Jamii ya watu weusi inaangamia kwa kupenda miujiza, maajabu na mazingaombwe badala ya kupenda kuwajibika kwa juhudi na maarifa

Nishakutana nayo kwa mamarwakatare mm
Kyna kama unataka safari ya kw3nda ulaya pia,unakaa mkao wa boeing kurukaaa [emoji1] ipo nayo
Kakobe naye ana mambo yake pia

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Watu wanaofuata mambo hayo Wana tatizo la AFYA YA AKILI. Mtu mwenye akili timamu huwezi kuwasikiliza hao matapeli
 
Sio makanisa yote yanafanya mazingaombwe kuna ya UKWELI ndiyo maana yakaja na yamazingaombwe
Siku hizi makanisa karibu yote ni pesa tu na kuhubiri ukuu wa shetani. Fungulia redio zao usiku usikie viroja vyao vya kumkemea shetani na malaika zake. Yaani jina la Yesu linatajwa usiku kucha kukemea pepo as if likitajwa mara Moja haitoshi. Yaani imani yetu ya kikristo imegeuka upumbavu na kichekesho kabisa.
 
Hapo ndipo hatari kubwa inapokuja. If they will succeed to infect the Authorities itakuwa balaa kubwa sana. Dada Tulia Nina Imani kubwa na wewe. Be on your watch kukemea infiltration ya kishetani kupitia muhimili tuliokukabidhi uusimamie.
T ndiyo yuko nao Bega kwa bega

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…