datz
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 858
- 972
Siyo jambo la msingi sana halina mantiki yoyote katika maisha halisi."Nawasalimia Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Huyu ni nani???
Nimekujibu kirahisi sababu ni jambo rahisi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo jambo la msingi sana halina mantiki yoyote katika maisha halisi."Nawasalimia Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Huyu ni nani???
Mwache tu kama havunji sheria ya nchi.
ni sisi watanzania wote !"Nawasalimia Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Huyu ni nani???
Nina uhakika mnaoona hiyo salami haiko sawa mtakuwa wawili tu au watano kati ya was Tz m60. Sasa hapo ndio ujione NDEZI.Mkuu hii salamu Haina msingi wa kuitegemea.
Huyo Jamhuri hafahamiki ni nani...
Rais ajitahidi tu kusema Bwana Yesu asifiwe, maana ukishakua kiongozi unakua kiongozi wa wote,Nina uhakika mnaoona hiyo salami haiko sawa mtakuwa wawili tu au watano kati ya was Tz m60. Sasa hapo ndio ujione NDEZI.
Mnahangaika sana kutafuta cha kumkosoa Mama hampati. Ipo siku mtasema kuvaa Mtandio sio sawa.
Mkuu sihangaiki,Mbona unaangaika sana ila yawekana
wewe ndo yule aliyekua anajiita stroke
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa kifupi hii salamu siipendi hata kidogo. Kwanza imechakachua salamu yetu wakristo. Ingetungwa tofauti nisingekuwa na neno. Sisi yetu ni "Nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo", Sasa hii ya huyu mama imechakachua salamu yetu.Unajua madhara ya kuambiwa ^Badilisha hiki, badili na kile pia. Ona, badilisha hapa. Badilisha kila kitu kabisa. Hakikisha the so-called legacy inasahaulika,^ ndiyo haya ya kusafiri bila kujua aendako...
labda anaogopa akisema hivyo ataangushwa na mapepo hahahahahaTunakwepa kutamka “Tumsifu Yesu Kristu “ na “Bwana Yesu asifiwe “.
Nimeanza kuhisi yawezekana unasali kwa Kakobe au Gwajima."Nawasalimia Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Huyu ni nani???
Wewe unafikiri ni nani. Tuanzie hapo majibu tutayapata ."Nawasalimia Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Huyu ni nani???
Umeaniacha mkuu kwenye neno SLOGUN; umemaanisha nini?Binafsi sioni kama kuna tatzo maana tumezoea kuona kila utawala ukija na SLOGUN yake kama;
A) Ujamaa na Kujitegemea...
B) Ruksa...
C) Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe...
D) Maisha bora kwa kila mtanzania....
E) Hapa kazi tu...
........ na hapo katikati tumekosa kosa MAISHA NA BATA.[emoji23][emoji23][emoji23]..!!
F) Na sasa tunasalimiana ktk jina la jamuhuri ya muungano
Ahahahahahahaha mzee wa AmphiphiloNimeanza kuhisi yawezekana unasali kwa Kakobe au Gwajima.
Kuna watu wameshajiaminisha kuwa nchi hii kuna dini mbili pekee.Umeongea pumba kishenzi. Binafsi hii salama ndio ilitakiwa kutumika miaka yote. Ni salamu nzuri inayojumuisha watanzania wote wenye dini na wasio na dini. ...Kwa nyongeza tu ni unafiki kusema salamu aleikyumu wakati huamini kwenye uislamu hivyo hivyo ni unafiki kusema bwana Yesu asifiwe wakati huamini Yesu ni mwana wa Mungu. Mama ni intelligent na wewe ni kilaza hivyo usimbishie.