Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kilichomfanya aikatae salamu yetu ndicho kinachotufanya tuikatae salamu yake. Hapo upo!???When you go places, go places with style. Mama amebuni Salamu na akatuelekeza jinsi yakuijibu. Hiyo ni maalum kwa ajili yake baada ya hapo endelea na utamaduni wako, tatizo lipo wapi?
Ndiyo maana Bi Mkubwa wako akashauriwa atumie salamu zingine mbadala kwa vile ziko nyingi tu. Unapopindisha lugha kama anavyofanya hapa kwenye salamu yake ya JMT, ni wazi huo ni mwelekeo wa kukufuru.Mbona sioni watu wengi masokoni na sehemu nyingine mitaani wakisalimiana Tumsifu Yesu Kristu au Asalamaleku
Hii salamu nzuri sana jwa sababu hizi.Mh. Rais Samia ,
Naamini unafahamu kabisa kuwa, Mwaka 2020 wakati tunampigia kampeni Dr. Magufuli, tulikupigia kampeni na wewe ukiwa mgombea mwenza.
Tuliwaamini nyote wawili kwamba ni watu sahihi kuliongoza Taifa letu.
Sasa wewe ni Rais wetu, hakuna ubishi katika hilo.
Sasa Mh. Rais napata ukakasi kidogo kwa kauli zako , Kila unapotusalimia,
Huyu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unayemtaja ni nani hasa,
Maana ninavyofahamu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi inayotokana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Sasa hakuna mtu, kitu, watu, vitu kwa jina hilo.
Ingawa naelewa kwamba unataka usionekane kuwa unapendelea Dini yeyote,
Lakini Bado Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Haina hadhi ya kutajwa Kwa jina.
Sio sahihi kuipa hadhi hiyo.
Serikali Haina dini, lakini sisi raia tuna dini zetu, na hatumfahamu huyo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mh. Rais, salami hii, inatufikirisha mno sisi wengi,
Unaweza usiambiwe ILA Kuna haja ya kuachana nayo.
Wasalaaam,
Statesman,
Dar es Salaam.
^We can easily forgive a child who is afraid of the darkness; the real tragedy of life is when men and women are afraid of the light.^ ~ Plato.Hii salamu nzuri sana jwa sababu hizi.
1. itaondoa zile zinqzohusishwa kidini na kiutqmaduni fulani kama "Asalaam aleikum, bwana asifiwe".
2.Ni salamu moja inayomuunganisha kila Mtanzania anayeitqmbua na kuikubali n hi yake.
3. Inaonesha focus ni utaifa, si mtu binafsi kama Mfalme fulani, au chama tawala/ upinzani.Kwenye mikutano ya kitaifa mqthalan, kumsikia rais anasalimia kidumu chama cha Mapinduzi kunaweza kukera wapinzani. Lakini hii ni salamu ya Watanzania wote.Zaidi, katika zama hizi za mmomonyoko wa umoja wa kitaifa, salamu itawakumbusha Watanzania umoja wao katika Utanzania.
4.Ni salamu ya usawa.Yeyote anaweza kumsalimia yeyote, haina utata wa salamu kama Shikamoo ambayo mdogo anamsalimia mkubwa kuitoa inabidi uanze kupiga mahesabu.
5. Inakata mlolongo wa salamu ndefu na nyingi ambazo zinapoteza muda tu.
Mnaumia kwa vitu vidogo sana. Badala mlalamikie kuanzishwa kwa vyuo hata vya kujifunza kutengeneza pembejeo, manalilia salamu za makanisani na misikitini.Mkuu hii salamu Haina msingi wa kuitegemea.
Huyo Jamhuri hafahamiki ni nani.
Kwanini Rais anahofia kusalimia wananchi Kwa kuzitambua dini zao au tamaduni zao??
Kama anaona soni kusema Asalam Aleykum au Bwana Yesu Asifiwe basi aseme tu Habarini za saa hizi ma bibi na mabwana.
Huyo Jamhuri ndio nani??
Si salamu mbaya.Hii salamu nzuri sana jwa sababu hizi.
1. itaondoa zile zinqzohusishwa kidini na kiutqmaduni fulani kama "Asalaam aleikum, bwana asifiwe".
2.Ni salamu moja inayomuunganisha kila Mtanzania anayeitqmbua na kuikubali n hi yake.
