Jamhuri ya Panama | República de Panama

Jamhuri ya Panama | República de Panama

Mungu akujaalie ufike mkuu nna imani kubwa sana kama utajaaliwa kufika huko kunakitu flani hv katika maisha yako utakiongeza

Ila ishu inakuja nikwamba katika sehem nyingi ulizo ama unazozitamani hapo kuzitembelea halu yake yakiusalama sio yakuridhisha saaaaana......

Sent using My COVID-19
Maeneo makuu katika majiji hali ni shwari.
 
Maeneo makuu katika majiji hali ni shwari.
Yah maeneo makuu halinishwari ila kwajamaa anavyotaka kwenda yeye hapo kwamujibu wamaelezo yake anataka aende deep sana maana anaonesha kama anashauku yakujua baadhi yamambo yahapa napale kwahio ilikuyafahamu hayo anayoyataka hatakaa tu mjini lazma ikibidi aende maeneo yakachafuko hili linaweza kua tatizo kwake...

Sent using My COVID-19
 
Yah maeneo makuu halinishwari ila kwajamaa anavyotaka kwenda yeye hapo kwamujibu wamaelezo yake anataka aende deep sana maana anaonesha kama anashauku yakujua baadhi yamambo yahapa napale kwahio ilikuyafahamu hayo anayoyataka hatakaa tu mjini lazma ikibidi aende maeneo yakachafuko hili linaweza kua tatizo kwake...

Sent using My COVID-19
Naona inawezekana last year kuna Mtanzania ameenda Sanaa, Aleppo, Kurdistan na Idlib na amerudi salama.

Alijifungasha kamera kusudi mienendo yake inonekane.
 
Naona inawezekana last year kuna Mtanzania ameenda Sanaa, Aleppo, Kurdistan na Idlib na amerudi salama.

Alijifungasha kamera kusudi mienendo yake inonekane.
Kwlei aliamua ila aliikutia isha anza kutulia ile aleppo ya kuanzia miaka ya 2011 mpaka 2013 nlikua haitiliki Mguu.....

Sent using My COVID-19
 
Another siredi ya 'ughaibuni'... 😁

Mleta mada, mie nina swali kwako kwanza... Ushawahi kufika physically kabisa nchini Panama? Ama you are just doing 'virtual tour'?

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom