Jamhuri msipoandaa Mawakili mkaendelea kubebwa na Majaji na Mahakimu tutaendelea kukodi Mawakili wa kigeni milele

Jamhuri msipoandaa Mawakili mkaendelea kubebwa na Majaji na Mahakimu tutaendelea kukodi Mawakili wa kigeni milele

..Maza naye si hakufanya vizuri form 4.

..sidhani kama CCM mnaweza kuwacheka CDM kuhusu suala hilo.
Chadema ndio sera yenu ilikua elimu elimu elimu sisi CCM haikuwa hiyo mliimba elimu tukadhani mwenyekiti Taifa atakuwa Profesa Baregu na katibu Dr Lwaitama kumbe hamna kitu kelele tu za kutapeli watanzania
 
Let us be serious kwenye serious issues hasa katika uandaaji wa mawakili wa Serikali. Nipo nafuatilia kesi ya Mbowe, naangalia namna mawakili wa Serikali wanavyojibu hoja, namna wanavyotetemeka kujieleza, namna wasivyoweza kuongea lugha kuu mahakama, najiuliza Hawa watu wanapata uwakili na kuitwa senior state attorney kwa vigezo gani?

Lakini pia wenzao wanawasilisha hoja zinazoambatana na references kuonyesha maamuzi mbalimbali yaliyowahi kutolewa na Mahakama lakini upande wa Jamhuri wanatoa plain words, it's like hawakusoma Wala KUJIANDAA au walishaahidiwa maamuzi ya Mahakama Ni yapi.

Kama Hawa ndio senior state attorney sishangai kuona kwenye kesi zinazoendeliwa mahakama za kimataifa tunaajiri mawakili wa kampuni binafsi kusimama mstari wa mbele huku mawakili wetu wakiwa nyuma. Sishangai kesi zetu kusimamiwa na madaktari na maprofesa wa sheria wanaolipwa mabiliaoni.

Huu mfumo wakipeana kazi kindugu unaua professional, kesi hii ingerushwa live Dunia ikaona namna serikali ilivyopwaya tungeweza kupewa hata misaada tuboreshe mfumo wetu wa elimu. Unajiuliza wanashinda vipi mapingamizi na kesi?
Walikuwa wanamtegemea mkono advocate, siku hizi alipotea, ndo maana mkulima wa nabari na wale wakandarasi wa bagamoyo walipiga hela ya kufa mtu baada ya kushikilia ndege
 
Usiwaamshe waliolala mwisho utalala wewe, msemo wa wahenga, matokeo ya kayumba, kata na elimu bure.
Sasa hivi wanajisifia vituo vya afya vya tozo ambavyo vinafanywa very local and un proffesionaly, no consultant no contractors, hi nchi proffesion zimekufa
 
Hiyo ikiuwa Sera ya Chadema lakini hadi leo Mwenyekiti Mbowe ni division zero form Six na katibu mkuu ni Mnyika form four

Hiyo elimu elimu elimu sijui walikua wakimwambia nani
Winston Churchill, nina mashaka sana kwa ulivyo hivyo kama unaweza hata ukamfahamu, alikuwa na elimu gani na kwa nini hadi leo hii ndio amekuwa the best performing PM in UK history.

Unashindwa hata kuelewa kwamba elimu na kipawa cha uongozi ni vitu viwili tofauti. Haya mnasema Magufuli alikuwa na PhD, sasa kama ni kweli ilikuwa ni ya halali ilimsaidiaje kwenye utawala wake wa kiimla?

Huyu rais wa sasa unafahamu Educational Background yake vizuri. Tatizo mkishawekwa humu kuponda wale wapinzani wa ccm basi hamtumii kabisa akili ktk kuhalalisha hizo "Wages" mnazolipwa kwa kuandika umbeya humu. Very hopeless.
 
..muulize Maza kama alifaulu, halafu urudi tujadili matokeo ya Mbowe.

Cc tindo
.
Narudia sera ya CCM sio elimu kama nyie wenye hiyo sera ndio mujibu kwa nini mwenyekiti wenu Chadema Taifa ni division zero form Six?
 