3. Inaonesha focus ni utaifa, si mtu binafsi kama Mfalme fulani, au chama tawala/ upinzani.Kwenye mikutano ya kitaifa mqthalan, kumsikia rais anasalimia kidumu chama cha Mapinduzi kunaweza kukera wapinzani. Lakini hii ni salamu ya Watanzania wote.Zaidi, katika zama hizi za mmomonyoko wa umoja wa kitaifa, salamu itawakumbusha Watanzania umoja wao katika Utanzania.
4.Ni salamu ya usawa.Yeyote anaweza kumsalimia yeyote, haina utata wa salamu kama Shikamoo ambayo mdogo anamsalimia mkubwa kuitoa inabidi uanze kupiga mahesabu.
5. Inakata mlolongo wa salamu ndefu na nyingi ambazo zinapoteza muda tu.
Team Jiwe kazini !
mna ujinga mwingi sana,mpaka wajinga wanaona aibu.Leteni ujinga wenu dola chini ya magufuli haikutenda haki msimtingishe mama mtaumia
Kwani ukiambiwa za asubuhi huyo za asubuhi atakuwa ndo Mungu?Unajua madhara ya kuambiwa ^Badilisha hiki, badili na kile pia. Ona, badilisha hapa. Badilisha kila kitu kabisa. Hakikisha the so-called legacy inasahaulika,^ ndiyo haya ya kusafiri bila kujua aendako.
Christians and people of faith must know that, kwa kuitikia salamu husika, basi ^mungu^ wao sasa ni JMT. Salamu ni kutakiana ama kukiri heri baada ya kukutana ama kutengana kwa muda. Na heri inatoka kwa Maulana, na wala siyo kwa JMT -- huyu ^mungu^ mpya wa Bi Mkubwa!!!
Nimetamani kukupa like tatu kwa wakati mmoja.Kwa kifupi hii salamu siipendi hata kidogo. Kwanza imechakachua salamu yetu wakristo. Ingetungwa tofauti nisingekuwa na neno. Sisi yetu ni "Nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo", Sasa hii ya huyu mama imechakachua salamu yetu.
Kafie mbele huko, mshakosa yakupinga,,mmebakia kukosoa hadi vitu vya kijinga kenge nyinyiAnavunja sheria za dini na utu, salamu ya JMT ni salamu ipi, ikoje?
Hamna dogo nyie akianza kusalimu kwa “ asalaam alleykum “ halafu “ tumsifu yesu kristo “ mtasema kwa nini anaanza kuwasalimu waislam.Bora atusalimu kwa Jamhuri na kazi iendelee.Mkuu hii salamu Haina msingi wa kuitegemea.
Huyo Jamhuri hafahamiki ni nani.
Kwanini Rais anahofia kusalimia wananchi Kwa kuzitambua dini zao au tamaduni zao??
Kama anaona soni kusema Asalam Aleykum au Bwana Yesu Asifiwe basi aseme tu Habarini za saa hizi ma bibi na mabwana.
Huyo Jamhuri ndio nani??
Unajua madhara ya kuambiwa ^Badilisha hiki, badili na kile pia. Ona, badilisha hapa. Badilisha kila kitu kabisa. Hakikisha the so-called legacy inasahaulika,^ ndiyo haya ya kusafiri bila kujua aendako.
Christians and people of faith must know that, kwa kuitikia salamu husika, basi ^mungu^ wao sasa ni JMT. Salamu ni kutakiana ama kukiri heri baada ya kukutana ama kutengana kwa muda. Na heri inatoka kwa Maulana, na wala siyo kwa JMT -- huyu ^mungu^ mpya wa Bi Mkubwa!!!
666Mh. Rais Samia ,
Naamini unafahamu kabisa kuwa, Mwaka 2020 wakati tunampigia kampeni Dr. Magufuli, tulikupigia kampeni na wewe ukiwa mgombea mwenza.
Tuliwaamini nyote wawili kwamba ni watu sahihi kuliongoza Taifa letu.
Sasa wewe ni Rais wetu, hakuna ubishi katika hilo.
Sasa Mh. Rais napata ukakasi kidogo kwa kauli zako , Kila unapotusalimia,
Huyu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unayemtaja ni nani hasa,
Maana ninavyofahamu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi inayotokana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Sasa hakuna mtu, kitu, watu, vitu kwa jina hilo.
