Jamii mbili za viumbe wenye akili ulimwenguni

Jamii mbili za viumbe wenye akili ulimwenguni

Haya mambo ni magumu aisee mleta mada naomba uweke source ya vitabu ulivotumia ili na Mimi nikisome nijue zaidi. Kwangu Mimi hii kitu ni new

Yan Ukisikia Ngumu Kumeza Ndo Hii Ukiunganish Dot Unaeza Pata Kitu, Mi Nimejifunza Kuwa Yaweza Kuwa Binadamu Ana Akili Sana Wanao Itumia N Wachache, Ila Mungu Atabk Pale Pale Na Theory Zitab Kuwa Ni Akil Za Kibinadamu
 
Hii yako ni new creation theory au na kama ni source ya watu wa kale aina mbili walipata wapi huo uwezo wa kujibadilisha wenyewe.

Ukiitazama dunia vizuri utagundua miaka 100 au 1,000 iliyopita kuna tofauti kubwa sana.
Kuna vitu tulikuwa tunavichukulia haviwezekani lakini sasa vimewezekana na tunaviona vya kawaida kabisa.

Wakati wazazi wetu kutoka lyra wanatuleta hapa duniani, wao walikua tayari wameendelea na wana technology ya hali ya juu. Hebu jiulize kwa sasa watakua wapo vipi tangu muda huo?
 
Yan Ukisikia Ngumu Kumeza Ndo Hii Ukiunganish Dot Unaeza Pata Kitu, Mi Nimejifunza Kuwa Yaweza Kuwa Binadamu Ana Akili Sana Wanao Itumia N Wachache, Ila Mungu Atabk Pale Pale Na Theory Zitab Kuwa Ni Akil Za Kibinadamu

Kuna vya kujifunza hapa kwenye hii mada it's true binadamu wana akili ndio sema only few ndo huitumia hyo kufanya mambo makubwa tena hutumia mambo yaliyo beyond ya ufikiri kwa macho ya ziada ya kibinadamu.

Theory zipo nyingi mwisho was siku ikifika conclusion kipi kilikua chanzo cha hayo kutokea hapo Mungu ndo anapoingia
 
Ukiitazama dunia vizuri utagundua miaka 100 au 1,000 iliyopita kuna tofauti kubwa sana.
Kuna vitu tulikuwa tunavichukulia haviwezekani lakini sasa vimewezekana na tunaviona vya kawaida kabisa.
Wakati wazazi wetu kutoka lyra wanatuleta hapa duniani, wao walikua tayari wameendelea na wana technology ya hali ya juu.
Hebu jiulize kwa sasa watakua wapo vipi tangu muda huo?

Yeah dunia jinsi ilivokuwa miaka inaendelea vitu vingi vime change including binadamu technology. Hapo sasa kwenye sentesi yako mwishoni kwakweli sijui
 
Yeah dunia jinsi ilivokuwa miaka inaendelea vitu vingi vime change including binadamu technology. Hapo sasa kwenye sentesi yako mwishoni kwakweli sijui

Ndio maana hata wakitutembelea tutaanza kuwaita mungu, shetani, pepo, muujiza nk.
Kama wao kipindi hicho walishaweza kuzuia kifo cha uzee, huoni sasa watakua na technology ya kutisha?

Mfano sisi tuweze kupandikiza uhai kwenye sayari ya mars alafu turudi duniani, baada ya maelfu ya miaka tuende kuwatembelea wanetu ambao hawatujui unategemea watatuitaje kama sio watasema mungu amewatuma malaika zake?

Ndio. Watasema hivyo japo itakuwa si kweli, hiyo itatokana na uchanga wa technology yao/kukosa maarifa.
 
