Sidhani kama Sinclair anastahili kuchukuliwa hatua! Kwani yeye (Sinclair) amepewa hiyo ripoti na rafiki yake (Rais, JK)! Sasa tatizo la Sinclair lipo wapi?
Wa kuchukuliwa hatua ni Rais (JK), kama sio yeye basi Ofisi ya Rais. Kwani wameweza kuonyesha kuwa wananchi (waTZ) hawana thamani zaidi ya wawekezaji marafiki wa Rais!
Cha kufanya ni kumuomba Rais yeye mwenyewe alitolee kauri suala hili!
Wa kuchukuliwa hatua ni Rais (JK), kama sio yeye basi Ofisi ya Rais. Kwani wameweza kuonyesha kuwa wananchi (waTZ) hawana thamani zaidi ya wawekezaji marafiki wa Rais!
Cha kufanya ni kumuomba Rais yeye mwenyewe alitolee kauri suala hili!