Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Umetoa nukuu ambayo references yake umeandika kihuni , andika references sahihi ili tukuletee hiyo nukuu, sio unaleta janja janja hapa

Nacheka sana, ungekuwa karibu yangu ningekupiga makofi.

Inaonekana hiki kitabu unacho, na kama nimekosea unatakiwa unisahishe kwa kuweka hiyo nukuu na matini.

Kijana nina uhakika hiki kitabu ndio kwanza umekisikia au kuona jina hilo hapa nilipokiandika.

Unataka kuleta uhuni wa kishamba hapa?! Hatulei vilaza sisi.
 
Alijua kwa matendo ya maswahaba , kama mtu anaweza kumkatalia mtume asiandike final wish kwa ajili ya Umma usipotee , inakuaje kama ataona Aya Ali kapewa mamlaka ? tena mtume kamsaidia sana Ali kwa tamaa za Akina Omari wangemuua kama wangeona hizo Aya , mtu kamdindia mtume itakuwa Ali , ebu tumia akili yako vizuri

Yaani mashia hamna akili kama walivyo wakana Mungu.

Hivi kweli Allah aamue jambo lake kuna mja anae weza kuzuia tena jambo lenyewe liwe lina husu hatima ya umma ? Kwahiyo Swahaba amemshinda Allah na mtume wake sio ?

Sijawahi kuona watu vilaza kama Mashia.
 
Yaani mashia hamna akili kama walivyo wakana Mungu.

Hivi kweli Allah aamue jambo lake kuna mja anae weza kuzuia tena jambo lenyewe liwe lina husu hatima ya umma ? Kwahiyo Swahaba amemshinda Allah na mtume wake sio ?

Sijawahi kuona watu vilaza kama Mashia.
Mtume anataka kalamu na karatasi aandike jambo ambalo uma hautopotea wakilishika jambo hilo , Omar na genge lake wanakataa kumletea mtume kalamu na karatasi kwa kujifanya wao wanajua kuliko mtume , halafu unajifanya uelewi kweli umeamua kuamini ujinga
 
Nacheka sana, ungekuwa karibu yangu ningekupiga makofi.

Inaonekana hiki kitabu unacho, na kama nimekosea unatakiwa unisahishe kwa kuweka hiyo nukuu na matini.

Kijana nina uhakika hiki kitabu ndio kwanza umekisikia au kuona jina hilo hapa nilipokiandika.

Unataka kuleta uhuni wa kishamba hapa?! Hatulei vilaza sisi.
Nasahihisha vip wakati ata references imeandikwa kihuni , ebu jifunze kuandika reference kabla haujaleta nukuu hapa , nafikir unajua umuhimu wa kuandika reference usiwe kama Omar kujifanya ujuaji mpaka anamfundisha mtume kipi cha kuandika, narudia tena mimi sio SHIA nafikir nimeeleweka
 
Mtume anataka kalamu na karatasi aandike jambo ambalo uma hautopotea wakilishika jambo hilo , Omar na genge lake wanakataa kumletea mtume kalamu na karatasi kwa kujifanya wao wanajua kuliko mtume , halafu unajifanya uelewi kweli umeamua kuamini ujinga
Huna hoja. Unaleta hisia.

POA.
 
Nasahihisha vip wakati ata references imeandikwa kihuni , ebu jifunze kuandika reference kabla haujaleta nukuu hapa , nafikir unajua umuhimu wa kuandika reference usiwe kama Omar kujifanya ujuaji mpaka anamfundisha mtume kipi cha kuandika, narudia tena mimi sio SHIA nafikir nimeeleweka
Nikajua kumbe hata kitabu labda unakijua kumne porojk tupu.

Sisi wenzako tukiambiwa jina la kitaby kazi inakuwa imeisha.

Kijana hiki kina kirefu.

Kazi yangu nimemaliza.
 
Funguka tu Zurri, Kwamba!; Kuiita Iran NI nchi ya Kisilamu ni kuudhalilisha Uisilamu! Wakati wao Mashia sio Waisilamu bali ni makafir Sawa na makafir wengine!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama washia ni makafir kwanini Saudi Arabia kawakaribisha makafiri wa kimarekani kuja kulinda sehemu takatifu sana kwenye uislamu Mecca na Medina,? Je unakubaliana na makafir kulinda sehemu takatifu km hizi? Unajua hata chanzo cha Osama bin laden kuzinguana na marekani ni yeye kutokukubaliana na makafir(marekani) kulinda mecca na alishawahi kusema mecca na Medina zinatakiwa zilindwe na waislamu wenyewe na sio makafir?
 
