Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Kusalimu kwa kusema"kidumu chama cha mapinduzi" inawezekana ila kwa kuwa ni raisi wa TZ , Jamhuri ya muungano ni salamu sahihi. Big up Mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tatizo kwa wengine na sio lazima Kila unachokifikiri wewe kuwa sawa basi iwe Kwa kola mtu,
Lazima pia ujifunze kukubali fikra za wengine,
Nchi huru hii.
Na kwa taarifa yako tu , thread hii inawakilisha mawazo ya wengi tu, ingawa wengine hawataki kusema.
Ukweli unapotakiwa kusemwa usemwe.
Aaahh..we kijana suala dogo kama hilo linakushinda kulichambua!! Sasa u DC utauweza kweli..nasikitika kukwambia kwamba hautakuwepo kwenye mkeka!Mh. Rais Samia ,
Naamini unafahamu kabisa kuwa, Mwaka 2020 wakati tunampigia kampeni Dr. Magufuli, tulikupigia kampeni na wewe ukiwa mgombea mwenza.
Tuliwaamini nyote wawili kwamba ni watu sahihi kuliongoza Taifa letu.
Sasa wewe ni Rais wetu, hakuna ubishi katika hilo.
Sasa Mh. Rais napata ukakasi kidogo kwa kauli zako , Kila unapotusalimia,
Huyu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unayemtaja ni nani hasa,
Maana ninavyofahamu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi inayotokana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Sasa hakuna mtu, kitu, watu, vitu kwa jina hilo.
Ingawa naelewa kwamba unataka usionekane kuwa unapendelea Dini yeyote,
Lakini Bado Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Haina hadhi ya kutajwa Kwa jina.
Sio sahihi kuipa hadhi hiyo.
Serikali Haina dini, lakini sisi raia tuna dini zetu, na hatumfahamu huyo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mh. Rais, salami hii, inatufikirisha mno sisi wengi,
Unaweza usiambiwe ILA Kuna haja ya kuachana nayo.
Wasalaaam,
Statesman,
Dar es Salaam.
Mleta mada ni shuleless atakuchosha bure. He knows nothing.Kamusi imebeba salamu zote na ni fixed.
Tafuteni mengine, kamusi bado inakuhitaji wewe uipe misamiati.
Nasisitiza, “Ni unafiki kusema Bwana Asifiwe, kama huamini Yesu ni mwana wa Mungu!” Naongeza pia, ukisha Sema Bwana Asifiwe, ukisema asalam aleykum, unakanusha ulichosema mwanzo and vise vesa!
Nawasalimu kwa jina la "Marekani"
Nawasalimu kwa jina la "Indonesia"
Nawasalimu kwa jina la "Nigeria"
Nawasalimu kwa jina la "Uturuki"
Hapo vipi
Kikubwa Kayafa Hamnazo kafa hayo mengine ni madogo na yanavumilikaMkuu hii salamu Haina msingi wa kuitegemea.
Huyo Jamhuri hafahamiki ni nani.
Kwanini Rais anahofia kusalimia wananchi Kwa kuzitambua dini zao au tamaduni zao??
Kama anaona soni kusema Asalam Aleykum au Bwana Yesu Asifiwe basi aseme tu Habarini za saa hizi ma bibi na mabwana.
Huyo Jamhuri ndio nani??
Miaka yote ya uongozi wake alikuwa akisema na kusalimia kawaida, sasa tangu ile Machi juzi amestuka nini!???Rais ajitahidi tu kusema Bwana Yesu asifiwe, maana ukishakua kiongozi unakua kiongozi wa wote,
Ila kusema nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Kwa hapa nyumbani Tanzania hiyo sio salamu.
Shangaa na wewe mkuu. Mleta mada alishindwa kuhoji vitu vinavyowagusa watanzania wakiwemo wazazi wake kule Isanga mwalugesha lakini leo hii anahoji salamu. Cha ajabu zaidi salamu haina tatizo lolote ila uelewa wake ndio wenye shida ila bado hilo halioni.Akili ndogo inahangaika na mambo ya kitoto.
Serikali ilichepusha 1.5 trillion shillings bila maelezo ya kueleweka. Watu walipiga kimya tu hapa... leo wanataka tujadili salamu
Itoshe tu kusema tunaabudishwa tusichokijuaKwa kifupi hii salamu siipendi hata kidogo. Kwanza imechakachua salamu yetu wakristo. Ingetungwa tofauti nisingekuwa na neno. Sisi yetu ni "Nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo", Sasa hii ya huyu mama imechakachua salamu yetu.
Mkuu ondoa neno "kuvumilika". Hii salamu haina shida yeyote, in fact ni salamu nzuri na yenye maana kubwa sana kwa watanzania wote. Haibagui dini, kabila, rangi wala ukoo zaidi inahamasisha uzalendo, kutuunganisha na kutukumbusha kuwa ardhi ya Tanzania ndio ardhi pekee tunayotakiwa kujivunia.Kikubwa Kayafa Hamnazo kafa hayo mengine ni madogo na yanavumilika
Ni nchi anayoiongozaMkuu hii salamu Haina msingi wa kuitegemea.
Huyo Jamhuri hafahamiki ni nani.
Kwanini Rais anahofia kusalimia wananchi Kwa kuzitambua dini zao au tamaduni zao??
Kama anaona soni kusema Asalam Aleykum au Bwana Yesu Asifiwe basi aseme tu Habarini za saa hizi ma bibi na mabwana.
Huyo Jamhuri ndio nani??
[emoji119][emoji119]Mfano wewe ungekuwa mama haya tusalimie sasa......tunasubiria
Umeona eeh!!!!