Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh!!.chaiSpecifically speaking, the big bang na Black hole na exterestial lives zimo ndani ya Qur'an tukufu.
Thread 'Hatimaye picha kutoka James Web telescope zimetolewa rasmi kwa umma' Hatimaye picha kutoka James Web telescope zimetolewa rasmi kwa ummaWakuu Tayari nimeona JAMES WEB tayari imetuma picha, mbona sioni mkileta update.
Hapana JWST haina chochote cha kufanya na jua.Vp kuhusu jua?maana naskia itafanya exploration kuhusu jua ila sijajua itakuwa kwa umbali gan ili kufanya huo uchunguz
Ila hakuna tafit nying zilizofanywa kulihusu..nyingu huwa ni kweny planets tu na hizo galaxiesHapana JWST haina chochote cha kufanya na jua.
Lengo la kwenda kukaa mile 1.5 million ni ili pia liwe mbali na mwanga wa jua.
Mwanga wa jua ⛅ unazuia kuona anga vizuri.
Jua liko karibu sana na dunia 150 km tu.tunaweza kujifunza kuhusu jua tukiwa hapahapa duniani.
Ila hakuna tafit nying zilizofanywa kulihusu..nyingu huwa ni kweny planets tu na hizo galaxies
Ila hakuna tafit nying zilizofanywa kulihusu..nyingu huwa ni kweny planets tu na hizo galaxies
Umechanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Quran haijui chochote zaidi ya kuchochea mauaji na kuchukua watu utumwani.. Kama ilivyo Biblia kazi yao kubwa ni kutesa na kutisha binadamuSpecifically speaking, the big bang na Black hole na exterestial lives zimo ndani ya Qur'an tukufu.
Umechanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Quran haijui chochote zaidi ya kuchochea mauaji na kuchukua watu utumwani.. Kama ilivyo Biblia kazi yao kubwa ni kutesa na kutisha binadamu
Ni fedhea sana.. Wanasubiri wanasayansi wagundue wadandie. Allah mbona hakusema uwepo wa atom au cell ila wakigundua wanasayansi utawaona hao ni aya zao za utapeliHawa wavaa kubazii ni changamoto sana...yaan wamechafua uzi kwa kuanza kujajidi aya zao ambazo mostly ni myth tu
Siwezi amini vitabu vya uongo kama Quran na Biblia kama njia za kupata maarifa.Mtu mwenyeakili na anayetaka kujua angeuliza; Ni wapi mambo hayo yanapatikana ndani ya Qur'an??!--- wewe unaonekana ni mzinzi na kwakuwa Qur'an inapinga uzinzi umeamua kuichukia "for all".
Na lipo dude linalozidi Kasi ya sauti ,kwa Yule mbabe wa NATOKipo kitu kinachozidi kasi ya mwanga.
Hawa wavaa kubazii ni changamoto sana...yaan wamechafua uzi kwa kuanza kujajidi aya zao ambazo mostly ni myth tu
Anyway naomba nimsaidie kujaribu kukujibu.Mkuu hii JWT inaweza kuona ndani ya black holes kuna nini
Haiwezi ona ndani ya black hole [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]even the light can not escape black hole. Wanasema ukiwa kwenye event horizon ya black hole you will observe the entire time of the universe.Umeuliza swali la maana sana kwa sababu Telescope hii inatumia infra-red light. Naomba uni-tag kwenye post ambayo amekujibu, kama alikujibu
cc: mike2k
How?Wanasema ukiwa kwenye event horizon ya black hole you will observe the entire time of the universe.
Yah, quran ina kila kitu unachotaka iwe nacho.. Cha muhimu ujue tu kubadili maana za kiarabu ziedane na unachotaka weweSpecifically speaking, the big bang na Black hole na exterestial lives zimo ndani ya Qur'an tukufu.