Winston Churchill, nina mashaka sana kwa ulivyo hivyo kama unaweza hata ukamfahamu, alikuwa na elimu gani na kwa nini hadi leo hii ndio amekuwa the best performing PM in UK history.

Unashindwa hata kuelewa kwamba elimu na kipawa cha uongozi ni vitu viwili tofauti. Haya mnasema Magufuli alikuwa na PhD, sasa kama ni kweli ilikuwa ni ya halali ilimsaidiaje kwenye utawala wake wa kiimla?

Huyu rais wa sasa unafahamu Educational Background yake vizuri. Tatizo mkishawekwa humu kuponda wale wapinzani wa ccm basi hamtumii kabisa akili ktk kuhalalisha hizo "Wages" mnazolipwa. Very hopeless.
Sina shida na Winston Churchill au yeyote nauliza nyie Chadema wenye sera ya Elimu elimu elimu kwa nini mwenyekiti wa Chadema Taifa ni division zero secondary?
 
lugha kuu ya Mahakama ndio ipi hiyo?
inamaana hadi leo hii Lugha yetu ya Kiswahili haina Maana mbele ya Mahakama zetu za Tanzania?!
Pamoja na sheria kupitishwa na Bunge!!
Waziri wa Katiba na Sheria Prof: Kabudi yuko.wapi kuhakikisha kiswahili kinatumiwa na Mahakama.
Sisi Watanzania tutaelewaje hiyo inayo daiwa kuwa lugha kuu ya Mahakama?!!
Yaani kwa hali hii natamani Magufuli afufuke, inamaana Magufuli alivyo kuwa anasisitiza Kiswahili kitumike hawa viongozi walikuwa wanamkejeli tu!?
wakati akiwa hai sheria ilipitishwa haraka bila kuchelewa, leo hii nini kikubwa hicho kinacho chelewesha Mahakama kutokutumia Lugha ya Kiswahili?!
hizi Mahakama kweli zinawatumikia watanzania au zinawatumikia wazungu?
 
Hakuna wakili competate anaweza kukubali kufanya kazi serikalini..reference nzuri ni huyo kibatala na Lisu sidhani kama wamewahi kuajiriwa serikalini kama mawakili.
 
Kwa taarifa yako uwezo huo mdogo unaouona kutoka mawakili wa serikali ni karibia watendaji wote wa serikali wako hivyo. Rejea alichokisema Prof Assad. Tazama uwezo wa viongozi wetu na watendaji wa serikali, ndio maana unaona matumizi makubwa ya nguvu, maana ni watu wasio na uwezo, na ili waweze kuficha udhaifu wao, inabidi watumie nguvu kubwa. Nadhani umeona hata taarifa ya jana ya DCI kuhusu kijana Hamza, unajua kabisa tuna vyombo vya dola vyenye uwezo duni mno wa kutenda mambo.
Let us be serious kwenye serious issues hasa katika uandaaji wa mawakili wa Serikali. Nipo nafuatilia kesi ya Mbowe, naangalia namna mawakili wa Serikali wanavyojibu hoja, namna wanavyotetemeka kujieleza, namna wasivyoweza kuongea lugha kuu mahakama, najiuliza Hawa watu wanapata uwakili na kuitwa senior state attorney kwa vigezo gani?

Lakini pia wenzao wanawasilisha hoja zinazoambatana na references kuonyesha maamuzi mbalimbali yaliyowahi kutolewa na Mahakama lakini upande wa Jamhuri wanatoa plain words, it's like hawakusoma Wala KUJIANDAA au walishaahidiwa maamuzi ya Mahakama Ni yapi.

Kama Hawa ndio senior state attorney sishangai kuona kwenye kesi zinazoendeliwa mahakama za kimataifa tunaajiri mawakili wa kampuni binafsi kusimama mstari wa mbele huku mawakili wetu wakiwa nyuma. Sishangai kesi zetu kusimamiwa na madaktari na maprofesa wa sheria wanaolipwa mabiliaoni.

