na Vifaa tiba nchi nzima nk nk.

Serikali haikuamua chochote kwenye matumizi ya huo Mkopo, ilikuwa ni lazima utumike hivyo, hiyo ni moja kati ya masharti ya mkopo, isitoshe ni mtu mjinga tu low IQ anayechukuwa mkopo kama nchi kununua ambulance au kujenga Zahanati.
 
Mapunguani kama Ndugayi na Mbatia yana ajenda zao,sijui yalikuwa wapi kusema toka mwanzo.

Unaweza Dhani pesa imeliwa kumbe imesaidia watoto wa maskini lakini wa kwao hawasomi shule za serikali ndio maana wanataka wasijengewe madarasa.

Ni hayo hayo mapunguani yaliponga tozo yaani kiufupi hayana jema.

Mwisho serikali ilieleza vizuri badala ya kusubiria miamala kila baada miezi upate pesa ndio ikajenge wakaona watumie pesa za covid kwa haraka.

Sasa sijui maelfu ya watoto waliofaulu wangeendelea kusubiria tozo hadi mwezi wa 6 ndio waanze shule au hapana.

Ni mapunguani kama haya kina Mbatia na Ndugayi ndio hayasemi kwamba mkopo umenunua mashine za maji mikoa yote,umenunua ambulance na Vifaa tiba nchi nzima nk nk.
Nina wasiwasi ikiwa kama hata ulisoma darasa la 2B!
 
😁😁😁 Daa hii nchi hii,
... Viongozi karne hii ya ishirini na moja kujenga vyoo kwa pesa za mkopo wa uviko halafu wanaandika kwenye kuta wa Choo "Ahsante uviko 19" kama jambo la Furaha kumbe ni vichekesho
 
Bado hujaelewa,, nadhani uko mzito kidogo,, ntakuelewesha taratibu,,
Hizi pesa za uviko, zimetolewa kwa nchi nyingi tu, wengine wamenunua chanjo na vitu vingine,
Sisi specifically tuliomba na TUKAKUBALIWA kwamba hizo pesa zikatumike pia kuboresha, ELIMU NA AFYA,
Hayo aliyasema Rais mwenyewe,
So vyoo mashuleni ni mmoja ya miundombinu ya elimu,,
Watoto wetu hawawezi kusoma vizuri huku wanaenda haja vichakani,,
Umeelewa au bado? [emoji44][emoji44]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Tatizo siyo kujenga Choo tatzo ni serikali ina kopa pesa dunian kwa ajiri ya kujenga vyoo nia fedhea kwa nchi yenye rasilimali nyingi sanaaa bora angesema pesa za mkopo tuna malizia reli na bwawa la umeme jamii itaelewa ata wajukuu zetu wakiambiwa Wana lipa madeni ya treni na bwawa la kudharisha umeme watalipa hawata hoji Sanaa kuliko wakija kusikia tulikopa pesa kwa ajiri ya kujenga vyoo, wakati tuna gesi madini halafu unaenda kukopa pesa za vyoo ndo Yale ya awamu ya 4 kwenda kuomba msaada wa neti
 
Kwakweli inashangaza sana fedha za mkopo wanajengea madarasa na vyoo

Wakati tuliambiwa tozo hiyo ndio kazi yake.

Tozo inatumika katika nini???

Kwanini serikali badala ya kujikita katika kukusanya mapato inakimbilia kukopa tu??

Kwanini serikali inawaogopa wafanyabiashara mpaka wakipandisha bei kiholela ipo kimya tu??

Je ndio tuseme kwamba wafanyabiashara ndio wanaoongoza nchi kwa sasa??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sasa hivi tunazungumza lugha moja
 
Upunguani umezidi taifa hili hasa ccm! Angalia mwenezi wa njombe na mtu anayejiita DR.DIALLO
 
Mbatia siku hizi kama kachanganyikiwa tu, sijui ni uzee,, kutwa kudandia viishu visivyo na kichwa wala mguu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hii ni hoja nzito sana ukumbuke mwanzilishi wake ni mkuu wa muhimili kwenye serikali
Unaanzaje kusema ni Ishu ndo au unafunika kombe mwanaharamu apite?
 
Aisee yani na wewe unakubali kujazwa namna hii na unakubali??
Inakuaje tena ni mkopo wa uviko kama inatumika kujenga chooo?

Surely mnaona ni sawa kukopa pesa kwa ajili ya kujenga vyoo???

Nachelea kutumia neno alilotumia Mbatia 🤣

Hahahahaa tumia tu mkuu.
 
Back
Top Bottom