Yaani Omar akatae kuleta kalamu na karatasi ambayo aliomba mtume halafu unanilaumu mimi !!, yaani mtume na maradhi yake mpaka akawatimua halafu unaandika nini wewe, yaani mtume anaomba aandike kitu ambacho Uma wake wakikielewa hawatapotea halafu Omar anapinga , halafu ww unaona sawa !! Kweli mapenzi upofu
Mzee kwani mtume alikuwa anajua kuandika?? ilhali hajui kusoma?
 
Kama washia ni makafir kwanini Saudi Arabia kawakaribisha makafiri wa kimarekani kuja kulinda sehemu takatifu sana kwenye uislamu Mecca na Medina,? Je unakubaliana na makafir kulinda sehemu takatifu km hizi? Unajua hata chanzo cha Osama bin laden kuzinguana na marekani ni yeye kutokukubaliana na makafir(marekani) kulinda mecca na alishawahi kusema mecca na Medina zinatakiwa zilindwe na waislamu wenyewe na sio makafir?
Unaongeza idadi ya makafiri [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji44][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuuliza maswali kadhaa :

1. Kwani kuzika ni lazima kwa watu wote au wachache hutosheleza wengine ?

2. Kati ya kuzika na kupata kiongozi lipi ni zito kuliko lingine ?

Ukijibu maswali haya uwe unaweka na ushahidi usilete story za vijiweni.
Mimi sio muislamu ila kwa mtazamo wangu kumsitiri huyo mtume wenu ilikuwa ni jambo la muhimu zaidi kuliko huo uchaguzi,
 
Salaam wakuu

Natambua kabisa kuwa JF iko na utajiri wa wajuvi wa mambo katika kada zote za maisha. Kijana wenu naomba kujuzwa haya machache yanayonitatiza kuhusu muundo wa serikali ya Iran.

Mosi, natambua kuwa Iran ni jamhuri ya Kiislamu, je kiongozi wa kidini wa Iran ana mamlaka kuliko kiongozi wa kisiasa wa Iran(rais)?
Pili, Iran haijawahi kupigana vita na Israel, nini chanzo cha uhasama wake na taifa hilo la Wayahudi (Israel)?
Tatu, Kwa nini Israel haitaki kabisa kuiona Iran ikiwa na ngome imara huko SYRIA?
na kwanini kwao sio inshu sana kwenda kuhiji makka ilihali ni mojawapo ya nguzo za huo uisilamu wanaouhubiri kwamba taifa lao linafuata misingi yake?
 
Nikajua kumbe hata kitabu labda unakijua kumne porojk tupu.

Sisi wenzako tukiambiwa jina la kitaby kazi inakuwa imeisha.

Kijana hiki kina kirefu.

Kazi yangu nimemaliza.
Yale yale babu taja references kwa usahihi wake acha mboyoyo ata QURAN imewekwa SURA na AYA , au unafikir wameweka kwa ujinga ? ata hili tukufundishe
 
Huna hoja. Unaleta hisia.

POA.
Yaani mtume atake kalamu na karatasi kuandika final wish halafu Omary na genge lake wakatae unaniambia sina hoja ahahahahaha Omary anamfundisha mtume kipi cha kufanya , OMAR ni mtu asie na adabu ata kidogo kwa mtume
 
Kwani ni nani aliyebashiriwa matendo yakiwa yamesimama?
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Ubashiri unaweza ukatimia au usitimie , kama huyu anaebashiriwa atakuwa katika hali tofauti na ile iliyomfanya abashiriwe mwanzo, Omari kawa jeuri anakataa final wish ya mtume huu ni UASI yaani amemuasi mtume kisha akamuasi ALLAH
 
Mimi sio muislamu ila kwa mtazamo wangu kumsitiri huyo mtume wenu ilikuwa ni jambo la muhimu zaidi kuliko huo uchaguzi,
Marafiki wa karibu wa mtume Abubakar na Omary badala ya kushughulika na msiba wa rafiki yao kipenzi wao wanaangaika na vyeo ata mtume ajazikwa , hii inaonesha walikuwa na maslahi yao binafsi kwa mtume ndio maana ata adabu walikosa yaani walishindwa vip kukaa kimya mpaka mtume azikwa ndio waendelea na mambo yao ya madaraka ? hii inashangaza hawa ni wahuni na waroho wa madaraka
 
Back
Top Bottom