isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
-
- #41
Maeneo makuu katika majiji hali ni shwari.Mungu akujaalie ufike mkuu nna imani kubwa sana kama utajaaliwa kufika huko kunakitu flani hv katika maisha yako utakiongeza
Ila ishu inakuja nikwamba katika sehem nyingi ulizo ama unazozitamani hapo kuzitembelea halu yake yakiusalama sio yakuridhisha saaaaana......
Sent using My COVID-19
Pamoja MKUU.....Ndiyo, Suez Canal ni man made ikiunganisha Mediterranean Sea to Indian Ocean.
Yah maeneo makuu halinishwari ila kwajamaa anavyotaka kwenda yeye hapo kwamujibu wamaelezo yake anataka aende deep sana maana anaonesha kama anashauku yakujua baadhi yamambo yahapa napale kwahio ilikuyafahamu hayo anayoyataka hatakaa tu mjini lazma ikibidi aende maeneo yakachafuko hili linaweza kua tatizo kwake...Maeneo makuu katika majiji hali ni shwari.
Yakupasa kuweka Dollar 5,000 katika benki za Panama, kufungua kampuni ndani ya Panama na kuhakikisha unaiendesha na kuishi Panama kwa miaka 5 hapo utaweza kuomba uraia.Vp kusu kupata uraia..
121.
Naona inawezekana last year kuna Mtanzania ameenda Sanaa, Aleppo, Kurdistan na Idlib na amerudi salama.Yah maeneo makuu halinishwari ila kwajamaa anavyotaka kwenda yeye hapo kwamujibu wamaelezo yake anataka aende deep sana maana anaonesha kama anashauku yakujua baadhi yamambo yahapa napale kwahio ilikuyafahamu hayo anayoyataka hatakaa tu mjini lazma ikibidi aende maeneo yakachafuko hili linaweza kua tatizo kwake...
Sent using My COVID-19
Ndiyo, ni nyumbani kwa Manuel Noriega. (RIP)Panama ndio kwa Noriega?
Naomba kupata historia yake huyu jamaa ,tafadhali Mkuu hope unaijuaNdiyo, ni nyumbani kwa Manuel Noriega. (RIP)
Kwa ufupi au urefu?Naomba kupata historia yake huyu jamaa ,tafadhali Mkuu hope unaijua
Hahahaha, nadhani kwa urefu ikiwezekana Fanya thread kabisa kwa faida ya wengiKwa ufupi au urefu?
Bravo 👊Hahahaha, nadhani kwa urefu ikiwezekana Fanya thread kabisa kwa faida ya wengi
Merci, naomba unitag MkuuBravo [emoji109]
Kwlei aliamua ila aliikutia isha anza kutulia ile aleppo ya kuanzia miaka ya 2011 mpaka 2013 nlikua haitiliki Mguu.....Naona inawezekana last year kuna Mtanzania ameenda Sanaa, Aleppo, Kurdistan na Idlib na amerudi salama.
Alijifungasha kamera kusudi mienendo yake inonekane.
Hapana, sijawahi kufika Panama. Ndiyo! Nafanya virtual tour.Another siredi ya 'ughaibuni'... 😁
Mleta mada, mie nina swali kwako kwanza... Ushawahi kufika physically kabisa nchini Panama? Ama you are just doing 'virtual tour'?
-Kaveli-
Hapana, sijawahi kufika Panama. Ndiyo! Nafanya virtual tour.