Huu mfumo wakipeana kazi kindugu unaua professional, kesi hii ingerushwa live Dunia ikaona namna serikali ilivyopwaya tungeweza kupewa hata misaada tuboreshe mfumo wetu wa elimu. Unajiuliza wanashinda vipi mapingamizi na kesi?
 
lugha kuu ya Mahakama ndio ipi hiyo?
inamaana hadi leo hii Lugha yetu ya Kiswahili haina Maana mbele ya Mahakama zetu za Tanzania?!
Pamoja na sheria kupitishwa na Bunge!!
Waziri wa Katiba na Sheria Prof: Kabudi yuko.wapi kuhakikisha kiswahili kinatumiwa na Mahakama.
Sisi Watanzania tutaelewaje hiyo inayo daiwa kuwa lugha kuu ya Mahakama?!!
Yaani kwa hali hii natamani Magufuli afufuke, inamaana Magufuli alivyo kuwa anasisitiza Kiswahili kitumike hawa viongozi walikuwa wanamkejeli tu!?
wakati akiwa hai sheria ilipitishwa haraka bila kuchelewa, leo hii nini kikubwa hicho kinacho chelewesha Mahakama kutokutumia Lugha ya Kiswahili?!
hizi Mahakama kweli zinawatumikia watanzania au zinawatumikia wazungu?

Magufuli alikuwa hajui kiingereza ndio maana akawa analazimisha kiswahili ili kuficha udhaifu wake. Hao waliopitisha hiyo sheria sio kwakuwa walikuwa wanaamini atakacho, bali walikuwa wanamuogopa kutokana na ulevi wake wa madaraka.
 
Magufuli alikuwa hajui kiingereza ndio maana akawa analazimisha kiswahili ili kuficha udhaifu wake. Hao waliopitisha hiyo sheria sio kwakuwa walikuwa wanaamini atakacho, bali walikuwa wanamuogopa kutokana na ulevi wake wa madaraka.
sasa sisi wananchi tusio jua kizungu hatutakiwi kudai haki mahakamani?!
Mbona kama Mahakama zetu zinatubagua?!
kwa hiyo kiingereza ndio Lugha inayo takiwa na Mahakama?
kwani hao majaji kweli ni watanzania ambao wanataka watanzania wapate haki yao?
Mbona SADC wamepitisha matumizi ya lugha ya kiswahili ktk shughuli zake zote pamoja na kumbukumbu? vipi mahakama zetu zigome kutumia kiswahili ktk kumbukumbu zake?
naomba nisaidiwe
 
..mawakili watapwaya kwasababu wamejifunza sheria kwa Kiingereza.

..hata wanapojiandaa kwenda mahakamani wanasoma makabrasha na hukumu mbalimbali zilizoandikwa kwa Kiingereza.

..Watanzania tuache UVIVU. Wanasheria wetu kushindwa kuwasiliana kwa Kiingereza ni uzembe tu.

..Mwanasheria asiyejua Kiingereza namlinganisha na Polisi asiyejua kutumia kirungu. Ni uzembe na uvivu.
Mkuu, ongea taratibu. Unamjua aliyeipenda hiyo hoja ya kiswahili kitumike kwenye mahakama zetu? Hata kama is no more, lakini linda Legacy yake.
 
Akili huna mleta mada dunia nzima huwezi fanya kazi ya uwakili bila kufanya mitihani ya Nchi husika na kufaulu uwe wakili

Ndio maana hata Ukienda Nchi ya Zanzibar hata Kama umesajiliwa Nchi ya Tanganyika Law society huwezi practice uwakili!!

Amsterdam wawili wa Lisu Hana ubavu wa kuingia mahakama za Tanzania Kama wakili
Kwa kawaida mawakili wa serikali siyo lazima wa pass bar exams. Huwa wanakuwa excempted na wanakuwa registered conditionally ili waweze kupractice.
 
sasa sisi wananchi tusio jua kizungu hatutakiwi kudai haki mahakamani?!
Mbona kama Mahakama zetu zinatubagua?!
kwa hiyo kiingereza ndio Lugha inayo takiwa na Mahakama?
kwani hao majaji kweli ni watanzania ambao wanataka watanzania wapate haki yao?
Mbona SADC wamepitisha matumizi ya lugha ya kiswahili ktk shughuli zake zote pamoja na kumbukumbu? vipi mahakama zetu zigome kutumia kiswahili ktk kumbukumbu zake?
naomba nisaidiwe
Lugha ya mahakama ni kiswahili na kiingereza.
Mawakili kupendelea kutumia kiingereza hawajalazimishwa, ni mazoea ya kitaaluma.
Pia mwananchi wa kawaida anaweza kutumia lugha ya kiswahili anapodai haki yake mahakamani
 
