Jamhuri msipoandaa Mawakili mkaendelea kubebwa na Majaji na Mahakimu tutaendelea kukodi Mawakili wa kigeni milele

Jamhuri msipoandaa Mawakili mkaendelea kubebwa na Majaji na Mahakimu tutaendelea kukodi Mawakili wa kigeni milele

Hiyo ikiuwa Sera ya Chadema lakini hadi leo Mwenyekiti Mbowe ni division zero form Six na katibu mkuu ni Mnyika form four

Hiyo elimu elimu elimu sijui walikua wakimwambia nani
Mbona magufuli aliiba research ya watu na hukuongea?
 
lugha kuu ya Mahakama ndio ipi hiyo?

inamaana hadi leo hii Lugha yetu ya Kiswahili haina Maana mbele ya Mahakama zetu za Tanzania?!
Pamoja na sheria kupitishwa na Bunge!!

Waziri wa Katiba na Sheria Prof: Kabudi yuko.wapi kuhakikisha kiswahili kinatumiwa na Mahakama.
Sisi Watanzania tutaelewaje hiyo inayo daiwa kuwa lugha kuu ya Mahakama?!!

Yaani kwa hali hii natamani Magufuli afufuke, inamaana Magufuli alivyo kuwa anasisitiza Kiswahili kitumike hawa viongozi walikuwa wanamkejeli tu!?

wakati akiwa hai sheria ilipitishwa haraka bila kuchelewa, leo hii nini kikubwa hicho kinacho chelewesha Mahakama kutokutumia Lugha ya Kiswahili?!

hizi Mahakama kweli zinawatumikia watanzania au zinawatumikia wazungu?
Lugha kuu ya mahakama
Mahakama ya Mwanzo ni kiswahili
Mahakama ya wilaya kiswahili na kiingereza
Mahakama kuu kiingereza
Mahakama ya rufaa ni kiingereza

Kwenye ndege
Precision Air -VIP class ni kiingereza
 
Kweli kabisa! Ukiwa mdau wa sheria ndiyo unaona haya unayoyaeleza vizuri. Wakati mwingine huwa najiuliza kwa kujilaumu: kwa nini niliamua kusoma sheria?

Bora Mimi niliamua kusoma ufundi seremara
 
Akili huna mleta mada dunia nzima huwezi fanya kazi ya uwakili bila kufanya mitihani ya Nchi husika na kufaulu uwe wakili

Ndio maana hata Ukienda Nchi ya Zanzibar hata Kama umesajiliwa Nchi ya Tanganyika Law society huwezi practice uwakili!!

Amsterdam wawili wa Lisu Hana ubavu wa kuingia mahakama za Tanzania Kama wakili
Akili huna mleta mada dunia nzima huwezi fanya kazi ya uwakili bila kufanya mitihani ya Nchi husika na kufaulu uwe wakili

Ndio maana hata Ukienda Nchi ya Zanzibar hata Kama umesajiliwa Nchi ya Tanganyika Law society huwezi practice uwakili!!

Amsterdam wawili wa Lisu Hana ubavu wa kuingia mahakama za Tanzania Kama wakili
Bahati nzuri nina kufahamu ,nimesha wahi kukwambia pamoja na shahada yako ya uzamili akili yako ni mbovu kwa sababu ya CCM .Unashindwa kujibu hoja kisomi ,mkuu Narudia tena hata kama bila CCM huwezi kuishi lakini Jaribu kutumia Elimu yako vizuri.Wasomi wote tunaonekana wapuuzi kwa sababu yenu .
 
Hakuna wakili competate anaweza kukubali kufanya kazi serikalini..reference nzuri ni huyo kibatala na Lisu sidhani kama wamewahi kuajiriwa serikalini kama mawakili.

Hakuna mhasibu / Mkaguzi mzuri anayefanya kai Serekalini.
 
lugha kuu ya Mahakama ndio ipi hiyo?
inamaana hadi leo hii Lugha yetu ya Kiswahili haina Maana mbele ya Mahakama zetu za Tanzania?!
Pamoja na sheria kupitishwa na Bunge!!
Waziri wa Katiba na Sheria Prof: Kabudi yuko.wapi kuhakikisha kiswahili kinatumiwa na Mahakama.
Sisi Watanzania tutaelewaje hiyo inayo daiwa kuwa lugha kuu ya Mahakama?!!
Yaani kwa hali hii natamani Magufuli afufuke, inamaana Magufuli alivyo kuwa anasisitiza Kiswahili kitumike hawa viongozi walikuwa wanamkejeli tu!?
wakati akiwa hai sheria ilipitishwa haraka bila kuchelewa, leo hii nini kikubwa hicho kinacho chelewesha Mahakama kutokutumia Lugha ya Kiswahili?!
hizi Mahakama kweli zinawatumikia watanzania au zinawatumikia wazungu?