Ok.
Tumalizie hiki kipande kidogo.... Cloning biological engineering ni teknolojia ya kurekebisha mifumo mbali mbali katika mwili wa kiumbe hai ili kiweze kuwiana na mazingira ya sayari husika. Hii ndiyo kazi tunayoiona katika masimulizi ya kitabu cha Mwanzo katika Biblia. Anayetajwa pale kuwa Mungu tofauti na fungu la kwanza, siye hasa Mungu bali viumbe kutoka anga za mbali, yaani Jamii ya Lyran Humanoids. Viumbe hawa wenye ujuzi mkubwa wa teknolojia mbali mbali ndio waliootesha uhai hapa duniani kutokea sayari yao. Kilichofanyika pale sio uumbaji hasa wa viumbe wasiowahi kuwepo bali ni uoteshaji wa viumbe waliopo katika sayari nyingine ya mbali. Michakato yote iliyofanyika pale ni jinsi ya kupangilia mambo katika mpango sawia unaowiana na sayari dunia. Majira na nyakati duniani , hali mbali mbali za hewa zingeweza kuwa ni tofauti kwa kiasi fulani na hivyo kuwa na athari kadhaa kwa viumbe hao endapo wangepandikizwa hapa duniani bila kupitia cloning biological engineering. Kwa hiyo cloning biological engineering ni teknolojia inayosaidia kiumbe hai kutoka sayari moja kufanya sayari rafiki kuwa sayari ya nyumbani. Tafsiri ya baadaye ya kitabu cha Mwanzo ndiyo iliyobadilisha uelewa huu wa michakato iliyoendelea katika sura hiyo. Kwa mfano neno "Bara" katika lugha ya kiebrania yaani "kuumba " lina maana ya kutokeza kitu kipya kisichowahi kuwepo kabisa. Lakini neno la kiebrania "Asah" yaani "kufanya" maana yake ni kupangilia kitu kilichopo ili kiwe katika muundo unaohitajika. Maneno ya kiebrania kama Elohimu jina lenye wingi wa neno El, kuonesha viumbe wahusika kwamba walikuwa wengi Maneno kama, tufanye mtu kwa sura na mfano wetu - Mwanzo 1:26,na maneno, Mtu huyu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya-Mwanzo 3:22, kauli inayoonesha kwamba walikuwa wengi na wenye kuhesabika mmoja mmoja. Maana wakasema amekuwa kama mmoja wetu. Aidha binadamu akawa kama mmoja wao kwa kujua yaani ujuzi, kuonesha kwamba tofauti yao na binadamu ilikuwa katika ujuzi. Kwamba viumbe hawa walikuwa ni Wenye miili kama sisi kwa maana ile kauli iliyoahidi hukumu ya gharika kuu inasema, sitashindana na binadamu milele maana yeye naye ni nyama Mwanzo 6:33. Sasa angalia maneno , " Yeye naye ni nyama " kuonesha kwamba hata msemaji wa maneno hayo naye alikuwa ni nyama. Na kwa sababu ni nyama ndiyo maana viumbe hawa waliwahi kumtembelea Ibrahim akawachinjia wakala - Mwanzo 18:1-9. Tunaambiwa kwamba Yakobo alishindana na mmoja wa viumbe hawa mieleka na Yakobo ndiye aliyeshinda Mwanzo 32 :24 - 30. Viumbe hawa pia kama viumbe walikuwa na mipaka, kwa mfano Adamu alipojificha kiumbe aliyemtembelea hangeweza kumuona kwa hiyo aliuliza Adamu uko wapi? Mwanzo 3:8-11. Je unakumbuka wanadamu walipojenga mnara viumbe hawa walisema na tushuke tuwachafulie msemo wasielewane maana pengine jengo lao hilo refu lingeweza kusababisha madhara makubwa endapo lingeanguka kwa sababu ya kuwepo kwa mapungufu katika ubora. - Mwanzo 11:7 Jimena njoo huku na benie360

Mkuu mbona kwenye biblia yagu hamna huo mstari wa Mwanzo 6:33
 
Ndio maana hata wakitutembelea tutaanza kuwaita mungu, shetani, pepo, muujiza nk.
Kama wao kipindi hicho walishaweza kuzuia kifo cha uzee, huoni sasa watakua na technology ya kutisha?
Mfano sisi tuweze kupandikiza uhai kwenye sayari ya mars alafu turudi duniani, baada ya maelfu ya miaka tuende kuwatembelea wanetu ambao hawatujui unategemea watatuitaje kama sio watasema mungu amewatuma malaika zake?

Ndio. Watasema hivyo japo itakuwa si kweli, hiyo itatokana na uchanga wa technology yao/kuko maarifa.
Mtoa mada acha chenga umeulizwa 1. Nini source ya habari zako? Au ww ni mtunzj wa riwaya za kufikirika? 2. Swali la pili hao viumbe kiongozi wao nani? 3. Katika kutaja nimeona neno kerubi , je huyo si ndiyo bible inamtaja kuwa katika kitabu cha ezekiel kuwa alifukuzwa mbinguni na theluthi moja ya malaika wakatupwa duniani?

