Jamii ipo hatarini, muziki wetu unatumaliza

Jamii ipo hatarini, muziki wetu unatumaliza

Najishangaa siku hizi nimeshindwa kabisa kujua wasafi wanachoimba, mpaka nimejikuta automatically naanza kumshabikia nyanshisiki na kaligraph sijui nimepatia majina yao lakini naamini unawajua hawa wakenya

Hali imeanza hivi mdogo mdogo mashabiki wa tz wote tutahama na ndipo anguko kuu la bongo fleva litapowadia wasipobadilika basi kuinuka tena na heshima ya muziki iliyotengenezwa na marehemu Ruge(R I P) itapotea na itakuwa ni kazi ya kihuni kuliko ilivyokuwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hao Basata wangeshirikiana na waasisi kuandaa mziki kama waliokuwa wanaimba wasanii wa mwanzoni ningeona wamefanya la maana. Mabadiliko yatakuwepo kwenye vionjo ila nyimbo iwe na maana flani katika jamii.

Sikiliza ngoma za prof jay, feruzi, nature, TMK na wengineo. They sang about real life issues za mtaani. Haikumaanisha hawakuimba mapenzi la hasha...waliimba ila kulikuwa na balance! Sasa sahivi kila msanii anaimba mapenzi, mara katendwa mara vile. Haya hao wasafi wameenda mbele zaidi wanaimba matusi kabisa kwa mfumo wa mafumbo na wanajaza kumbi na kuvuna hela kibao.

Inaniuma maana wasanii wa mwanzo hawakufaidika na kazi zao na wamepachikwa jina ni ma Legend ila Trust me ukipiga nyimbo kumi za Feruzi vs za Diamond you will probably feel the difference. Ila cha ajabu Feruzi anatembeza Samaki mtaani, Diamond yupo Zanzibar anatanua na malaya wake baada ya kufanya show kibao.
 
Enzi zetu tuna sikiliza hip hop trucks
Wale wa mbele Pete rock,mob deep,most def,krs1,most def,smef n wessun,guru etc
Ukija bongo tu nawaskiaa hashim dogo,kucrew,imam abbas,watengwa,bonta,roho7,nikimbishi,xplastaz,sugu etc hpo hakuna kubana pua wala wavaa vikuku na shanga kiunoni ni msg tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa yaani watu kama mob deep kwenye bifu ile dhidi ya tupac zilitolewa ngoma kali za diss track ukiskiza punchline huwezi ukasinkiliza habari za kwangwalu

Ukija bongo baba malcom anawaficha ile mbaya pamoja na p mawenge (p the mc), one incredible, songa nk ila fid q wazamani ndio alikua yupo kwenye hip hop culture, sio fid q wa saizi ambae anaimba michambo kama wakina gigy. Pia bongo kuna ma-underground wako vizuri watu kama wakina dizasta vinna, mbeya boy, kinya, matrix, nagwa the durago, boshoo ninja, nk wako wengi saana

Sent using unknown device
 
Kabisa yaani watu kama mob deep kwenye bifu ile dhidi ya tupac zilitolewa ngoma kali za diss track ukiskiza punchline huwezi ukasinkiliza habari za kwangwalu

Ukija bongo baba malcom anawaficha ile mbaya pamoja na p mawenge (p the mc), one incredible, songa nk ila fid q wazamani ndio alikua yupo kwenye hip hop culture, sio fid q wa saizi ambae anaimba michambo kama wakina gigy. Pia bongo kuna ma-underground wako vizuri watu kama wakina dizasta vinna, mbeya boy, kinya, matrix, nagwa the durago, boshoo ninja, nk wako wengi saana

Sent using unknown device
Duh danger

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hampendi ngumu basi sikilizeni hata trap, kuna watu kama kina Moni Centrizone, OMG, Jay Mo, Gosby mbona nyimbo zipo kali tu. Ila kwakuwa masikio yenu yapo open kusikiliza mapenzi tu mda wote basi kumekuwa hamna balance. Media zinasupport mziki wa mapenzi zaidi na ndio wengi mnapenda kusikiliza basi msilalamike matusi yamezidi maana mahadhi ya hiphop hamyataki.
Yap bola wasikize hata trap za kina migos na 21 savage kuliko beach boi unasikiliza daina nyange, so sad

Sent using unknown device
 
Yani hao Basata wangeshirikiana na waasisi kuandaa mziki kama waliokuwa wanaimba wasanii wa mwanzoni ningeona wamefanya la maana. Mabadiliko yatakuwepo kwenye vionjo ila nyimbo iwe na maana flani katika jamii.

Sikiliza ngoma za prof jay, feruzi, nature, TMK na wengineo. They sang about real life issues za mtaani. Haikumaanisha hawakuimba mapenzi la hasha...waliimba ila kulikuwa na balance! Sasa sahivi kila msanii anaimba mapenzi, mara katendwa mara vile. Haya hao wasafi wameenda mbele zaidi wanaimba matusi kabisa kwa mfumo wa mafumbo na wanajaza kumbi na kuvuna hela kibao.

