Jamii ipo hatarini, muziki wetu unatumaliza

Jamii ipo hatarini, muziki wetu unatumaliza

Kuna songi moja la Tyga ukisikiliza clean version hutasikia chochote maana sauti itakata mwanzo mwisho. Huyo ni kiboko wa explicit hao wasafi wakasome.
 
Watanzania...

Watu wamepewa assignment kuharibu jamii.

Na ndio nimekuwa nikiuliza humu ndani Ruge maisha yake yote amekuwa akijihusisha na kazi hizo, jamii inaelewa mchango wa mziki na media katika mmomonyoko wa maadili?

Tunajivunia kitu gani labda?

Naona watu wana MAHABA CHUMVI na vitu ambavyo haikupaswa.
 
Come to hip hop industry, trust me you won't hear such wack rhythmes

Sent using unknown device
Enzi zetu tuna sikiliza hip hop trucks
Wale wa mbele Pete rock,mob deep,most def,krs1,most def,smef n wessun,guru etc
Ukija bongo tu nawaskiaa hashim dogo,kucrew,imam abbas,watengwa,bonta,roho7,nikimbishi,xplastaz,sugu etc hpo hakuna kubana pua wala wavaa vikuku na shanga kiunoni ni msg tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nae harmonize anaimba "Inama nitumbukize rungu" , Diamond na anasema " Kilimaaa , kilimaa, kisimaa kisimaa, nazama ndani ya kisima"
 
Wacha waangamie tu maana video za hiphop si hamzi support mnataka kujenga vizazi vya wabana hips na kuvaa minyonyo kama ma Shawty! After 20 years nchi itakuwa na mashoga wengi mno kuliko tunavyofikiria.

Nyimbo za Nikki Mbishi, show zikipangwa hamuendi album hamnunui. Ila Tetema mnajazana ukumbini mpaka tiketi zinaisha eneo linakuwa out of capacity. Badilikeni nyie kwa kuzikataa nyimbo za hovyo.
Safi mkuu, watu wanapenda michezo ya amba hawataki hardcore
 
Enzi zetu tuna sikiliza hip hop trucks
Wale wa mbele Pete rock,mob deep,most def,krs1,most def,smef n wessun,guru etc
Ukija bongo tu nawaskiaa hashim dogo,kucrew,imam abbas,watengwa,bonta,roho7,nikimbishi,xplastaz,sugu etc hpo hakuna kubana pua wala wavaa vikuku na shanga kiunoni ni msg tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Public enemy, Dr Dre , heavy D & Boyz, big daddy Kane , naughty by nature, kriss Kross, miss Eliott, Colioo, onyx , etc
 
Hila ukiangalia Kwa makini hata wazee WA sasahivi nao hawakuwa na maadili kwani kashfa nyingi za wizi WA Mali ya umma zinawahusu wao
 
Serikali kupitia BASATA tunaomba mzifungie nyimbo zisizo na maadili mapema sana kabla ya hizo nyimbo kuzinduliwa na kusikika katika maredio na Televisheni.

Viongozi wa dini na Wazazi kwa ujumla pia mnaweza kukemea nyimbo hizi za hovyo.

Wasanii wa sikuhizi wameishiwa vya kuimba wanaimba Matusi tu hasa WCB.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha waangamie tu maana video za hiphop si hamzi support mnataka kujenga vizazi vya wabana hips na kuvaa minyonyo kama ma Shawty! After 20 years nchi itakuwa na mashoga wengi mno kuliko tunavyofikiria.

Nyimbo za Nikki Mbishi, show zikipangwa hamuendi album hamnunui. Ila Tetema mnajazana ukumbini mpaka tiketi zinaisha eneo linakuwa out of capacity. Badilikeni nyie kwa kuzikataa nyimbo za hovyo.
Tatizo wakina Nikki Mbishi wameshindwa kutengeneza hip hop itakayowafanya na watu wengine wawasikilize mfano wakina Mobb Deep Give it Up walifanikiwa, M.O.P Ante Up, Wu Tang Clan, DMX, Eminem ila bongo hip hop wanajitoa ufahamu
 
Back
Top Bottom