Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Angalieni na fanyeni tathmini. Teams zetu za Simba na Yanga wakienda cheza. Morocco, Tunisia,Algeria,Egypt, Libya.
Kisha wakienda kucheza Botswana,Zambia,Congo,Zimbabwe, nk
Lakini angalieni pia matches hata zinazochezwa hapa Tz na teams toka kwa nchi za Kiarabu. Leteni majibu.
Kisha wakienda kucheza Botswana,Zambia,Congo,Zimbabwe, nk
Lakini angalieni pia matches hata zinazochezwa hapa Tz na teams toka kwa nchi za Kiarabu. Leteni majibu.