Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakristo hawatashangaa wala kufadhaika dini/imani yao itakapopatwa na changamoto za kuporomoka kwa maadili yake, hiyo ilitabiriwa kutokea kwa nyakati hizo. Mambo ya ajabuajabu yamatokea lakini ukristo uko imara hautikisikiUmejuaje kama huyo aliyeleta mada ni Mkristo? Muda ni jibu la mambo yote.
hata taleban watachinjwaHao Mashoga wa Kiislamu wakikutana na Hezbola na Hamas wanachinjwa wote.
FaizaFoxyUislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Pichani ni waislamu wa uk wakifuragia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
Kama ndivyoHao si waislam, ni kikundi kidogo cha wahuni tu ambao wamejikusanya na kufanya huu upuuzi hapo,,
Kwani uislamu unasemaji juu ya mashoga,?
MFANYAJI NA MFANYWAJI WOTE WAPIGWE MAWE HADI KUFA, sasa kama ndio ipo hivyo hao wahuni wanatoka wapi na wanatumia kigezo gani,,,
Hata kwa picha tu unaona kabisa kuwa ni uongo huo unatengenezwa na kupewa nguvu na media
Ndio maana waislam wanataka sheria za kiislam duniani kote ili mashoga, wazinifu wapigwe mawe mpaka wafe hadharani . Kwa sasa hivi TV zote ziwe live. Wakiristo nyinyi itakuwa hahiwahusu hio kwa ajili ya waislam tu
FaizaFoxy Ritz Evelyn SaltHiki kiarabu cha katikati ni Kishoga maarufu lakini pia anaswali sana na Azana anapiga vizuri tu
View attachment 3140672View attachment 3140673
Kuna ndugu yako katika imani huko UK anapakuliwa samadiNdio maana waislam wanataka sheria za kiislam duniani kote ili mashoga, wazinifu wapigwe mawe mpaka wafe hadharani . Kwa sasa hivi TV zote ziwe live. Wakiristo nyinyi itakuwa hahiwahusu hio kwa ajili ya waislam tu
Mbona zbar, pemba, Tanga, mombasa ushoga, ubasha na ufiraji umekubuhu?!Vyakula vya UK sio poa
Vinafanya mabadiliko fasta
Acha waolewe tu
AlauakbaruMbona zbar, pemba, Tanga, mombasa ushoga, ubasha na ufiraji umekubuhu?!
Shida ni chakula?
Katika sheria ya dini ya uislam kuna mambo ukiyafanya umeshatoka nje ya uislam na SIO MUISLAM TENA yani UMEKUFURU.Ni kweli ila cha kushangaza kuna WANAFIQ humu wanasema hao si Waislam na Hakuna Muislam Shoga🤣🤣🤣
Umesema kweli.Katika vitu ambavyo ulimwemgu wa dini hauwezi pambana nao ni MUDA. Muda ni jibu zuri kwa kila jambo chini ya jua.
Leo kumeshakuwa na mitume na manabii ndani ya uislam. Kumeshakuwa na uimbaji wa kaswida wa hovyo tena wanakata mauno kama miziki ya kidunia. Sasa kuna mafuta na maji ya upako misikitini.
Hata kama mnatumia nguvu nyingi kupambana na hivyo vitu ila muda ni jibu la mambo yote.
Tuombe uzima huku yetu yakiwa macho na masikio. Tutaona na kusikia zaidi ya hayo.
Juma lokole mbona anaingia msikitini na hakuna wa kumgusa?Mtu anaweza kujiita muisilamu ila haimaanishi ni muisilamu,
Unafikiri unaweza ukaandamana na mashoga halafu ukaenda mskitini? Utakula mbata za kutosha tu ukikaribia huo msikiti.
Hao wote unaowaona hapo sio waisilamu kisheria.
Vyakula havina shida, wamekuja kwenye nchi ya watu wamekuta tamaduni zao, zime wa consumeVyakula vya UK sio poa
Vinafanya mabadiliko fasta
Acha waolewe tu
Kwenye uisilamu ili mtu awe classified kama shoga inabidi watu wanne wazima wenye akili zao timamu washuhudie hicho kitendo, mtu kuwa na tabia tabia za kike haimaanishi ni shoga, kumdhania vibaya mwanadamu mwenzako pia si tabia nzuri.Juma lokole mbona anaingia msikitini na hakuna wa kumgusa?
sijamuona, ila hata kama hafuniki nywele zake haimaanishi uislamu umeruhusu hivoUlishamuona mke wa MBS?
Hizo.ni blah blah na hadithi ila jiandaeni kwa anguko kubwa la maadili linalokuja. Tutaona mengi. Muda ni jawabu tosha.Kwenye uisilamu ili mtu awe classified kama shoga inabidi watu wanne wazima wenye akili zao timamu washuhudie hicho kitendo, mtu kuwa na tabia tabia za kike haimaanishi ni shoga, kumdhania vibaya mwanadamu mwenzako pia si tabia nzuri.