Jamhuri msipoandaa Mawakili mkaendelea kubebwa na Majaji na Mahakimu tutaendelea kukodi Mawakili wa kigeni milele

Jamhuri msipoandaa Mawakili mkaendelea kubebwa na Majaji na Mahakimu tutaendelea kukodi Mawakili wa kigeni milele

Hii kesi ya kina Mbowe inaenda kuingia kwenye rejea ya kumbukumbu za kimahakama kirahisi kabisa Hapo inaenda kutimiza yale ya Phd ya siasa kwa Mbowe kuwa rahisi kutolewa
Vilaza wanaenda kumbeba Mbowe kirahisi kabisa
Ukweli wa mpishi Kabugi wa Jalalani unaenda kuhitimika kwamba pale sio pasafi vileee tena
Haya yote ni kuingiza Uccm katika taaluma Kabugi na wenzake kabla ya Uccm
 
Mawakili wasomi wa serikali ,vipi taalamu ya sheria inahitaji kusoma Sana,ili kujua marekebisho ya sheria mbalimbali,kanuni ,taratibu za kufuata na marejeo ya kesi mbalimbali zilizoamuliwa na Majaji wa Mahakama kuu/Rufaa. Vinginevyo mashitaka mengi ya Serikali yatatupwa kutokana na kuwekewa mapingamizi na mawakili wa (kujitegemea) utetezi ambao wanajiandaa kupata ushindi.
 
Nimepitia maelezo yote ya Mawakili wa Jamhuri na Mawakili wa utetezi naishauri Serikali ilete Mawakili wenye uwezo kwenye kesi hii. Mimi ni layman katika sheria lakini kwa uelewa wangu Serikali ijipange sana.
Umeshasema ww ni layman sasa hoja za kisheria utazijuaje!!
 
Sina shida na Winston Churchill au yeyote nauliza nyie Chadema wenye sera ya Elimu elimu elimu kwa nini mwenyekiti wa Chadema Taifa ni division zero secondary?
Hilo ni swali la kijinga tu na wala halina mantiki yoyote na linaonyesha ulivyo mbumbumbu wa kuelewa.

Kwa nini mtu ambaye hakusoma kabisa bado ana jeuri ya kupeleka watoto wake shule, kwa nini asiache tu wawe kama yeye. Low thinking capacity.
 
Wasome kwa kiingereza waje watumie kiswahili? Unashida sehemu kama Jiwe na ndiyo maana hata umeomba afufuke, ndege wafananao.........pamoja.
Duh! Kumbe Wasomi wetu mnakariri lugha ndiyo maana hamuwezi kuaamisha maada fulani kwenda lugha nyingine,mnakua kama mwanangu wa Darasa la pili B pale English medium,anajua kutaja wanyama wote kwa lugha ya kiingereza,lakini nikimwambia anitajie hao hao wanyama kwa lugha ya Kiswahili hawezi kabisa!! Kukariri Elimu siyo kitu kizuri,msomi ukisoma na kuielewa Elimu unakua na uwezo wa kuelezea Jambo hata kwa lugha yenu ya kikabila!!
 
Back
Top Bottom