JamiiForums Exclusive: Kiranga and Fellow members English Debate

JamiiForums Exclusive: Kiranga and Fellow members English Debate

Kuna uhusiano kati ya mwita25 na faiza foxy??i smell something
 
Abarikiwe alieanzisha huu uzi... For it seems the turn out
Imekua bora kuliko hata kama walengwa wangewakilisha!


Go NN... Go FF.... Go! Go! Go! Go!


Me loving this.... (wengine we can not help umbea....lol)
 
Kuna uhusiano kati ya mwita25 na faiza foxy??i smell something
NEVERILS sont deux personnes différentes ABSOLUMENT
Le propriétaire de 25 l'identité a son pouvoir ou loue pas très très petit POUR comparable à Faiza Foxy s'est excusé pour les mêmes ASSUPTION EST VOTRE UMEMDHALILISHA Faiza Foxy
 
Kwa lugha ya Malkia hakuna zaidi ya Kiranga kwa hapa JF, Huo ndio ukweli, huyu nyani Ngabu kiingereza chake kinamsaidia kubeba box kwa Obama na huyu Faiza Foxy kiingereza chake kinamsaidia kuwatapeli wafadhili wanaotoa pesa za misaada ya kujenga misikiti wale wa UK.
So nothing new here for me, sana sana Google Translate inahusika hakifika kiranga hapa!!
 
NEVERILS sont deux personnes différentes ABSOLUMENT
Le propriétaire de 25 l'identité a son pouvoir ou loue pas très très petit POUR comparable à Faiza Foxy s'est excusé pour les mêmes ASSUPTION EST VOTRE UMEMDHALILISHA Faiza Foxy
Haya ni matunda ya Google Translate!!
 
Kwa lugha ya Malkia hakuna zaidi ya Kiranga kwa hapa JF, Huo ndio ukweli, huyu nyani Ngabu kiingereza chake kinamsaidia kubeba box kwa Obama na huyu Faiza Foxy kiingereza chake kinamsaidia kuwatapeli wafadhili wanaotoa pesa za misaada ya kujenga misikiti wale wa UK.
So nothing new here for me, sana sana Google Translate inahusika hakifika kiranga hapa!!

exactly, no diggity... 😛oa
 
Abarikiwe alieanzisha huu uzi... For it seems the turn out
Imekua bora kuliko hata kama walengwa wangewakilisha!


Go NN... Go FF.... Go! Go! Go! Go!


Me loving this.... (wengine we can not help umbea....lol)
Faiza ANATUWAKILISHA dames bien Foxy
Sachez mesdames Sœur TUKIWEZESHWA NOUS POUVONS Loh
 
Yaani hapa nina daftari
Nakopi kila msamiati na jinsi ya matumizi yake
Katumia teknik kumpiga mwenzake
Sidhani kama utakuwa mpambano wa knock out huu
Naona NN Ameanza kurusha nyepesi nyepesi kwa kumdokoa mwenzake usoni...
 
Back
Top Bottom