Jamii mbili za viumbe wenye akili ulimwenguni

aretasludovick umeleta elimu kubwa mno,imewapita wengi kimo!
-->>mfumo WA dini ni ubunifu mahususi uliobuniwa ili at least kuleta ustaarabu hapa duniani kutoka KATIKA unyama uliokuwepo awali!
 
Last edited by a moderator:
aretasludovick umeleta elimu kubwa mno,imewapita wengi kimo!
-->>mfumo WA dini ni ubunifu mahususi uliobuniwa ili at least kuleta ustaarabu hapa duniani kutoka KATIKA unyama uliokuwepo awali!

Asante sana, maana watu kutokana na misimamo yao ya dini hata wakisikia ukweli wanacharuka
 
Last edited by a moderator:
ni aibu kwa Mungu mkuu kuumba kitu halafu akashindwa kukidhibiti na kukiruhusu kaharibu uumbaji wake.yaani kamuumba shetani kisha kuruhusu aivuruge dunia.inapotolewa elimu ni haki yako kuikatataa au vinginevyo na sio jazba mikwala na vitisho.kama unaiamini biblia amini hivyo wengine wanaamini mizimu na dunia inasonga.watu mna jazba utafikiri dini mmeanzisha ninyi.jukumu la kuamua kipi kiaminiwe na kipi kiachwe ni la mtu na ubongo wake.mturuhusu tupokee mafundisho mapya na sio kutulazimisha na ngonjera zenu za kiyahudi.na kiarabu
 
maswali ya kujiuliza!
>kwanini kuna madhehebu mengi?
>kwanini kuna mungu wengi ?
>kistaarabu huwezi kebei Dini ya mwingine!
#kila jamii pale ilipo ilijitahidi kujitengenezea ustaarabu wake!
but myself mungu yupo!,haya ni mawazo nje ya box!
 

Swali zuri sana mkuu Crocodiletooth...
nakumbuka nilishawahi kuuliza hivi maana ya neno mungu ni nini? ila wengi wengi badala ya kujibu walitoa mikwara tu... na hapo ndio nikagundua waumin wengi ni wafuasi wanaoongozwa na vipofu wenzao.

Kwa upande wangu mungu sio mmoja, namaanisha kuwa yupo zaidi ya mmoja...swali ni kuwa kama mungu ni mmoja asingetoa sheria tofaut tofaut kwa maana kuwa waislam wanasheria zao,wakristo wanasheria zao na hata judism pia wanasheria zao pia...hivyo inamaana kuwa waislam wana mungu wao na wakristo pia wanamungu wao kwa sababu kundi moja hujiona ni bora na waungwana kuliko wengine
2:kuhusu madhehebu ni kuwa na mtazamo tofauti kuhusu mungu na ndio maana kuna mgawanyiko
 
Last edited by a moderator:

soma, zaburi 96:10
 
soma, zaburi 93:1

hata akisoma hawezi kuja na hoja yeyote ile... zaidi zaid ataongeza mikwara tuu.
kama ulishawahi kufatilia mahubiri mengi kwenye runinga utagundua kuwa wachungaji wengi na masheikh hutumia njia ya kuwaogopesha waumini badala ya kuwaelewesha na matokeo hata humu yanaonekana vizuri tu... mfano unamuuliza mungu maana yake ni nini yeye anajibu wewe ni agent wa shetan na utaenda motoni, yaani unachouliza usitegemee kujibiwa kabisa, lakin sio kosa lao ila ni kosa la waalimu wao.
 
ni aibu kwa Mungu mkuu kuumba kitu halafu akashindwa kukidhibiti na kukiruhusu kaharibu uumbaji wake.
Unaanza kufikiri kwa makosa unahitimisha kwa makosa vile vile...

Nani kakuambia ameshibndwa kukidhibiti?
yaani kamuumba shetani kisha kuruhusu aivuruge dunia.
Kwanini asiruhusu?
Sawa sawa.....
 

Huu ni ukweli mchungu
 
maswali ya kujiuliza!
>kwanini kuna madhehebu mengi?
Kwasababu ya ujinga wa akili ya binadamu...
>kwanini kuna mungu wengi ?
Hakuna Mungu wengi,kuna Mungu mmoja tu...
>kistaarabu huwezi kebei Dini ya mwingine!
Kweli....
jamii pale ilipo ilijitahidi kujitengenezea ustaarabu wake!
Sio kweli kwenye suala la Mungu wa kweli....
but myself mungu yupo!,haya ni mawazo nje ya box!
Unajikinza....

Huwezi kula keki halafu bado ukabaki kuwanayo kiganjani mwako...
 

Unatengeneza hitimisho kutokana na makosa ya watu kufikiri matokeo yake na wewe unaonekana wa ajabu sana.....

Kwanza unapaswa kujua maana ya Mungu ndio ujue haiwezekani kukawa na miungu wawili au zaidi....

Pili,kukiwa na watu watano,wa kwanza anasema mlima Kilimanjaro upo Madagascar,wa pili akasema upo Mauritinius,wa tatu akaema upo Wales,wa nne akasema upo Tandahimba na wa tano akasema upo Tanzania mkoa wa Kilimanjaro basi kutakuwa na milima mitano ya Kilimanjaro?

Fikiri kijana .....
 

Safi sana
 
Mleta uzi na wachangiaji wote naona mnanichanganya tu.... Aagghh!!!!

namimi nimekuchanganya? ni hivi:- duniani kuna elimu nying sana. ila kuna pande kuu mbili tu GIZA na NURU. Hapohapo tuna uhuru wa kuchagua upande tutakao. Ni vema kuzielewa vizuri pande zote mbili ili tufanye uchaguz sahihi. usipozielewa pande zote mbili utapotezwa na wanaoiita Nuru ni Giza na Giza ni Nuru.
 

Kwahiyo jumla wako wangapi hao Mungu?

Mi kwa upande wangu Mungu ni mmoja, ila sio yule mzee mwenye madevu anayehubiriwa na hizi dini zao. Yule ambae amekaa kwenye kiti kusubiri kuwachoma moto watu huyo HAYUPO! Zile ni hadithi tu za kale.

Kuhusu madhehebu kuwa mengi ni kutafuta sadaka tu wala hakuna la zaidi.
 
Last edited by a moderator:

hahahahah huyo mzee unaemzungumzia si ndo yule wanasema anajiita mzee wa siku. au. !
 

indeed....lakini mkuu jimena jaribu kupunguza ukali wa maneno,si unajua kuwa ukweli unauma.
hao wanajiandaa na matusi!!!
 
indeed....lakini mkuu jimena jaribu kupunguza ukali wa maneno,si unajua kuwa ukweli unauma.
hao wanajiandaa na matusi!!!

Ha ha ha ukiona wanatukana ujue maji yamewafika shingoni na hawana la kujitetea. Na dawa yao ni kuwapotezea tu!
 
hahahahah huyo mzee unaemzungumzia si ndo yule wanasema anajiita mzee wa siku. au. !

Kuna uzi mmoja mchangiaji alimuita malkia wa malkia ila niliuliza kama kuna mfalme pembeni yake ndo sijapewa jibu mpaka leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…