Watanzania wengi wanashangaa sana kwa Mahakama kuendelea kung'ang'ania kutumia lugha ya kiswahili, sijui wanafanya hivyo kwa manufaa ya nani haswa?
Bado watanzania wengi wanakasumba ya ovyo ya kudhani kuzungumza kiingereza ndio kuelimika!! na asiye weza kuzungumza kiingereza anachukuliwa kama zezeta kumbe ni dhana potofu kabisa!
Hayo mambumbu ya serikali umeyashuhudia Leo mahakamani.Yaani mpaka roho yenyewe inawauma.Hapa duniani tuna pita kama Magufuli na ubabe wake kaburini alikwenda wewe ni nani mpaka uwe na roho mbaya kiasi hicho
 
Una mfahamu mwenye DIVISION FOUR YA POINT 33 ?Uko naye ofisini.Pamoja na master's yako bila yeye wewe huli
Chadema ndio sera yenu ilikua elimu elimu elimu sisi CCM haikuwa hiyo mliimba elimu tukadhani mwenyekiti Taifa atakuwa Profesa Baregu na katibu Dr Lwaitama kumbe hamna kitu kelele tu za kutapeli watanzani
 
Lugha kuu ya mahakama
Mahakama ya Mwanzo ni kiswahili
Mahakama ya wilaya kiswahili na kiingereza
Mahakama kuu kiingereza
Mahakama ya rufaa ni kiingereza

Kwenye ndege
Precision Air -VIP class ni kiingereza
huu ni ubaguzi wa hali ya juu ktk kutafuta haki.
 
lugha kuu ya Mahakama ndio ipi hiyo?

inamaana hadi leo hii Lugha yetu ya Kiswahili haina Maana mbele ya Mahakama zetu za Tanzania?!
Pamoja na sheria kupitishwa na Bunge!!

Waziri wa Katiba na Sheria Prof: Kabudi yuko.wapi kuhakikisha kiswahili kinatumiwa na Mahakama.
Sisi Watanzania tutaelewaje hiyo inayo daiwa kuwa lugha kuu ya Mahakama?!!

Yaani kwa hali hii natamani Magufuli afufuke, inamaana Magufuli alivyo kuwa anasisitiza Kiswahili kitumike hawa viongozi walikuwa wanamkejeli tu!?

wakati akiwa hai sheria ilipitishwa haraka bila kuchelewa, leo hii nini kikubwa hicho kinacho chelewesha Mahakama kutokutumia Lugha ya Kiswahili?!

hizi Mahakama kweli zinawatumikia watanzania au zinawatumikia wazungu?
Wewe ni mgeni hapa nchini?
 
kwel.ww n nguchiro

Akili huna mleta mada dunia nzima huwezi fanya kazi ya uwakili bila kufanya mitihani ya Nchi husika na kufaulu uwe wakili

Ndio maana hata Ukienda Nchi ya Zanzibar hata Kama umesajiliwa Nchi ya Tanganyika Law society huwezi practice uwakili!!

Amsterdam wawili wa Lisu Hana ubavu wa kuingia mahakama za Tanzania Kama wakili
 
Nimepitia maelezo yote ya Mawakili wa Jamhuri na Mawakili wa utetezi naishauri Serikali ilete Mawakili wenye uwezo kwenye kesi hii. Mimi ni layman katika sheria lakini kwa uelewa wangu Serikali ijipange sana.
 
Let us be serious kwenye serious issues hasa katika uandaaji wa mawakili wa Serikali. Nipo nafuatilia kesi ya Mbowe, naangalia namna mawakili wa Serikali wanavyojibu hoja, namna wanavyotetemeka kujieleza, namna wasivyoweza kuongea lugha kuu mahakama, najiuliza Hawa watu wanapata uwakili na kuitwa senior state attorney kwa vigezo gani?

Lakini pia wenzao wanawasilisha hoja zinazoambatana na references kuonyesha maamuzi mbalimbali yaliyowahi kutolewa na Mahakama lakini upande wa Jamhuri wanatoa plain words, it's like hawakusoma Wala KUJIANDAA au walishaahidiwa maamuzi ya Mahakama Ni yapi.

Kama Hawa ndio senior state attorney sishangai kuona kwenye kesi zinazoendeliwa mahakama za kimataifa tunaajiri mawakili wa kampuni binafsi kusimama mstari wa mbele huku mawakili wetu wakiwa nyuma. Sishangai kesi zetu kusimamiwa na madaktari na maprofesa wa sheria wanaolipwa mabiliaoni.

