Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Lete nukuu ata moja katika vitabu hivyo inayokataa maneno ya Quran kuwa mwenye Kumkiri ALLAH ni Muislamu , rahisi kabisa maana naona uelewi

Nacheka sana,hili rahisi sana na litafafa usijali,usitafute lalutokea mpaka hili liishe,unakubali hivyo vitabu ni vya mashia na Mashia waa vitau vyao ?

Nani alikwambia kwamba kumkiri Allah pekee na mtume ndio kunamfanya mtu awe muislamu huku ukiwa na itikikadi potofu juu ya Allah na Mtume ?

Sababu naona mada imekuzi na kwa udhaifu wakk na kuoa kazi tafuta sehemu popote uwaulizs Mashia wanizubgumziaje hii Qur'aan.

Kijana umeshindwa kuweka ushahidi wa Mashia kukiri shahada
 
Inawezekana pia najibu maswali ya mtu ambae hana chembe ya uislam, haelewi nguzo za uislam wala za imani, wala haelewi fardhi, fardhi ain wala fardhi kifaya wala sunna wala mambo yanayotengua uislam wa mtu wala sheria za kiislam

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Yaani Omar akatae kuleta kalamu na karatasi ambayo aliomba mtume halafu unanilaumu mimi !!, yaani mtume na maradhi yake mpaka akawatimua halafu unaandika nini wewe, yaani mtume anaomba aandike kitu ambacho Uma wake wakikielewa hawatapotea halafu Omar anapinga , halafu ww unaona sawa !! Kweli mapenzi upofu
 
Nacheka sana,hili rahisi sana na litafafa usijali,usitafute lalutokea mpaka hili liishe,unakubali hivyo vitabu ni vya mashia na Mashia waa vitau vyao ?

Nani alikwambia kwamba kumkiri Allah pekee na mtume ndio kunamfanya mtu awe muislamu huku ukiwa na itikikadi potofu juu ya Allah na Mtume ?

Sababu naona mada imekuzi na kwa udhaifu wakk na kuoa kazi tafuta sehemu popote uwaulizs Mashia wanizubgumziaje hii Qur'aan.

Kijana umeshindwa kuweka ushahidi wa Mashia kukiri shahada
Mbona kuzunguzuka tena lete nukuu inayokataa kuwa mwenye kumkiri ALLAH sio muislamu ? acha mizunguko wewe
 
Salaam wakuu

Natambua kabisa kuwa JF iko na utajiri wa wajuvi wa mambo katika kada zote za maisha. Kijana wenu naomba kujuzwa haya machache yanayonitatiza kuhusu muundo wa serikali ya Iran.

Mosi, natambua kuwa Iran ni jamhuri ya Kiislamu, je kiongozi wa kidini wa Iran ana mamlaka kuliko kiongozi wa kisiasa wa Iran(rais)?
Pili, Iran haijawahi kupigana vita na Israel, nini chanzo cha uhasama wake na taifa hilo la Wayahudi (Israel)?
Tatu, Kwa nini Israel haitaki kabisa kuiona Iran ikiwa na ngome imara huko SYRIA?

Mosi: Kiongozi mkuu wa kidini wa jamhuri ya kiislam ya Iran ana mamlaka kuliko raisi wa nchi.
Pili: ugomvi wa Iran na Israel ulianza baada ya Iran kuwafadhili Hamas na kupinga Irael kukalia ardhi ya wapalestina na pia Iran ilipoanza kuwasaidia kiuchumi na kijeshi Hizbullah ambayo ilikua inapinga kuvamia mara kwa mara taifa lao la Lebanon pamoja na kuyakalia kimabavu baadhi ya maeneo ya nchi yao kama eneo la milima ya Golan.
Tatu: Israel haitaki Iran ijiimarishe kijeshi nchini Syria au katika taifa lolote la Asia magharibi kwa kua kufanya hivo kutaifanya Iran kua na nguvu kubwa kijeshi jambo ambalo ni hatari sana kwa ustawi wa Israel.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekwambia lete nukuu inayokwenda kinyume na QURAN , kuwa Mwenye kumkiri ALLAH asiwe Muislamu ? naona hatuelewani
Acha kupoteza muda. Tumalize la kwanza na ujibu lile swali kisha tuendelee,yaani mimi na vitabu nakupa,vitabu vinavyoelezea maana ya Shahada,kwahiyo hilo litafata baada ya wewe kutuonyesha ya kuwa Mashia wanakiri shahada,wapi umeona hilo.

Tena kitabu kimoja kinaitwa "Ma'an Laa ilaha ila Llah" kwahiyo usihofu juu ya hilo.
 
Mada nzuri Sana sema imeshabadilishwa mwelekeo.
 
Yaani Omar akatae kuleta kalamu na karatasi ambayo aliomba mtume halafu unanilaumu mimi !!, yaani mtume na maradhi yake mpaka akawatimua halafu unaandika nini wewe, yaani mtume anaomba aandike kitu ambacho Uma wake wakikielewa hawatapotea halafu Omar anapinga , halafu ww unaona sawa !! Kweli mapenzi upofu
Huna jipya endelea kusema hivyo hivyo, wakati angeweza kuongea hata kwa mdomo.then acha kuaminisha umma kuwa mtume alikuwa anataka kuandika kuwa Ali ndio khalifa wa waislam.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Yaani watu waliopewa pepo haliyakuwa bado wako hai duniani waje kuiharibu haribu dini ya allah namna hii! Allah ni mjuzi zaidi basi kina abubakar, umar, uthman na ali wasingepewa daraja kubwa kama ingekuwa hivyo!! Maana allaha angewajua mapema!!

