Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
mchungaji wa kufanya ngono na wafuas wake labda, na akiendelea atakufa kama magufuli kabla ya 2025 aendelee kucheza na Mungu.Kwani huyu James Mbowe anakereketwa na nini? Si mumeruhusiwa nyie kufanya siasa shida Iko wapi?
Labda Cha kukukumbusha ni kwamba huyo sio tuu ni mwanasiasa Bali Mchungaji so huwezi tenganisha haya mambo 2.
mwamakula alifanya mkutano wapi mbali na kualikwa kufanya maombi ya mkutano.Na askifu mwamakula,mbona humwambii?,gwajima amekosea,mwamakula ni shujaa,
Nililiona hili jambo toka anaanza kuzurura kwenye mikutano yake, siku hizi anatangaza Injili kimkakati sana.. he's totally manipulated by asali ya CCM.Kada maarufu wa CHADEMA, James Mbowe ameandika kuhusiana na utaratibu ulionzishwa na Askofu Josephat Gwajima kuendesha mikutano ya Injili huku akitumia kufanya kampeni za siasa.
===
"Bishop Gwajima nisikilize kwa makini huenda umezungukwa na watu ambao hawakuambii ukweli! Lakini huu usanii wako unaofanya kupitia jina la Yesu acha mara moja hii tabia.
"Hivi kwanza nikuulize wewe ni mbunge naamini unajua Protocal hivi unavyomtaja Mama samia, Mbunge wa Makambako, Kisha Mwisho unamtaja Yesu Hivi nikuulize kati ya Yesu na Rais Samia nani anatakiwa kutajwa wa kwanza?
"Pili unaenda kwenye Mikutano ya Injili unapeperusha Bendera ya CCM na Bendera ya Bunge je Hiyo mikutano yako imedhaminiwa na CCM na Bunge? Je tuamini ni Ushamba wako au washauri wako wanakupoteza?
"Haya unayofanya nakwambia wazi ni chukizo mbele za Mungu ni vyema ukatubu na uache mara moja mambo yako ya kumtaja Yesu kwrnye Mikutano yako yenye ajenda za Kisiasa, Mungu ni Mungu mwenye Wivu hashirikiani utukufu wake na kiumbe awaye yote, Acha kabisa kumtaja Rais Samia kwenye mikutano yako hatutaki umchonganishe Rais wetu na Mungu.
"Awamu ya Sita mlimsifia Magufuli mkafika mahali pa kukufuru Mungu mkaanza kumuita Magufuli Mh Mungu,
"Yawezekana Rais hajaona unachofanya ingawa unatafuta Sifa lakini nakuhakikishia hizi siyo Sifa ni Kufuru kwa Mungu.
"Mimi nimekueleza wazi kwasababu nakupenda ningeweza kunyamaza kama wengine walivyoamua kunyamaza. Lakini sipo tayari kuona Jina la Yesu linatumika ndivyo sivyo nikanyamaza.
"Asomaye na afahamu."
View attachment 2567465
Ndo maana hajatajwa anajua kingemkuta niniAngetajwa Mtume yule wa dini ile bila shaka sasa hivi Gwajima angekuwa pasipojulikana kwa fujo ambazo zingemkuta toka kwa wafia dini.
Wakristo ni walemavu kabisa! biblia inaweza kutukanwa! madhabahu zikaharibiwa! na sasa wapuuzi wanamlinganisha Yesu na rais na mbunge! Aisee aibu!Huyo James ni Muumini wa huyo Gwajima ?
Kama sivyo nadhani basi to each his/her own....., Binafsi kabla ya kuchukizwa na Tabia za kina Gwajima nachukizwa na tabia za wale wanaojaribu kuziba wengine midomo
Kwamba huyo Yesu anashindwa kupigana vita vyake mwenyewe mpaka mimi na wewe tupigane na kutukanana kwa Jina la kumfuata ?!!!!Wakristo ni walemavu kabisa! biblia inaweza kutukanwa! madhabahu zikaharibiwa! na sasa wapuuzi wanamlinganisha Yesu na rais na mbunge! Aisee aibu!
Wakristo siyo watu wa visasiWakristo ni walemavu kabisa! biblia inaweza kutukanwa! madhabahu zikaharibiwa! na sasa wapuuzi wanamlinganisha Yesu na rais na mbunge! Aisee aibu!
You must show your foolishness everywhere??Gwajima mcheza porno asababishe watu kudondokea pua labda pua la sukuma gang na nguruwe wa ccm.
Wametuita kusikiliza injili. Basi wangesema tuje kusikiliza siasa ili tuchague kuja au kuachaMnapigania haki za binadam ila hamtaki mtu awe na Uhuru wa kuongea
Kwani Gwajima ni muislamu? Kila dini/ dhehebu na utaratibu wake! Kuanza kuleta hypothetical scenarios za ingekuwa hivi au vile ni dalili za kutokuwa na hoja.Hivi kwa waislamu ukimweka mtume Muhamad SAW kwenye hiyo ranking hivi sasa ungekuwa unajificha kama ndezi tu! Ungewindwa kama dig dig
Kwani uongo?? Kuna mtu kalazimishwa kusikiliza mahubiri ya Gwajima? Mwache kujifanya wapenda demokrasia na uhuru wa kujieleza wakati huohuo kutwa kucha mnawashambulia wengine wakitumia uhuru wao. Mdikteta sana ninyi CDM!Basi hapa ndio umeandika kweli yaani !!
πKweli wewe ni Uchwara!
Issue ya uelewa imekua ngumu sana Kwa baadhi ya wa TANZANIA wenzangu πΉπΏ πΉπΏYupo sahihi kumlinganisha Yesu na Mama Samiah au Sanga?. Yani yupo sahihi kumtumia Yesu kwenye siasa?. Ndio maana ukristo unadharaulika siku hizi nobody cares.
Kama hauto jali unaweza kutufafanulia.......Ukiona upo Karibu na mtu anayemchukulia bwana gwajima kama kiongozi wa dini unatakiwa kujitafakari sana.
Aekeze kiukweli kabisa kama ubunge aliupata kihakali bila kubebwa au bila kubebesha.Watu aina ya ngwajiboi hawana hofu na Mungu,wanatumia platfom za kidini kwa maslahi yao binafsi,inshot hakuna mwanasiasa wa kijani mwenye maono na malengo na nchi hii,wengi ni mafisadi na wahuni.
kabisa mkuu, umesahau na ushirikina. nilienda kitongoji kimoja niliyoyaona nikasema kama mtu akiwa nagombea tuseme uenyekiti, atapata kura nyingi akimtaja sana mungu na kuwahakikishia matambiko ya kutosha. huko wakipata, wanamtaja mungu, wakikosa wanamtafuta mganga(shetani) afanye mambo. watanzania wengine hawajui hata wanaamini nini; mtu, shetani au MunguNchi zetu hizi maskini ndio nchi zinazoongoza Kwa viongozi Kumtaja mungu , kufungua na kufunga mikutano kwa sala, n.k lakini ndiyo nchi zenye rushwa, umaskini, unafiki na matatizo mengine mengi.