Inaniuma maana wasanii wa mwanzo hawakufaidika na kazi zao na wamepachikwa jina ni ma Legend ila Trust me ukipiga nyimbo kumi za Feruzi vs za Diamond you will probably feel the difference. Ila cha ajabu Feruzi anatembeza Samaki mtaani, Diamond yupo Zanzibar anatanua na malaya wake baada ya kufanya show kibao.
Nikitulia ntakujibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap bola wasikize hata trap za kina migos na 21 savage kuliko beach boi unasikiliza daina nyange, so sad

Sent using unknown device
Jau sana askari wangu, yani inakera sana. Sio kuwa wasanii wanaoimba mziki tofauti hawapo ila Media ndio zinafanya wasisikike kutokana na interest zao binafsi. Na kwanini kwa wenzetu mtu anafaidika na ngoma hata alizofanya 90 huku kwetu tunawaita ma legend!
 
Wacha waangamie tu maana video za hiphop si hamzi support mnataka kujenga vizazi vya wabana hips na kuvaa minyonyo kama ma Shawty! After 20 years nchi itakuwa na mashoga wengi mno kuliko tunavyofikiria.

Nyimbo za Nikki Mbishi, show zikipangwa hamuendi album hamnunui. Ila Tetema mnajazana ukumbini mpaka tiketi zinaisha eneo linakuwa out of capacity. Badilikeni nyie kwa kuzikataa nyimbo za hovyo.

Mkuu NGUMU ni kwa Wagumu Tu
 
Kabisa yaani watu kama mob deep kwenye bifu ile dhidi ya tupac zilitolewa ngoma kali za diss track ukiskiza punchline huwezi ukasinkiliza habari za kwangwalu

Ukija bongo baba malcom anawaficha ile mbaya pamoja na p mawenge (p the mc), one incredible, songa nk ila fid q wazamani ndio alikua yupo kwenye hip hop culture, sio fid q wa saizi ambae anaimba michambo kama wakina gigy. Pia bongo kuna ma-underground wako vizuri watu kama wakina dizasta vinna, mbeya boy, kinya, matrix, nagwa the durago, boshoo ninja, nk wako wengi saana

Sent using unknown device

Umemsahau Nash Mc Mutalemwa
Hip Hop ni mziki wa ukombozi dhidi ya ujinga na umasikini na unyonyaji lakini jamii haiwezi kuelewa kikawaida ujinga una nguvu sana kuliko ujanja
 
Jau sana askari wangu, yani inakera sana. Sio kuwa wasanii wanaoimba mziki tofauti hawapo ila Media ndio zinafanya wasisikike kutokana na interest zao binafsi. Na kwanini kwa wenzetu mtu anafaidika na ngoma hata alizofanya 90 huku kwetu tunawaita ma legend!

Mfumo wetu wa Tanzania kufika itachukua miaka mingi sana Mkuu consciousness ya raia ipo low sana ( Ujinga, Umasikini) hivi vinadidimiza taifa sana
 
Tutahangaika sana kutafuta mchawi, ila tuelewe kwamba hii dunia kwa sasa inaendeshwa na nguvu za Ibilisi. Hili halijaja kwa bahati mbaya. Watu wapo kazini kuhakikisha jamii inapotea, inaacha ya Mungu na kufuata ya shetani. Suluhu hapa ni viongozi wa dini zote, kufunga mikanda na kuhakikisha wafuasi wao wanajitambua na kuacha kufuata yasiyo maamrisho. Tofauti na hapo Ibilisi ataendele kuiteka jamii kila kukicha. Na wazazi pia wana kaz katika hili. Wazazi wameacha malezi na kuhamia kwenye kusaka tonge. Kazi tunayo.

Na kinachopoteza hawa wabongo fuleva ni umri, zamani ilikuwa anaeingia kuimba mziki ni mtu mzima anaejitambua. Ila hawa wabongo fuleva wanaingia kwenye mziki umri ukiwa mdogo, hata hawajitambui, wakiambiwa waimbe mitusi wao ni kuimba tuu. Wakitunga mitusi wala hawajali jamii na familia itawachukuliaje, wao wanapuyanga tuu.

Nadhani ifike hatua kuwe na umri maalumu wa mtu kuingia katika tasnia ya mziki, tofauti na ilivyo sasa vitoto vinatukana tuuu nyambaf kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee mtateseka sana hii miaka! Kwanini msitulie tu mle mafao yenu. Kila kitu na wakati. Punguzeni uoga wazee wetu, Tasnia inakwenda vyema kabisa.
 
Porno-music references - ninogeshe nandy,kadamshi dully sykes,ntade ruby,katka navy kenzo walianza hivi kina mb dog si ulinambia ?,ikaja nenda kamwambie naona saiv wamefka kitandani kabsa cjui utunzi wa baadae utakuwa vp?
 
Back
Top Bottom