...lakini si zinauzwa online na wote tuko online? Bado nakumbuka maneno ya kutia moyo kwamba, we can buy the shares from these investors and get to make a difference. Kulikuwa na plan ya kuwatumia NICO kununua shares...sikumbuki vizuri.
Hivi kama JK ana shares(example) na kampuni ambayo ana share imekuwa ya kwanza kukubali vipengele vipya.
Apongezwe kwa kuweza kumake difference as a shareholder of that company? AU...?
Nashindwa nimpongeze au nimbeze...
...lakini si zinauzwa online na wote tuko online? Bado nakumbuka maneno ya kutia moyo kwamba, we can buy the shares from these investors and get to make a difference. Kulikuwa na plan ya kuwatumia NICO kununua shares...sikumbuki vizuri.
Hivi kama JK ana shares(example) na kampuni ambayo ana share imekuwa ya kwanza kukubali vipengele vipya.
Apongezwe kwa kuweza kumake difference as a shareholder of that company? AU...?
Nashindwa nimpongeze au nimbeze...
Tunapoenda hakueleweki...I wont be suprised with the headline "Tanzanians seek refuge after sale of it's land"Sinclair said: Tanzanian Royaltys timely acquisition of its diverse asset base in one of the worlds great mineral producing regions - along with the political capital it has built up in Tanzania over the years - bodes well for its future.
Unajua mimi nikiwa nasoma vitu kama hivi huwa naumia sana, mbaya zaidi sina cha kufanya, hivi kwa nini hii nchi isipinduliwe tu halafu iendeshwe kijeshi, hawa wazee wote walio kwenye system watolewe halafu hayo makampuni yote yafukuzwe, then tuanzie hapo. May be i am dreaming. Ila ipo siku
watu walishafikiria sana mambo kama hayo,Mdogo wangu Judy punguza munkari,Mapambano ya kifikra yamekaribia kufika tamati,Naamini tutashinda .