Jamii ya Kiarabu ni watu wakorofi, washari, wenye ukatili na wasio na utu?

Jamii ya Kiarabu ni watu wakorofi, washari, wenye ukatili na wasio na utu?

N
diyo maana mtume Muhammad alipelekwa kule aisee waarabu ni wapumbavu na wana roho mbaya na ubaguzi
yale majitu yana roho mbaya na ni mabaguzi mzungu akasome ila tunayabembeleza sana na kuyachukulia poa
 
Dawa ya waarabu ni kuwadunda bila kuwachekea.
Yaani ilitakiwa pale ijulukane kumi wamekufa, Saba wamejeruhiwa.
Ndio wangekuja na heshima siku nyingine
hivi walituonaje watz? Check wale waliokuwa wanapepeza bendera za palestina badala ya kwao tunisia. Kwani tz ina nongwa na palestina? Wangepepeza hiyo bendera ya palestina huko kwao tunisia
 
Kama ni mashabiki wa waarabu ndio wamamefanya uharibifu wa uwanja you are right ila kama ni mashabiki wa Simba ndio waling'oa viti baada ya kuchokozwa na waarabu basi mashabiki wa Simba ndio wajinga na wapumbafu zaidi

Waarabu huwa ni kweli wanafujo sana wakiwa kwao lakini hujawai ona wanaharibu uwanja wao
ilitakiwa polisi wetu wawatie jambajamba wale waarabu walioleta vurugu uwanjani ili siku nyingine wakija wawe na adabu wasiharibu miundombinu ya uwanja wetu
 
Tupe tofauti Yao.
Ila kumbuka dini ya mashariki ya kati uambatana na tamaduni zao.
Uarabu ni utamaduni
Na huo utamaduni ndio dini Yao.
Lugha yao ndio kiarabu
Na ni lugha takatifu hata kwa uislamu
Huo uarabu ni fix tu hapa mmekusidia Uislamu ndio maana povu linawatoka waarabu hata wakristo wapo na dini nyengine .Nyerere alikuwa na hiyo style akitaka kuusema uislamu na chuki zake akisema Waarabu any hatushangai na sio mambo mapya kwetu.
 
Waarabu wana asili hasira kali (hot temper) na jeuri na katili zaidi.
Na matatizo yao zaidi yalitokana na ukweli kwamba hawana uwezo wa kukubali makosa.
Kwako kila kitu lazima kushindana, kubishana, kupigana na hawaaminiki!

Na ndio maana hata sasa hakuna na haitakuja kuwepo makubaliano ya amani ya kuacha vita kati ya waarabu na wayahudi. Wayahudi wana utaratibu wao, ukiua moja wao, wao wanaua mamia yao.
 
Tatizo GOMBA a.k.a MIRUNGI
Kutafuta majani mabichi kwa mda mrefu plus kutochanganya damu akili zinakuwa hazina akili
Sio waarabu wote wanaokula mirungi.
Mimi nimeishi Misri (Egypt) mwaka mmoja .
Kule ni wavuta sigara wazuri sana !.
Kwa nilichokiona kule siamini kama Afrika kuna taifa linaloongoza kwa uvutaji wa sigara kuwashinda wamisri.
Kule Cairo watu hawanunui sigara Moja wala mbili bali mtu akinunua sigara chache sana ni kuanzia pakti moja.
Pamoja na hayo WAMISRI HAWAIJUI MIRUNGI KABISA.!
Mimi nilikuwa chuoni.
Kwa faida ya wengine nilimuuliza mwalimu hukumu ya kula mirungi
( القات ) katika uislamu lakini mwalimu alishindwa kujua mirungi ni kitu gani.
Nilijitahidi kufafanua mirungi ilivyo na inavyoliwa lakini hatukuelewana kwa sababu hiyo kitu kule kwao hakipo kabisa.
Waarabu wanaokula mirungi ni wayemeni na wasomali kama yafaa kusema kuwa wasomali pia ni waarabu.
Ulaji wa mirungi kwa wayemeni na wasomali ndio kama uvutaji wa sigara kwa wamisri.
 
Back
Top Bottom