Lete nukuu ata moja katika vitabu hivyo inayokataa maneno ya Quran kuwa mwenye Kumkiri ALLAH ni Muislamu , rahisi kabisa maana naona uelewi
Nacheka sana,hili rahisi sana na litafafa usijali,usitafute lalutokea mpaka hili liishe,unakubali hivyo vitabu ni vya mashia na Mashia waa vitau vyao ?
Nani alikwambia kwamba kumkiri Allah pekee na mtume ndio kunamfanya mtu awe muislamu huku ukiwa na itikikadi potofu juu ya Allah na Mtume ?
Sababu naona mada imekuzi na kwa udhaifu wakk na kuoa kazi tafuta sehemu popote uwaulizs Mashia wanizubgumziaje hii Qur'aan.
Kijana umeshindwa kuweka ushahidi wa Mashia kukiri shahada