Mea kuwa ktk makala zako umetumia maandiko ya biblia hii inamaanisha unaiamini mea toa ufafanuzi tuelewe . Hapo nikijibiwa ni bahati nadhani utakwepa . Ous kumbuka wakati shetani anatupwa duniani alimwambia Mungu kuwa atabadili majira na sheria na anaifanya kupitia silaha yake inayoitw uongo.

Nadhani baada ya ww kusombwa na huo uongo anakusukuma kuusambaza kama unavyofanya
sasa
 
Mkuu nimekosea kidogo hiyo ni mwanzo 6:3 na sio 6:33 kama nilivyonukuu.

Shetani akitaka kudanganya watu anaanza kwanza kumdanganya kwanza kiongozj au mtu mwenye ushawishi. Sasa hv anafanya bidii kuanzisha vyanzo Vingi vya uongo mfano,1. Theory of evolution of man .

Ndugu zangu mpaka sasa ipo biblia ya Shetani ambamo kumejaa uongo mwingi na nina mashaka na huyu mtoa mada atakuwa amenukuu ujumbe huu kutoka ktk biblia hiyo ya shetani ndio maana a.anaogopa kutaja chanzo cha habari zake. Ingia Google play store andika satanic bible mtaiona hiyo bible ya lucifer ambayo imeandaliwa na freemason na huyu mtoa mada nina mashaka nae mkiingia kichwa kichwa mtamezwa.
 
Kuna Maswal Matatu Hapa Hayajapata Ufafanuz Ngoja Niyaweke Pamoja Iwe Rahis Mtoa Mada Kuyajibu
1: Tunaomba Chanzo Cha Hizi Habar
2:kiongoz Wa Hao Viumbe Ni Nan
3:hiz Record Zilikusanywa Na Nan Na Kwa Nin Tuziamin
kama Hao Ni Ndugu Zetu Kwanin Hawana Ushirika Wa Wazi Na Sis Wakat Wao Ndo Walituleta Dunian Ina Maana Tumetelekezwa#ukijbu Haya Kwaniab Ya Wenzangu Ntashukuru
 
Jazba za nini sasa?

Tulia wewe, wapi unaona jazba hapo sasa!

Kama hao viumbe wako wapo, wambie waje wanifundishe wenyewe na sio wewe maana naona hujui unacho nieleza nakama hawatokuja kunifundisha basi waambie wakae mbali na sisi wanaadam tumuabudio Mungu...

Mnatuletea porojo za kwenye kahawa hapa, eti unadhani ndo utatutisha na vijina vyako vya kingereza sijui humanoid, sijui nini.... Hapa ni Kuabudu tu!

Tukutana nao akhera huko!
 
Mimi napenda tu kujua, nani alikusanya record ya hii elimu, Na alipata kuyajuaje haya?

Nakuunga mkono mkuu. Mtoa mada kazaliwa juzi halafu anaelezaje mambo ya kabla na zamani sana ambayo hata baba zake hawajui kayatoa wapi? Atueleze kiufupi hao viumbe wote unaowanadi ni malaika waasi na lucifer yuko nyuma hao ktk kutekeleza ahadi aliyomwahidi MUNGU wakati anatupwa ya kubadili majira na sheria.

Acha kumtumikia shetani na jifunze kumuheshimu Mungu aliyekuumba ukikumbuka kuna moto wa milele usikubali kuburuzwa na shetani sababu ya mali na utajiri ambao ukifa utauacha na kungojea hukumu siku ya mwisho usijifanye mjuaji bisexual kumshinda aliyekuumba.
 
Ok.
Tumalizie hiki kipande kidogo.... Cloning biological engineering ni teknolojia ya kurekebisha mifumo mbali mbali katika mwili wa kiumbe hai ili kiweze kuwiana na mazingira ya sayari husika. Hii ndiyo kazi tunayoiona katika masimulizi ya kitabu cha Mwanzo katika Biblia.

