Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Status
Not open for further replies.
Uislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.

Pichani ni waislamu wa uk wakifurahia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
View attachment 3140946
HAYA NI MABWABWA KAMA UNAVYOWAONA AKINA.......Hovyo sana.

Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
Screenshot_2024-10-18-08-28-31-140_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
    Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
    130.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
    Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
    81 KB · Views: 3
  • Screenshot_2024-10-18-08-28-31-140_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
    Screenshot_2024-10-18-08-28-31-140_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
    212.6 KB · Views: 3
Uislam ambao umemtaka mwanamke kujistiri,wanaume wawe rijali kwa maana wawaendee wanawake na sio kuwaendea wanaume wenzao au wanawake tofouti na maumbile yao..hicho kitakua kikundi kama vikundi vingine vya hovyo vya kudhalilisha uislam
 
Katika sheria ya dini ya uislam kuna mambo ukiyafanya umeshatoka nje ya uislam na SIO MUISLAM TENA yani UMEKUFURU.
Kama unataka urudi kuwa muislam uache hilo jambo na UTAMKE TENA SHAHADA na UTUBU.
Mathalan ushoga.
Ukishakua shoga wewe UMESHAKUFURU NA KUUACHA UISLAM.
Labda uache ushoga,utubu na UTAMKE TENA SHAHADA ndio utapokelewa tena kuwa muislam.
Sheria ya UISLAM ipo hivyo.
Kwahiyo HAO SIO WAISLAM NI MAKAFIRI.
Vipi kuhusu walevi, wanafiki, wezi, wazinifu, wuaji manake hao wamejaa kila sehemu na wengine ni masheikh wakubwa na maharufu. Je nao si Waislamu?
 
Hilo lililoshika bango linafurahia maandamano, lingekuwa lipo kwenye nchi ya kiislam wangemshughulikia
 
HUo ucjafu ni jambo la kawaida sana kwa Waarabu. Tofauti ya Waarabu na wazungu, waarabu hiyo tabia chafu ya kupitia mlango usiofaa, wengi wamekuwa wanawafanyia wanawake, wachache wanawafanyoa hata wanaume; wakati wazungu zaidi wanawafanyia wanaume kwa wanaume.

Lakini huo uchafu, hasa dhidi ya wanawake, ni kawaida sana kwa waarabu. Ndiyo maana hata huku East Afrika, unakuta hizo tabia ni common sana kwa jamii za pwani, ambako ndiko hasa waarabu waliishi sana.
 
Vipi kuhusu walevi, wanafiki, wezi, wazinifu, wuaji manake hao wamejaa kila sehemu na wengine ni masheikh wakubwa na maharufu. Je nao si Waislamu?
Mlevi ni kosa la kawaida la kuomba toba ukasamehewa.
Ila kuna makosa saba ya kuangamiza ikiwezekana kukufuru kabisa.
1)Kuua.
2)Kula mali ya yatima.
3)Zinaa
4)Kukimbia uwanja wa vita ya jihadi.
5Ushirikina.
Mbili nimezisahau nikizikumbuka nitazitaja.
Wizi ni kitendo cha kutubu na kusamehewa.
Unafiki ni kitu ambacho cha kwanza uislam haukipendi.
Ukiwa mnafiki wewe sio muislam moja kwa moja.
Hata Qur'an imeleta surah ya wanafiki ikiwakemea.
 
Uislam ambao umemtaka mwanamke kujistiri,wanaume wawe rijali kwa maana wawaendee wanawake na sio kuwaendea wanaume wenzao au wanawake tofouti na maumbile yao..hicho kitakua kikundi kama vikundi vingine vya hovyo vya kudhalilisha uislam
Mbona Ayatolah anawaendea Maayatola wenzie.
 
Lakini huo uchafu, hasa dhidi ya wanawake, ni kawaida sana kwa waarabu. Ndiyo maana hata huku East Afrika, unakuta hizo tabia ni common sana kwa jamii za pwani, ambako ndiko hasa waarabu waliishi sana.
Kuna Jamaa yangu aliwahi kutembea na Mwanamke aliyeachwa na Mwarabu anasema alikuwa anavuja 😆😁
 
M
Hao si waislam, ni kikundi kidogo cha wahuni tu ambao wamejikusanya na kufanya huu upuuzi hapo,,
Kwani uislamu unasemaji juu ya mashoga,?
MFANYAJI NA MFANYWAJI WOTE WAPIGWE MAWE HADI KUFA, sasa kama ndio ipo hivyo hao wahuni wanatoka wapi na wanatumia kigezo gani,,,
Hata kwa picha tu unaona kabisa kuwa ni uongo huo unatengenezwa na kupewa nguvu na media
Mbona magomeni,pemb,unguja,tanga nk. Hamhwapigi mawe mana maeneo hayo mashoja yamejaa mitaani.
 
Uislamu haifuati mtu qnavyotaka,ina sheria zake na kanunui zake.Ukienda kinyume na kanuni zake,na sheria zake,automatiki umeshavukiwa katika uislamu.
Uislamu unazidi kupoteza nguvu,vimebaki vikundi vichache vya kigaidi na magaidi kila siku magaidi yanauwawa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom