avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Katika kitu cha busara alichofanya Raisi wetu ni kubuni salamu hii ambayo nitaomba iendelezwe kwa mustakabali wa diversity zetu.
1.Zamani tulikuwa tukiambiwa nchi haina dini lakini kiongozibanasimama na kuanza kusalimia salamu za dini mbalimbali nusu saa
2. Mwingine kwa makusudi , kwenye hadhira yenye watu wengi anasalimia salamu moja tu ambayo inatumika kwenye dini yake wakati kuna mkusanyiko wa watu wengi watu wakilalamika anajitetea kwa kutoa tafsiri ya maana ya salamu hiyo ya kigeni kuwa ni nzuri tuu
3.Hata akisalimia kwa salamu zote bado swali lilikuwa ninaulizwa kwa nini kaanza kutaja salamu ya dini yake? Haya mambo yalileta mkanganyiko mkubwa na kuonyesha kwamba tunadharauliana na kuna watu waliona dini zao ni subprime over others
4.Nashauri salamuu hii ya kizalendo itumike sehemu zote zenye hafla za kiseriksli na za kijamii na kwa watu wote wenye itikadi tofauti
5. Salamu za kidini zibaki kwenye nyumba za ibada husika au kwa watu wanaojuana wana imani moja wanapokutana
HONGERA SANA MH. RAISI WANGU KWA UBUNIFU HUU
1.Zamani tulikuwa tukiambiwa nchi haina dini lakini kiongozibanasimama na kuanza kusalimia salamu za dini mbalimbali nusu saa
2. Mwingine kwa makusudi , kwenye hadhira yenye watu wengi anasalimia salamu moja tu ambayo inatumika kwenye dini yake wakati kuna mkusanyiko wa watu wengi watu wakilalamika anajitetea kwa kutoa tafsiri ya maana ya salamu hiyo ya kigeni kuwa ni nzuri tuu
3.Hata akisalimia kwa salamu zote bado swali lilikuwa ninaulizwa kwa nini kaanza kutaja salamu ya dini yake? Haya mambo yalileta mkanganyiko mkubwa na kuonyesha kwamba tunadharauliana na kuna watu waliona dini zao ni subprime over others
4.Nashauri salamuu hii ya kizalendo itumike sehemu zote zenye hafla za kiseriksli na za kijamii na kwa watu wote wenye itikadi tofauti
5. Salamu za kidini zibaki kwenye nyumba za ibada husika au kwa watu wanaojuana wana imani moja wanapokutana
HONGERA SANA MH. RAISI WANGU KWA UBUNIFU HUU