Let us be serious kwenye serious issues hasa katika uandaaji wa mawakili wa Serikali. Nipo nafuatilia kesi ya Mbowe, naangalia namna mawakili wa Serikali wanavyojibu hoja, namna wanavyotetemeka kujieleza, namna wasivyoweza kuongea lugha kuu mahakama, najiuliza Hawa watu wanapata uwakili na kuitwa senior state attorney kwa vigezo gani?

Lakini pia wenzao wanawasilisha hoja zinazoambatana na references kuonyesha maamuzi mbalimbali yaliyowahi kutolewa na Mahakama lakini upande wa Jamhuri wanatoa plain words, it's like hawakusoma Wala KUJIANDAA au walishaahidiwa maamuzi ya Mahakama Ni yapi.

Kama Hawa ndio senior state attorney sishangai kuona kwenye kesi zinazoendeliwa mahakama za kimataifa tunaajiri mawakili wa kampuni binafsi kusimama mstari wa mbele huku mawakili wetu wakiwa nyuma. Sishangai kesi zetu kusimamiwa na madaktari na maprofesa wa sheria wanaolipwa mabiliaoni.

Huu mfumo wakipeana kazi kindugu unaua professional, kesi hii ingerushwa live Dunia ikaona namna serikali ilivyopwaya tungeweza kupewa hata misaada tuboreshe mfumo wetu wa elimu. Unajiuliza wanashinda vipi mapingamizi na kesi?
Mawakili wa serikali wanategemea jeshi la polisi na maagizo kutoka juu kushinda kesi.
 
lugha kuu ya Mahakama ndio ipi hiyo?
inamaana hadi leo hii Lugha yetu ya Kiswahili haina Maana mbele ya Mahakama zetu za Tanzania?!
Pamoja na sheria kupitishwa na Bunge!!
Waziri wa Katiba na Sheria Prof: Kabudi yuko.wapi kuhakikisha kiswahili kinatumiwa na Mahakama.
Sisi Watanzania tutaelewaje hiyo inayo daiwa kuwa lugha kuu ya Mahakama?!!
Yaani kwa hali hii natamani Magufuli afufuke, inamaana Magufuli alivyo kuwa anasisitiza Kiswahili kitumike hawa viongozi walikuwa wanamkejeli tu!?
wakati akiwa hai sheria ilipitishwa haraka bila kuchelewa, leo hii nini kikubwa hicho kinacho chelewesha Mahakama kutokutumia Lugha ya Kiswahili?!
hizi Mahakama kweli zinawatumikia watanzania au zinawatumikia wazungu?
Huu ni Ubaguzi mkubwa ktk kudai haki ktk mahakama za Tanzania, Lugha ya Kiswahili ndio lugha ya Watanzania kwa nn Mahakama itumie Lugha ya kiingereza wakati inawahudumia waswahili?

Winston Churchill, nina mashaka sana kwa ulivyo hivyo kama unaweza hata ukamfahamu, alikuwa na elimu gani na kwa nini hadi leo hii ndio amekuwa the best performing PM in UK history.

Unashindwa hata kuelewa kwamba elimu na kipawa cha uongozi ni vitu viwili tofauti. Haya mnasema Magufuli alikuwa na PhD, sasa kama ni kweli ilikuwa ni ya halali ilimsaidiaje kwenye utawala wake wa kiimla?

Huyu rais wa sasa unafahamu Educational Background yake vizuri. Tatizo mkishawekwa humu kuponda wale wapinzani wa ccm basi hamtumii kabisa akili ktk kuhalalisha hizo "Wages" mnazolipwa kwa kuandika umbeya humu. Very hopeless.
Waulize kawawa au msekwa alikuwa elimu gani?
 
Back
Top Bottom