Huu mfumo wakipeana kazi kindugu unaua professional, kesi hii ingerushwa live Dunia ikaona namna serikali ilivyopwaya tungeweza kupewa hata misaada tuboreshe mfumo wetu wa elimu. Unajiuliza wanashinda vipi mapingamizi na kesi?
Balaa la leo la Mtobesya sidhani kama hii kesi itaendelea , unaambiwa ni aibu kubwa !

Kwa_msiomfahamu_huyu_ndo_Wakili_Jeremiah_Mtobesya_leo_kaupiga_mwingi_sana_kwenye_kesi_ya_@free...jpg
 
Kila taaluma (profession) ina masharti na miongozo yake ya kiufundi. Kwa mfano, sekta ya usafiri wa anga/ndege imekubaliana kuwa lugha ya sekta ni kiingereza. Hivyo, dunia yote marubani, wafanyakazi ndani ya ndege (crews), waongoza ndege (atc), n.k. wote lazima wawe na uwezo wa kuwasiliana kwa kiingereza fluently. Hii ni kwa sababu ya kuhakikisha usalama (safety of navigation/flight safety).

Sheria zetu zimedadavuliwa kikamilifu kwa kiingereza na wanasheria wetu ikiwa ni pamoja na mahakimu wanasomea taaluma hiyo kwa kiingereza. Peleka madai yako kwa Kiswahili wao watayachakata kwa kiingereza na kukupa mrejesho kwa kiswahili.

Tuache ujinga. Ndio maana majirani zetu wa Kenya wamekamata fursa kibao kimataifa hata za kufundisha kiswahili chao (kibovu) kwa vile tu wamejiendeleza kwenye lugha nyingine: kiingereza, kifaransa, kijerumani, n.k. Sisi tumeshikilia Kiswahili TU. Utamfundisha nani Kiswahili namna hiyo?
Kwa kifupi tu ni kuwa sheria zetu zina asili ya mfumo wa kisheria wa uingereza ambao walitutawala baada ya wajerumani. Mfumo wa common law unatumiwa takribani nchi zote ambazo muingereza alitawala. Ambapo lugha ya kimahakama ni kiingereza.

Kwa hivyo hata wasomi wa sheria hufundishwa concepts za law kwa lugha ya kiingereza ambako sheria na kanuni hizo zilikotokea.

Waingereza nao kwenye sheria walirithi baadhi ya mambo toka kwa Walatini....ndiyo maana hadi leo taaluma ya sheria kwa sehemu kubwa imebeba mizizi ya mambo ya kirumi.

Kuna baadhi ya concepts za kusheria ni ngumu kupata visawe vyake kwa lugha ya Kiswahili...

Suala la kuruhusu matumizi ya sheria kuwa kiswahili yalipaswa yaende kwa phase...si overnight changes. Kwanza wangeanza na kuratibu ufundishaji wa taaluma hiyo kwa kiswahili toka ngazi ya Cheti hadi Shahada na kule Chuo cha mafunzo ya sheria kwa vitendo.

Hauwezi kuandaa wanataaluma kwa kiingereza halafu waje wa practice kwa kiswahili.
 
Akili huna mleta mada dunia nzima huwezi fanya kazi ya uwakili bila kufanya mitihani ya Nchi husika na kufaulu uwe wakili

Ndio maana hata Ukienda Nchi ya Zanzibar hata Kama umesajiliwa Nchi ya Tanganyika Law society huwezi practice uwakili!!

Amsterdam wawili wa Lisu Hana ubavu wa kuingia mahakama za Tanzania Kama wakili

Let us be serious kwenye serious issues hasa katika uandaaji wa mawakili wa Serikali. Nipo nafuatilia kesi ya Mbowe, naangalia namna mawakili wa Serikali wanavyojibu hoja, namna wanavyotetemeka kujieleza, namna wasivyoweza kuongea lugha kuu mahakama, najiuliza Hawa watu wanapata uwakili na kuitwa senior state attorney kwa vigezo gani?

Lakini pia wenzao wanawasilisha hoja zinazoambatana na references kuonyesha maamuzi mbalimbali yaliyowahi kutolewa na Mahakama lakini upande wa Jamhuri wanatoa plain words, it's like hawakusoma Wala KUJIANDAA au walishaahidiwa maamuzi ya Mahakama Ni yapi.

Kama Hawa ndio senior state attorney sishangai kuona kwenye kesi zinazoendeliwa mahakama za kimataifa tunaajiri mawakili wa kampuni binafsi kusimama mstari wa mbele huku mawakili wetu wakiwa nyuma. Sishangai kesi zetu kusimamiwa na madaktari na maprofesa wa sheria wanaolipwa mabiliaoni.