Anayetajwa pale kuwa Mungu tofauti na fungu la kwanza, siye hasa Mungu bali viumbe kutoka anga za mbali, yaani Jamii ya Lyran Humanoids. Viumbe hawa wenye ujuzi mkubwa wa teknolojia mbali mbali ndio waliootesha uhai hapa duniani kutokea sayari yao. Kilichofanyika pale sio uumbaji hasa wa viumbe wasiowahi kuwepo bali ni uoteshaji wa viumbe waliopo katika sayari nyingine ya mbali.

Michakato yote iliyofanyika pale ni jinsi ya kupangilia mambo katika mpango sawia unaowiana na sayari dunia. Majira na nyakati duniani , hali mbali mbali za hewa zingeweza kuwa ni tofauti kwa kiasi fulani na hivyo kuwa na athari kadhaa kwa viumbe hao endapo wangepandikizwa hapa duniani bila kupitia cloning biological engineering. Kwa hiyo cloning biological engineering ni teknolojia inayosaidia kiumbe hai kutoka sayari moja kufanya sayari rafiki kuwa sayari ya nyumbani.

Tafsiri ya baadaye ya kitabu cha Mwanzo ndiyo iliyobadilisha uelewa huu wa michakato iliyoendelea katika sura hiyo. Kwa mfano neno "Bara" katika lugha ya kiebrania yaani "kuumba " lina maana ya kutokeza kitu kipya kisichowahi kuwepo kabisa. Lakini neno la kiebrania "Asah" yaani "kufanya" maana yake ni kupangilia kitu kilichopo ili kiwe katika muundo unaohitajika. Maneno ya kiebrania kama Elohimu jina lenye wingi wa neno El, kuonesha viumbe wahusika kwamba walikuwa wengi Maneno kama, tufanye mtu kwa sura na mfano wetu - Mwanzo 1:26,na maneno, Mtu huyu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya-Mwanzo 3:22, kauli inayoonesha kwamba walikuwa wengi na wenye kuhesabika mmoja mmoja. Maana wakasema amekuwa kama mmoja wetu.

Aidha binadamu akawa kama mmoja wao kwa kujua yaani ujuzi, kuonesha kwamba tofauti yao na binadamu ilikuwa katika ujuzi. Kwamba viumbe hawa walikuwa ni Wenye miili kama sisi kwa maana ile kauli iliyoahidi hukumu ya gharika kuu inasema, sitashindana na binadamu milele maana yeye naye ni nyama Mwanzo 6:33. Sasa angalia maneno , " Yeye naye ni nyama " kuonesha kwamba hata msemaji wa maneno hayo naye alikuwa ni nyama. Na kwa sababu ni nyama ndiyo maana viumbe hawa waliwahi kumtembelea Ibrahim akawachinjia wakala - Mwanzo 18:1-9. Tunaambiwa kwamba Yakobo alishindana na mmoja wa viumbe hawa mieleka na Yakobo ndiye aliyeshinda Mwanzo 32 :24 - 30.

Viumbe hawa pia kama viumbe walikuwa na mipaka, kwa mfano Adamu alipojificha kiumbe aliyemtembelea hangeweza kumuona kwa hiyo aliuliza Adamu uko wapi? Mwanzo 3:8-11. Je unakumbuka wanadamu walipojenga mnara viumbe hawa walisema na tushuke tuwachafulie msemo wasielewane maana pengine jengo lao hilo refu lingeweza kusababisha madhara makubwa endapo lingeanguka kwa sababu ya kuwepo kwa mapungufu katika ubora. - Mwanzo 11:7 Jimena njoo huku na benie360

Mkuu mbona mada yako ina ukakasi mwingi mpaka inatia uvivu kufuatilia huu uzi? Hizi ni hadithi za kiimani labla?

Unasema kuna viumbe walikuja duniani, okay, walitoka wapi? walifikaje duniani? lini? hapa duniani walifikia eneo gani? je kuna ushahidi wa kimazingira, kiakiolojia au kihistoria unaoweza kuthibitisha kwamba walitua sehemu hiyo?

Mbona vifungu vya bible unavyovitoa viko tofauti na maelezo yako kama huo uongo umeandika hapo kuhusu mnara wa babeli? unasema wanefili walikua wanakula nyama ya watu .....teh teh teh, unajua hata maana ya hilo neno Nefilim?

Ukweli hauchanganywi na uongo, ukiuchanganya hata kama ni kwa asilimia ndogo sana utakua uongo tu, say Ukweli 98% na Uongo 2% =UONGO
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom