Jamii ya Kiarabu ni watu wakorofi, washari, wenye ukatili na wasio na utu?

Tatizo ni KILE kitabu 😭😭
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji wa Makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

"Waislamu wasio Waarabu wanastahili kuitwa kama
mbwa wetu .. " Mhubiri wa Saudi Wahabi!

WAARABU ndio Waislamu wa kweli
na vizazi vya kweli vya
Mtume Muhammad ..
“Wasio Waarabu ambao bila haya, walijiita
wenyewe waislamu
Waongofu ambao ni waoga duni na
nafsi zisizo na heshima Ambazo zilikuwa
kuzidiwa kwa urahisi na Upanga
wa Mwenyezi Mungu, ndivyo walivyostahiki kuwa
wanaitwa Mbwa wetu.."
Muhammad Al-Arifi
Shehe wa Kiwahabi wa Saudia
 
Na ni watu wenye uthubutu ambao wakiamua kupambana na wewe hawajali kama una vifaru wao mawe. Yani ni watu ambao kibongo bongo ni kama wakurya. Hata wakurya tunasema ni makatili ila wana misimamo hawaendeshwi kama gari bovu.
 
Post imekaa kijinga
 
Mimi siyo muislam lakini nakuhakikishia usifanye haya mkuu. Watakuja muda siyo mrefu kukuzingua maana hata wabongo hujiita waarabu
 
Dawa ya waarabu ni kuwadunda bila kuwachekea.
Yaani ilitakiwa pale ijulukane kumi wamekufa, Saba wamejeruhiwa.
Ndio wangekuja na heshima siku nyingine
 
Wanaamini, haki ya kushinda ni yao, haki ya kuishi ni yao peke yao. Haki ya kidini ni yao. Haki ya chochote ni yao. Wanapopoteza hata kwa kushindwa kihalali huhusi wameporwa. Ni kweli wana laana.
 
waara
waarabu ni wa2 wabaya sana!!!,,,,angalia ata dada ze2 wakienda kufanya kazi kwao!!!....ni wa2 wenye jazba,hawana surra na makatili sana!!
 
Nahisi ndio maana wakapelekewa mitume huko, sababu mitume walikuwa wanatumwa kwa watu waliopotoka, waarabu na ndugu zao Wayahudi ni washenzi washenzi sana.
Wayahudi hawana ujinga huo wao hutumia akili nyingi wewe!
 
Munachanganya Waarabu na Dini .Sasa endeleeni kuchanganya dini na uarabu ili mutoe chuki zenu .Leteni matusi yenu.
Tupe tofauti Yao.
Ila kumbuka dini ya mashariki ya kati uambatana na tamaduni zao.
Uarabu ni utamaduni
Na huo utamaduni ndio dini Yao.
Lugha yao ndio kiarabu
Na ni lugha takatifu hata kwa uislamu
 
Wayahudi hawana ujinga huo wao hutumia akili nyingi wewe!
Pengine udini umekuvuruga ama kichwa yako si MSURI. hawa wakina Netanyahu sio wayahudi, huyo Netanyahu asili yake ni Poland huko baba yake mzee benzion Mileikowsky, alikuja kubadili jina baadae, lakini hakuwaakiitwa Netanyahu.
Wayahudi wenyewe ni mawenge kama waarabu, refer walivyowafanyia manabii wao
 

Nimejikuta tu " non sense " imenitoka Mkuu
Huwezi ku justify "ujinga" wa "waarab" kwa kuwafananisha na " wadanish or finns" kwa namna yoyote ile
Waarab ni wajinga, wabinafsi, wachoyo, wakatili, na wasio na utu kuliko hata sisi waafrica.
 
Kama ni mashabiki wa waarabu ndio wamamefanya uharibifu wa uwanja you are right ila kama ni mashabiki wa Simba ndio waling'oa viti baada ya kuchokozwa na waarabu basi mashabiki wa Simba ndio wajinga na wapumbafu zaidi

Waarabu huwa ni kweli wanafujo sana wakiwa kwao lakini hujawai ona wanaharibu uwanja wao
 
Ondoa ujinga wako hapa,waarabu ni jamii korofi hilo lipo wazi, ndiomaana wanachofanywa na Israel tunakifurahia sababu ndio walichokitaka,toa sababu hata Moja ya msingi ya wale mashabiki jana kuanza kung'oa viti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…