Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
mimi kilichonichosha ni kuwa yeye kaweza kuona mapendekezo yote hayo na kuhakikishiwa kuwa asiiwe na wasiwasi kwani mwenye uamuzi wa mwisho ni "Rais na si Kamati" whichi is true na ndipo mazingaombwe yanapolala.