Mengine tunavuruganya sisi tu!
Hahaha wake tabiriwa pepo wapi ..hao wamejitabiria wao wenyewe..history huwa inaandikwa na washindi aisee
 
NIMEAMUA KWENDA EXTRA MILE JUU YA SWALI LAKO, NAOMBA UPITIE HAPA NA IKIKUPENDEZA WAWEZA FUTA SWALI LAKO PIA

Kaka usileta mambo ya habari za mitandaoni, leta ushahidi wa Uislamu kuonyesha ya kuwa Irani ni nchi ya kiislamu, na sio kwa mujibu wa siasa za kimataifa na kile wanachojinasibu kwacho mashia.

Nchi ya Irani ni ya Kiislamu kwa mujibu wa nani ?

Unawezaje kwenda kinyume na maandiko ya Allah na mtume wake halafu ukaendelea kuwa Muislamu?

Ama kujiita acha wajiite ila kiuhalisia sio Waislamu. Hivi kaeni chini muwasomi mashia, tena kwenye vitabu vyao muone mabaya yao.

Miongoni mwa itikadi za mashia ni kuwa :

1. Maswahaba Abuu Bakr, Umar, Uthman, mama yetu Aisha kwamba ni makafiri na waliritadi.
2. Wanaamini ya kuwa maimamu wao hawakosei, yaani maasum
3. Wanadai Qur'aan hii tuliyo nayo haijakamilika na iliyokamilika ipo kwa mtu aitwae Mahdi ambaye yuko mafichoni huko anasubiri muda ufike adhihiri.
4. Wana amini ya kuwa kwenda Karbala kuzulu kaburi la Hussein ni bora kuliko kuhiji Makka mara elfu.
5. Wana shahada tatu na sio mbili kama zetu sisi Waislamu.
6. Wanasema Jibril alifanya khiyana kupeleka utume kwa mtume Muhammad na aliye stahili ni Ali.

Sasa hawa watu mnatakiwa muwajue kwanza.
 
Kwanza hujajibu swali. Sababu nataka kuokoa muda na kukusaidia. Jua ya kuwa si Jamhuri ya Kiislamu. Sasa kuhusu kujua ni Jamhuri ya nini ni jukumu lako kufatilia kama ukivyofatilia na kuona ya kuwa ni Jamhuri ya Kiislamu.

Kama hujufatilia na umesema kama visemavyo vyombo vya habri,hilo ni tatizo lako na unatakiwa uanze sasa kufatilia hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha majibu ya Dharau wewe

MTU ameuliza vizuri mjibu vizuri ikiwa unafahamu kama hufahamu nyamaza wajibu wengine

Unauliza uliza maswali ili uonekane unajua sana au?

Acha dharau Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huruma wapi wewe?
unaonekana mbinafsi.. et "Nimeingia na huruma ya ki elimu"

halafu ulivyokuwa hujuh UMESHINDWA tambua kuwa ndani ya uislamu kuna madhehebu as ukristo ulivyo na madhehebu yake eg.roman Lutheran etc
hao shia wapo ndani ya uislamu.
na itikadi zao zpo different sana na Hawa wa kawaida...ambao ni madhehebu mengine.
na ndiyo sababu kuu ya kuwa against na wenzao..mbona hapa bongo kuna wale wa shia aka wasuni.wao Wana taratibu zao ma ufika mbali ZAIDI hata kuipinga bakwata na Wana umoja wao na Sheria zao..but haijabadilisha wao kuwa waislamu...
kuna propaganda nyingi zinasemwa dhidi ya iran lakini ki uhalisia c za kweli..

ni kama Roman walivyo na itikadi tofauti na walokole na kufikia hatua ya kupingana but haibadilishi maana ya kuwa walkristo...
Haswaaa

Huyo Mfia dini ndivyo alivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...ukiona muislam anang'ang'ana eti sijui washia sio waislamu ujue huyo ni wale wavaa surual fupi a.k.a wahabia,na ukiwa karibu nae huyo ukae nae kwa makini sana,maana hawa ni hardliner,hachelewi kukufyeka kichwa au kujilipua,na huo ndo ujinga walio nao baadhi ya hawa extremist
NI KWELI KABISA

Kama huyu Zurri na FaizaFoxy

Wanaweza kujilipua hata sasahivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaa chini ufikiri tena vizuri maana naona kama haujafikiria bado.
Maswala ya kugawana mali na kuuacha umma wa kiislam kwa zama hizo ndani ya siku moja tu bila kiongozi ni tatizo kubwa sana.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Me navyojua waislam huwa hawachelewi kuzika kusinge kuwa na ugumu kumzika kwanza mtume halafu waje waendelee na kikao cha madaraka hawa wakina umar na mwenzie abubakr walikuwa na agenda yao na kama mtume angekufa zama hizi ingebid kifo chake kichunguzwe pengine hata hawa jamaa walihusika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me navyojua waislam huwa hawachelewi kuzika kusinge kuwa na ugumu kumzika kwanza mtume halafu waje waendelee na kikao cha madaraka hawa wakina umar na mwenzie abubakr walikuwa na agenda yao na kama mtume angekufa zama hizi ingebid kifo chake kichunguzwe pengine hata hawa jamaa walihusika

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mtu anatakiwa kuzikwa na watu wangapi? Au hao waliokuwepo kwenye kumzika hawakutosha?

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Back
Top Bottom