Huu mfumo wakipeana kazi kindugu unaua professional, kesi hii ingerushwa live Dunia ikaona namna serikali ilivyopwaya tungeweza kupewa hata misaada tuboreshe mfumo wetu wa elimu. Unajiuliza wanashinda vipi mapingamizi na kesi?
Our judicial sytem is rotten , Majaji wetu wako hand picked , Angalia jirani zetu wanavyochagua jaji mkuu wao
 
Hapo ndipo unapoweza kutofautisha kati ya 'learned counsel' na 'state attorney'
1. Learned counsel-wanajibidisha kutafuta usiku na mchana lakini pia wanahifadhi kumbukumbu kwa kina, umakini na mpangilio kufuatana na matukio na hatua. Bidii yao ndio maslahi yanaongezeka
2. State attorney-wana kila kitu kwenye makabati, kuchakata miswada na tafsiri za sheria. Kila tukiolinalopita huwekwa kabatini, hakuna bidii binafsi za kutafuta kujifunza kutoka kwingine kwa kuwa wako chini ya kivuli cha tembo. Kumbukumbu haziko sawa na usahihi kwa kulingana na wakati Kwa vyovyote wafanyavyo wana uhakika wa kulipwa kila mwezi

NOTE: Shibe mwana malevya
sorry is it learned council or legal council
 
Let us be serious kwenye serious issues hasa katika uandaaji wa mawakili wa Serikali. Nipo nafuatilia kesi ya Mbowe, naangalia namna mawakili wa Serikali wanavyojibu hoja, namna wanavyotetemeka kujieleza, namna wasivyoweza kuongea lugha kuu mahakama, najiuliza Hawa watu wanapata uwakili na kuitwa senior state attorney kwa vigezo gani?

Lakini pia wenzao wanawasilisha hoja zinazoambatana na references kuonyesha maamuzi mbalimbali yaliyowahi kutolewa na Mahakama lakini upande wa Jamhuri wanatoa plain words, it's like hawakusoma Wala KUJIANDAA au walishaahidiwa maamuzi ya Mahakama Ni yapi.

Kama Hawa ndio senior state attorney sishangai kuona kwenye kesi zinazoendeliwa mahakama za kimataifa tunaajiri mawakili wa kampuni binafsi kusimama mstari wa mbele huku mawakili wetu wakiwa nyuma. Sishangai kesi zetu kusimamiwa na madaktari na maprofesa wa sheria wanaolipwa mabiliaoni.

Huu mfumo wakipeana kazi kindugu unaua professional, kesi hii ingerushwa live Dunia ikaona namna serikali ilivyopwaya tungeweza kupewa hata misaada tuboreshe mfumo wetu wa elimu. Unajiuliza wanashinda vipi mapingamizi na kesi?
Malayer utoplo wamejaa tele, wanabonga kiswahili tu
 
Let us be serious kwenye serious issues hasa katika uandaaji wa mawakili wa Serikali. Nipo nafuatilia kesi ya Mbowe, naangalia namna mawakili wa Serikali wanavyojibu hoja, namna wanavyotetemeka kujieleza, namna wasivyoweza kuongea lugha kuu mahakama, najiuliza Hawa watu wanapata uwakili na kuitwa senior state attorney kwa vigezo gani?

Lakini pia wenzao wanawasilisha hoja zinazoambatana na references kuonyesha maamuzi mbalimbali yaliyowahi kutolewa na Mahakama lakini upande wa Jamhuri wanatoa plain words, it's like hawakusoma Wala KUJIANDAA au walishaahidiwa maamuzi ya Mahakama Ni yapi.

Kama Hawa ndio senior state attorney sishangai kuona kwenye kesi zinazoendeliwa mahakama za kimataifa tunaajiri mawakili wa kampuni binafsi kusimama mstari wa mbele huku mawakili wetu wakiwa nyuma. Sishangai kesi zetu kusimamiwa na madaktari na maprofesa wa sheria wanaolipwa mabiliaoni.

Huu mfumo wakipeana kazi kindugu unaua professional, kesi hii ingerushwa live Dunia ikaona namna serikali ilivyopwaya tungeweza kupewa hata misaada tuboreshe mfumo wetu wa elimu. Unajiuliza wanashinda vipi mapingamizi na kesi?
Unayosema kuhusu quality ya hawa state attorneys ni kweli, wengi wao ni quality ya chini sana; hata mimi niliwahi kufuatilia kesi mojawapoa nikaona udhaifu huo. Hata hivyo, kushinda kesi huwa hakutokani na uwezo wa mawakili kuongea vizuri bali hutokana na facts wanazopresent mbele ya mahakama hata kwa kutumia lugha dhaifu.
 
Back
Top Bottom