Jamhuri, Morogoro: Mtibwa FC 0 -1 Simba SC, Ligi Kuu Soka Tanzania Bara

Jamhuri, Morogoro: Mtibwa FC 0 -1 Simba SC, Ligi Kuu Soka Tanzania Bara

Hahahaaa. Nilishashindwa aisee. Sababu nina watu wangu wa karibu walisha nishawishi mpaka wakachoka.

Najikuta tu naipenda Kijani na njano. Hahaaaa.
Unafeli ngoja nije Pokea Maombi (PM) tuongee kirefu
 
Kocha alikosea sana katika Sub aliyoifanya kwenye mechi Simba na Mtibwa ya kumtoa Gyan na kumwingiza Niyonzima ambaye hawezi kukaba kabisa.
Gyan anakaba na anapandisha timu kwani ana nguvu, hatakiwi kufanyiwa Sub kwenye mechi ya ushindani na ya kutumia nguvu.
Kweli .. sub ilikuwa kwa ASANTE KWASI jamaa alichoka
 
Back
Top Bottom