Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Kwanza hujajibu swali. Sababu nataka kuokoa muda na kukusaidia. Jua ya kuwa si Jamhuri ya Kiislamu. Sasa kuhusu kujua ni Jamhuri ya nini ni jukumu lako kufatilia kama ukivyofatilia na kuona ya kuwa ni Jamhuri ya Kiislamu.

Kama hujufatilia na umesema kama visemavyo vyombo vya habri,hilo ni tatizo lako na unatakiwa uanze sasa kufatilia hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeokoa muda wako kwa kutoandika lolote.
Umemsaidia nini sasa muuliza swali!
Nonsense!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo kinyume na ukweli. Onyesha uislamu wa Ushia uko wapi ?
Usipoteze Muda yeyote anaekubali kwa moyo na kuthibitisha kwa ulimi kuwa ALLAH ni Mungu mmoja asie na mshirika na Mohammad ni mtume wake huyo ni MUISLAMU , hivyo basi kwa kuwa SHIA wanakubali hili hao ni waislamu , kuna swali jingine ?
 
Bro ulimwengu huu ukweli haujulikani na watu wenge isipokuwa wale ambso Allah amewarehemu.

Katika mambo ya kielimu hutakiwi kusema "Nijuavyo mimi....". Unatikiwa ujue uhalisia wa mambo kama wakubwa wako katika elimu wanavyoujua,yaani unatakiwa uujue ujweli halisi.

Kuna swali nataka nikuulize,umetumia vyanzo gani kujua ya kuwa Ushia ni jamii ya waislamu ?
Kwahiyo wewe Allah kakurehemu unaujua ukweli , lakini Mashia Allah hajawarehemu kwahiyo wako chaka , acha ujinga wewe ahaahaahaahhahaaahhaha
 
Iran na Saudi Arabia wana ugomvi gani na wote ni waislaam?
Saudi Arabia ni tawi la Marekani , wakati huo huo Marekani ni adui wa Iran, vile vile Saudia ni Masuni awataki Mashia wawe juu , wa Saudia wabinafsi sana wale , wamewakaribisha Makafiri kulinda nyumba takatifu ya ALLAH(Al kaaba ) hiki kitendo Iran anakikataa sana sana sana , vip Nyumba takatifu ya ALLAH ilindwe na wanywa gongo wa Marekani !!! ahaahhaaaahaaa
 
Huna lolote ujualo! Kaa kimya wacha kujifanya unajua kumbe hujui kitu.
Kwanza hujajibu swali. Sababu nataka kuokoa muda na kukusaidia. Jua ya kuwa si Jamhuri ya Kiislamu. Sasa kuhusu kujua ni Jamhuri ya nini ni jukumu lako kufatilia kama ukivyofatilia na kuona ya kuwa ni Jamhuri ya Kiislamu.

Kama hujufatilia na umesema kama visemavyo vyombo vya habri,hilo ni tatizo lako na unatakiwa uanze sasa kufatilia hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka nikusaidie,ila ukijibu maswali haya itakuwa rahisi sana.

Unakubali jamhuri ya Irani iko chini ya Mashia kiitikadi na ki mwenendo ?
Kwanini Mashia sio waislamu ebu wacha kuuliza maswali ya kichekechea hapa ?
 
Kwanza hujajibu swali. Sababu nataka kuokoa muda na kukusaidia. Jua ya kuwa si Jamhuri ya Kiislamu. Sasa kuhusu kujua ni Jamhuri ya nini ni jukumu lako kufatilia kama ukivyofatilia na kuona ya kuwa ni Jamhuri ya Kiislamu.

Kama hujufatilia na umesema kama visemavyo vyombo vya habri,hilo ni tatizo lako na unatakiwa uanze sasa kufatilia hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Funguka tu Zurri, Kwamba!; Kuiita Iran NI nchi ya Kisilamu ni kuudhalilisha Uisilamu! Wakati wao Mashia sio Waisilamu bali ni makafir Sawa na makafir wengine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro uko sahihi,na hapa natilia mkazo kwa maneno haya mafupi "Hakuna ibada yoyote ya mashia ikafanana na ibada ya waislamu". Huu ndio ukweli,kwa ufupi USHIA ni dini kando tofauti na uislamu.
Ungesema HAKUNA ibaada ya mashia inafanana na ibaada ya masunni ningekuelewa.. .
Kwasababu hivo ulivosema hata mshia anaweza kusema HAKUNA ibaada ya masunni inafanana na ibaada ya waislam
 
Usipoteze Muda yeyote anaekubali kwa moyo na kuthibitisha kwa ulimi kuwa ALLAH ni Mungu mmoja asie na mshirika na Mohammad ni mtume wake huyo ni MUISLAMU , hivyo basi kwa kuwa SHIA wanakubali hili hao ni waislamu , kuna swali jingine ?
Huwajui majui kijana,nikajua vitabu vyao nilivyo viweka humu umesoma.

Sipotezi muda kujadiliana na Mjings,na sio kila anaeshuhudia hilo anakuwa muislamu bali mtu anaingia kwenye uislamu kwa shahada na shahada katika uislamu ni mbili,ila kwa mashia ni tatu,sasa hiyo ya tatu mpaka kesho hawatuambii wameipata wapi.

Wao wanasema : Nashuhudia ya kuwa Allah ndie anaepaswa kuabudiwa na mtume Muhammad ni mja na mjumbe na nashuhudia ya kuwa Aliy ni Walii wa Allah. Hii shahada haipo katika Uislamu,na adhana zao zinasikika kila ucha na uchwao.

Nasema tena sibishani na mjinga,mjinga ambae hata nikikuambia utaje vitabu vya asili japo viwili vya USHIA huwezi kuvitaja.

Mashia wana mengi yakuwatoa katika uislamu na sio Waislamu.
 
Ungesema HAKUNA ibaada ya mashia inafanana na ibaada ya masunni ningekuelewa.. .
Kwasababu hivo ulivosema hata mshia anaweza kusema HAKUNA ibaada ya masunni inafanana na ibaada ya waislam
Kinachoangaliwa ni ushahidi.
 
Kinachoangaliwa ni ushahidi.
Yani ubishi kati ya suni na shia ni political struggle for power wala sio itikadi za dini siku ukilitambua hili utakuwa umeongoka
Alli na Abu bakr ndo walianzisha hizi malumbano na wote walikuwa na sifa za kuongoza...nimeona hapo juu bwana Hammaz alikuwa anajaribu kupotosha umma eti washia wanaamini mtume wao ni alli....huu ni ujinga
Kuhusu ushahidi kila mtu ana ushahidi wake na HAKUNA aliye 100% perfect
 
Back
Top Bottom