Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Eti wakuu.
Tunaposema jumuhuri ya Muungano wa Tanzania tunamaanisha nini?
Jamhuri inamaanisha nini?
Ina sifa gani?
Mbali na jamhuri, kuna vitu gani vingine?
Natanguliza shukrani.
Tunaposema jumuhuri ya Muungano wa Tanzania tunamaanisha nini?
Jamhuri inamaanisha nini?
Ina sifa gani?
Mbali na jamhuri, kuna vitu gani vingine?
Natanguliza shukrani.