Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,349
- 3,145
Katika vitu ambavyo ulimwemgu wa dini hauwezi pambana nao ni MUDA. Muda ni jibu zuri kwa kila jambo chini ya jua.Hao sio waislamu, ni kikundi cha wahuni ambao wanaeneza propaganda za ushoga kwa mgongo wa dini.
Umejuaje kama huyo aliyeleta mada ni Mkristo? Muda ni jibu la mambo yote.Kazi kweli kweli wakristo mbona Kila muda ni uislam tu hamna mada zingine
Anajulikana huyo siku haipiti bila kuanzisha mada za kuponda uislamUmejuaje kama huyo aliyeleta mada ni Mkristo? Muda ni jibu la mambo yote.
Ndo hivyo kaka, kila mtu ana mahusiano binafsi na Mungu.si mlisema uislam ni mmoja, sasa hawa wahuni wametoka wapi?
Wacha bana. Hiv unajua kuna msikiti mkubwa tu uko Capetown unaendeshwa na imam shoga?Hao sio waislamu, ni kikundi cha wahuni ambao wanaeneza propaganda za ushoga kwa mgongo wa dini.
Uislamu haifuati mtu qnavyotaka,ina sheria zake na kanunui zake.Ukienda kinyume na kanuni zake,na sheria zake,automatiki umeshavukiwa katika uislamu.Uislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Pichani ni waislamu wa uk wakifuragia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
Yule sio imamu ni shoga ,na ile ni nyumba yake aliamua kuita msikiti , kwahiyo serikali ina mlinda hakuna la zaidi, UISLAMU hauna ruhusa na hao wapuuziWacha bana. Hiv unajua kuna msikiti mkubwa tu uko Capetown unaendeshwa na imam shoga?
Wazungu na mashoga wenzao , acheni kujihusisha na UislamuHiki kiarabu cha katikati ni Kishoga maarufu lakini pia anaswali sana na Azana anapiga vizuri tu
View attachment 3140672View attachment 3140673
Hii nchi waziri wa ulinzi aliolewa unategemea nini humo?😂😂😂Uislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Pichani ni waislamu wa uk wakifuragia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
si mlisema wazungu wanajiunga na uislam mkafuhia wakiachana na ukristo, inakuaje wanaufanyia hujuma uislam?Unawajua hawa au ndio kila kitu ukikiona google unapost tu? Hawa ni group dogo lilionzishwa 2017 ,kwaa ajili ya kuoingana na kanuni za kiislamu
LInapata support kubwa kutoka kwa wazungu na kupinga sheria za kiislamu , hawa wanatetea haki za ushoga na kwa makusudi wanapinga shwria zoye za kiislamu, kwa kofupi ni moja ya sinema za wazungu katika kupigana na uislamu
DilutedUislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Pichani ni waislamu wa uk wakifuragia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
tatizo waislam ni wabishi hawajui nyakati, ukiwaambia hata dini yao itaathiriwa na nyakati wao husema uislam hautabadilikaKatika vitu ambavyo ulimwemgu wa dini hauwezi pambana nao ni MUDA. Muda ni jibu zuri kwa kila jambo chini ya jua.
Leo kumeshakuwa na mitume na manabii ndani ya uislam. Kumeshakuwa na uimbaji wa kaswida wa hovyo tena wanakata mauno kama miziki ya kidunia. Sasa kuna mafuta na maji ya upako misikitini.
Hata kama mnatumia nguvu nyingi kupambana na hivyo vitu ila muda ni jibu la mambo yote.
Tuombe uzima huku yetu yakiwa macho na masikio. Tutaona na kusikia zaidi ya hayo.
Mtu anaweza kujiita muisilamu ila haimaanishi ni muisilamu,si mlisema uislam ni mmoja, sasa hawa wahuni wametoka wapi?
Huko Uarabuni Mashoga hujificha kuogopa kuuwawa lakini wakihamia Nchi za West wanapewa Haki zao na kujitokeza hadharani bila ya kuogopa kuwa Ayatula fulani atawaua.tatizo waislam ni wabishi hawajui nyakati, ukiwaambia hata dini yao itaathiriwa na nyakati wao husema uislam hautabadilika
sio waislam, ni kina nani? Mlisema uislam hauchezewi, hao wanaochezea wametoka wapi, bakora fatwaa ziko wapi muwashughulikie? Hao wa ulaya hamtaweza kuwashughulikia, mtaweza kushughulikia waswahili wenzenuMtu anaweza kujiita muisilamu ila haimaanishi ni muisilamu,
Unafikiri unaweza ukaandamana na mashoga halafu ukaenda mskitini? Utakula mbata za kutosha tu ukikaribia huo msikiti.
Hao wote unaowaona hapo sio waisilamu kisheria.
Hayo mambo hayajaanza jana wala leo, miaka na miaka yapo, mengi ya hayo makundi yameanzishwa na Uingereza wakati wanatawala India, yamefanya nini kwenye uisilamu? Nothing.sio waislam, ni kina nani? Mlisema uislam hauchezewi, hao wanaochezea wametoka wapi, bakora fatwaa ziko wapi muwashughulikie? Hao wa ulaya hamtaweza kuwashughulikia, mtaweza kushughulikia waswahili wenzenu
Ulishamuona mke wa MBS?waislamu wakike wanajifunika nywele, pichani hawajafanya hivo
ni wazi kuwa hao sio waislamu