mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Tatizo ni KILE kitabu 😭😭Vyombo vya ulinzi na usalama ni kuwa makini sana na timu za kiarabu na mashabiki wao wanapokuja nchini. Kuna wengine hubeba ajenda za siri, ajenda za kisiasa kuja kuonesha huku. Jana kulikuwa na mbendera mkubwa na sio moja wa palestina ulikuwa ukipepezwa uwanjani. Kwani timu ya palestina ilikuja? Hiyo ilikuwa ni vurugu tu. Kwa nini wasipepeze bendera yao ya tunisia kama ile ya tanzania iliyokuwa inapepezwa na shabiki mmoja? Mwisho mashabiki hayo ya kiaarabu yakang'oa viti kibabe uwanja wa taifa bila hofu wakiwa ugenini. Hivi kuna mtanzania anaweza kwenda tunisia, morocco, algeria na misri akang'oe vitu uwanjani kwa jazba tu kisa simba, yanga, azam, mlandege na sbc imefungwa? Waarabu hawana heshima na uungwana katika nchi za watu wengine
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ
[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji wa Makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.
وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ
[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
"Waislamu wasio Waarabu wanastahili kuitwa kama
mbwa wetu .. " Mhubiri wa Saudi Wahabi!
WAARABU ndio Waislamu wa kweli
na vizazi vya kweli vya
Mtume Muhammad ..
“Wasio Waarabu ambao bila haya, walijiita
wenyewe waislamu
Waongofu ambao ni waoga duni na
nafsi zisizo na heshima Ambazo zilikuwa
kuzidiwa kwa urahisi na Upanga
wa Mwenyezi Mungu, ndivyo walivyostahiki kuwa
wanaitwa Mbwa wetu.."
Muhammad Al-Arifi
Shehe wa Kiwahabi wa Saudia