James Mbatia: Viongozi wengi wa Serikali wamekumbwa na upunguani wa uelewa wa mambo

Nashauri wapinzani wakajipangia issue na mikakati yao wenyewe badala ya kudandia issue zinazoibuka. Napata picha kama hakuna concrete strategic plans za kuendesha shughuli za upinzani.

Issue ya Ndugai ni kuachiwa wana CCM wakamaliza wenyewe. Wacha wamuite kwenye kamati wammalize n.k. Sioni sababu ya wapinzani kujiweka katika saga hili.
 
Siasa ni agenda za kudumu pamoja na issues za kila siku.
 
Hoja ya Mbatia ni wazi. Kukopa pesa benki kwaajili ya kununulia pampasi ya mwanao ni ujinga na fedheha. Kopa kwaajili ya mambo ambayo unaona huna uwezo wa kuyamudu kwa pesa yako.

Kama tunashindwa hata kujenga vyoo, tunaweza kitu gani?
 
Hao viongozi wana hisa zao huko
 
Atahoji kama tu akusoma kwenye madarasa hayo na kunyea kwenye vyoo hivyo.
Atahoji kwanin vitu vya kufanya kwa nguvu zetu za ndani tunaomba msaada kutokwa kwa wazungu ni uzuni na uvifu wa kufikili wa viongoz wetu Yan kiongoz ina vaa suti na tai una tumia Kodi unaenda kuomba mkopo wa kujenga vyoo kweli Yani serikali imerudi miaka kumi nyumba na mawazo ya hajabu kama ndo hivyo Mwendazake angeomba mkopo wa kununua madawati mashuleni na kununua vitanda ya hospitalini na angekopa pesa za kununua ndege.
 
Mbatia mbunge wa CCM kwa hisani ya watu wa msoga

Sent from my ANE-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Kama sio uviko bado watu wangeenda kichakani. Miaka 60 ya uhuru kweli mganga aliye waloga ambao hata kufunga mkanda mkajenga choo ameshakufa.
 
Hoja za Mbatia zilishajibiwa. Kiufupi Mbatia huwa anakuwa mkosoaji mkubwa kiongozi akiwa wa dini flani hivi.
kama fatuma karume au ruyaga sio.

mmeanza kuwaza ujinga.
na bado hayajaanza mawaraka ya akina dkt shoo au tek.

mbona awamu ya jana yalikuwepo malalamiko ya kina mwamakula?
 
Kaongea ukweli ingawa hatukubaliani na huyu mkongwe siku nyingi.
 
Najaribu kuwaza kwamba dhamira ya Rais itakuwa ni kusisimua hali ya uchumi wa mmoja mmoja, na ndio maana
akaiweka hiyo trilion 1.3 mtaani ili kuchangamsha nchi.

Kila halmashauri imepokea fedha hizi za uviko wajenge madarasa, madawati nk

Na kwa kweli, impact imeonekana dhahiri..hela hizi zimesambaa sana.

Ktk krismasi 5 zilizopita hakuna krismas yenye makeke kama hii recent.

Matumizi makubwa kuelekea na siku ya xmas na mwaka mpya ilikuwa ni fujo!

Nauli za mabasi juu, naambiwa mpaka routine za ndege ni busy abiria ni wengi.

Mimi naishi katika wilaya mojawapo tena ndogo tu hapa nchini.
natumia huku kama sampo..

Sasa ukiweka na la kupaa kwa makusanyo ya TRA mwezi desemba, na kuvunja rekord tena kwa hiyo abrupt margin! Nitakuwa sipo wrong

Huu nao unaweza kuwa ni ubunifu mzuri kuweka trilion kwa wananchi.
tatzo tu sijakubaliana na mgawo wa zanzibar kupewa bilion 300 kwa expense ya bara
 
Sema mbatia sema, japokuwa ni baada ya ndoa yako na CCM kuvunjika, Si mbaya waTz wenye akili timamu wanataka watu wenye akili timamu wa kuwasaidia kusema.
 
Tunamatatizo makubwa sana kwa kweli! Hali hii inashangaza na kusikitisha sana! [emoji849][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…