Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

Status
Not open for further replies.
Ndiyomaana waislamu wameandamana kudai haki ya kufirwa?
Acha kufananisha Uislamu na mashoga wako wa ulaya wewe

A50ACA5E-5366-4EAC-B5C8-70C071FA2909.png


Lete gwaride la wafirwaji kama hilo kutoka Saudi Arabia au Iran, watu wanachezewa vinyeo nyie mnaona ndio uhuru
 
Mashoga wa Kiislamu Uingereza wamechoka kujificha wameamua kujitokeza hadharani.
Shoga hawezi kujificha UK, ile ni nchi ya mashoga ndio maana captain wa vilabu vya mpira wanavaa vitambara vya upinde zile tarehe zao za kutukuza ushoga

A698B4CD-1548-47C6-A5E7-0739F4FAEB90.jpeg

Ushoga na nchi za kizungu ni samaki na maji
 
Uislamu ni dini inayokua kwa kasi ulimwenguni, jamii hiyo imefanya maandamano ya amani kuunga mkono ndoa za jinsia moja.

Pichani ni waislamu wa uk wakifurahia mwenendo wa maandamano.
View attachment 3140563
View attachment 3140946

Usenge utabakia Usenge kitu kilicholaniwa, Dini zote za Kikiristo na Uislam zilikataza kabisa ushenzi huu, ukiristo umejimodify sasa mapadri wasenge wanaruhusiwa. Uislam sheria itabakia hapo hapo mpaka siku ya mwisho.
 
Uislamu unakataza ushoga na kutoa adhabu kali,mbona alitokea mwanamke mmoja aliswalisha mpaka wanaume je ndio uislamu unavyo elekeza hivyo?
 
Alauakbaru


Wote (mashoga na wasagaji) wote wanaenda kinyume na tabia ya kimaumbile (fitrah) ambayo Mwenyezi Mungu ameiumba kwa wanadamu - na pia katika wanyama - ambapo mwanamume anaelekea kwa jike, na kinyume chake.

Yeyote anayekwenda kinyume na hayo anaenda kinyume na tabia ya asili ya mwanadamu, fitrah.
Hatari za ushoga na usagaji
 
WAMESHA KUWA MASHOGA sasa wanaandamani kudai nini tena au wanaandamani ili tuwafahamu au wanamadai gani mengine kama tayari weshakuwa mashoga?
 
Usenge utabakia Usenge kitu kilicholaniwa, Dini zote za Kikiristo na Uislam zilikataza kabisa ushenzi huu, ukiristo umejimodify sasa mapadri wasenge wanaruhusiwa. Uislam sheria itabakia hapo hapo mpaka siku ya mwisho.
Mnapotosha makusudi kwa faida ya nani? Ukristo upi umeruhusu ushoga? Msingi wa Ukristo ni Kristo na sio Papa kwani Papa hana influence yoyote kwenye makanisa mengine zaidi ya Roman peke yake. Na hilo mnafahamu.

Sisi waprotestant hatujui wala hatuhusiki na tamko la Papa. Huwa nawashangaa sana nyie manyangau kila siku Ukristo umeruhusu ushoga na huleti haya hata moja toka kwenye Biblia inayoruhusu ushoga huku mkipambana kuficha tabia za kishoga zinazofanywa na waislamu kwa kuwakataa kuwa sio waislamu.

Mbona mashehe mashoga yapo mengi na yamefunga ndoa msikitini?

Pumbavu huwa mnakera.
 
Uislam ambao umemtaka mwanamke kujistiri,wanaume wawe rijali kwa maana wawaendee wanawake na sio kuwaendea wanaume wenzao au wanawake tofouti na maumbile yao..hicho kitakua kikundi kama vikundi vingine vya hovyo vya kudhalilisha uislam
Wazee wa UNAFIKI kwenye ubora wenu. Mnawakataa wenzenu sio?
 
Allah hajawalinda na Ushoga?!
Toka lini uislam na ushoga vikaenda sambamba, wambie waende nchi za kislam wakalete ushoga wao huo uone kitakacho wapata. Tatizo wapo kwenye nchi za kikristo huko ndio kuna ushoga lazima na wao wawe mashoga .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom