Unafeli ngoja nije Pokea Maombi (PM) tuongee kirefuHahahaaa. Nilishashindwa aisee. Sababu nina watu wangu wa karibu walisha nishawishi mpaka wakachoka.
Najikuta tu naipenda Kijani na njano. Hahaaaa.
Hahahaaa. Kuna kufuli hukoo.Unafeli ngoja nije Pokea Maombi (PM) tuongee kirefu
Kweli .. sub ilikuwa kwa ASANTE KWASI jamaa alichokaKocha alikosea sana katika Sub aliyoifanya kwenye mechi Simba na Mtibwa ya kumtoa Gyan na kumwingiza Niyonzima ambaye hawezi kukaba kabisa.
Gyan anakaba na anapandisha timu kwani ana nguvu, hatakiwi kufanyiwa Sub kwenye mechi ya ushindani na ya kutumia nguvu.
Malinzi nyie tulieni SINGIDA WAJEManunuzi FC aka Mikia FC aka FIFA FC aka Mezani FC.
Hahah acha mambo yako aisee,,nmekutana nalo kwa fasi!!! Toa loki bas tuongee ya kufaaHahahaaa. Kuna kufuli hukoo.
Ila nafurahi kuongeza idadi ya Watani aisee.
Hahahaaa. Sawa.Hahah acha mambo yako aisee,,nmekutana nalo kwa fasi!!! Toa loki bas tuongee ya kufaa
Haujatoa bado mama, nitext basiHahahaaa. Sawa.