Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Baada ya leo hatuachii point hata moja tena, mtakua mnafukuza upepo tuHahaaaa. Picha ipi Ses, yaani Point 03 ndio tuamini kwamba mshakuwa mabingwa jamaani. Wakati ligi bado.
Ila sio siri leo niko Ntibwa kabisaaa mieeeee.