James Mbowe: Tabia alizoonesha Lema sio tabia za Wachaga

James Mbowe: Tabia alizoonesha Lema sio tabia za Wachaga

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
20250115_202957.jpg

Nimetafakari kwa kina tabia aliyoonyesha ndugu Lema jana siyo Tabia za Wachaga

Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
 
View attachment 3202818

Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Lema asaidiane na mchaga mwenzie Mbowe wailinde saccos yao ya chagadema.

Lema alionya jana, machawa wa Mbowe wakiendelea kumchokoza ataita press nyingine tena ya kumfyatua Mbowe. Ana siraha nyingine nzito dhidi ya Mbowe ametunza, anasubiri vidomo domo waropoke afyatue makombora.
 
View attachment 3202818

Je, tabia za Wachaga zipoje? Aliyemuelewa James anisaidie.
Sasa ulitegemea asemeje?

Kwamba amuunge mkono mtu anayetaka kunyang'anya fupa la babake?

Utasikia mara ohh 'hizo siyo tamaduni zetu, chama chetu kina taratibu zake'.

Ukiuliza tamaduni zenu alizozikiuka Lema ni zipi, hauwezi kupata jibu, kwa sababu anayetoa hiyo statement, naye hapo alipo, tamaduni ama taratibu zilizokiukwa ambazo hutakiwa kufuatwa anakuwa hazijui.
 
Back
Top Bottom