Ingawa naelewa kwamba unataka usionekane kuwa unapendelea Dini yeyote,
Lakini Bado Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Haina hadhi ya kutajwa Kwa jina.
Sio sahihi kuipa hadhi hiyo.
Serikali Haina dini, lakini sisi raia tuna dini zetu, na hatumfahamu huyo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mh. Rais, salami hii, inatufikirisha mno sisi wengi,
Unaweza usiambiwe ILA Kuna haja ya kuachana nayo.
Wasalaaam,
Statesman,
Dar es Salaam.
Kafie mbele huko, mshakosa yakupinga,,mmebakia kukosoa hadi vitu vya kijinga kenge nyinyi
Hii ni kujaribu kukwepa kutamka neno Bwana kwa waprotestanti au Yesu Kristo kwa wakatolikiMh. Rais Samia ,
Naamini unafahamu kabisa kuwa, Mwaka 2020 wakati tunampigia kampeni Dr. Magufuli, tulikupigia kampeni na wewe ukiwa mgombea mwenza.
Tuliwaamini nyote wawili kwamba ni watu sahihi kuliongoza Taifa letu.
Sasa wewe ni Rais wetu, hakuna ubishi katika hilo.
Sasa Mh. Rais napata ukakasi kidogo kwa kauli zako , Kila unapotusalimia,
Huyu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unayemtaja ni nani hasa,
Maana ninavyofahamu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi inayotokana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Sasa hakuna mtu, kitu, watu, vitu kwa jina hilo.
Ingawa naelewa kwamba unataka usionekane kuwa unapendelea Dini yeyote,
Lakini Bado Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Haina hadhi ya kutajwa Kwa jina.
Sio sahihi kuipa hadhi hiyo.
Serikali Haina dini, lakini sisi raia tuna dini zetu, na hatumfahamu huyo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mh. Rais, salami hii, inatufikirisha mno sisi wengi,
Unaweza usiambiwe ILA Kuna haja ya kuachana nayo.
Wasalaaam,
Statesman,
Dar es Salaam.
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ni watanzania wote kama taifa.Mh. Rais Samia ,
Naamini unafahamu kabisa kuwa, Mwaka 2020 wakati tunampigia kampeni Dr. Magufuli, tulikupigia kampeni na wewe ukiwa mgombea mwenza.
Tuliwaamini nyote wawili kwamba ni watu sahihi kuliongoza Taifa letu.
Sasa wewe ni Rais wetu, hakuna ubishi katika hilo.
Sasa Mh. Rais napata ukakasi kidogo kwa kauli zako , Kila unapotusalimia,
Huyu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unayemtaja ni nani hasa,
Maana ninavyofahamu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi inayotokana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Sasa hakuna mtu, kitu, watu, vitu kwa jina hilo.
Ingawa naelewa kwamba unataka usionekane kuwa unapendelea Dini yeyote,
Lakini Bado Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Haina hadhi ya kutajwa Kwa jina.
Sio sahihi kuipa hadhi hiyo.
Serikali Haina dini, lakini sisi raia tuna dini zetu, na hatumfahamu huyo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mh. Rais, salami hii, inatufikirisha mno sisi wengi,
Unaweza usiambiwe ILA Kuna haja ya kuachana nayo.
Wasalaaam,
Statesman,
Dar es Salaam.
Asalimie kwa salamu za dini za Watanzania kama alivyofanya mtangulizi wake na hiyo iwe ndiyo sala ya kufungua mkutano. Hakuna haja ya kuwaita viongozi wa dini wasali tena. Tunapoteza muda kwani wanatoa hotuba badala ya sala fupi.Ukisalimiwa salamu ya dini yako ndio unaona umeheshimiwa?
Labda hujasoma vizuri. Tumeshauri asalimie kwa kutumia salamu za dini kuu zote. Au maelezo ya nyongeza umeyachukulia kama ndiyo kitu chote?Mmeanza kuwabagua wengine kidini eee?!!!
Sikutegemea SKY ECLAT mtu mwenye fikra TUNDUIZI akumbatie hayo masuala KOKO ya ubaguzi wa KIDINI......
Sijui sisi waafrika tuna matatizo gani ?!!! 🤣🤣
Yaani unaweza kukuta hata PROFESA lakini bado tu akawa na mihemko KOKO ya Mambo ya kidini na ubaguzi wa KIDINI kwa wengine.....PATHETIC.....
#NchiKwanzaKablaYaChochote