Jamhuri, Morogoro: Mtibwa FC 0 -1 Simba SC, Ligi Kuu Soka Tanzania Bara

King Ngwaba unanifanya nicheke kwa sauti huku niliko lol.

Yaani umesubiri hadi mpira umeisha lol. Haya bwana Mtani.

Uwanja ni wako sasa.


Ndiyo Kawaida Ya Mtumzima Huwaacha Watoto Watangulie Kudokowa Vikiwa Jikoni Yeye Anakula Mwisho 😀😀😀
 
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji125]
 
Jamani [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Kwa Hisani Yenu Naomba Muniletee Msimamo Wa Ligi ([HASHTAG]#VPL[/HASHTAG] Table) Hapa 😀😀
 
Ushindi ni jadi yetu. This is Simba, emmtya upo wapi mtani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…