JamiiForums Exclusive: Kiranga and Fellow members English Debate

JamiiForums Exclusive: Kiranga and Fellow members English Debate

Nitaanza kwa kumuhoji mtoa mada kwa nini anafikiri mdahalo kwa kupitia lugha isiyo mantiki wala uwiano wa kihesabu katika sheria za nomino kama Kiingereza unafaa zaidi kuliko katika lugha yenye kueleweka na wengi, iliyo na urahisi wa kueleweka na mantiki lukuki kama Kiswahili?

Zaidi ya hayo, unachotaka kufanya ni nini? Kama unataka kufanya watu wacheze kama wanasesere ili wengine wacheke mie sio kazi yangu na wala ngoma hizo siwezi.

Kama kuna kingine cha ziada tuambizane.

Kingine ist debate life in village is bbter than life in town

Wewe uliyeanzisha thread kwa kutumia jina langu ni mpuuzi, mjinga na punguwani. Una mawazo mgando yaliyochanganyika na chembechembe za uwendawazimu. Ni kinara wa wodi ya vichaa ya hospitali ya Mirembe na hustahili kukabidhiwa kutunza hata kijiko kwasababu utakitafuna.
I gess u dont have your dikshenari today
 
Wewe uliyeanzisha thread kwa kutumia jina langu ni mpuuzi, mjinga na punguwani. Una mawazo mgando yaliyochanganyika na chembechembe za uwendawazimu. Ni kinara wa wodi ya vichaa ya hospitali ya Mirembe na hustahili kukabidhiwa kutunza hata kijiko kwasababu utakitafuna.

Nitaanza kwa kumuhoji mtoa mada kwa nini anafikiri mdahalo kwa kupitia lugha isiyo mantiki wala uwiano wa kihesabu katika sheria za nomino kama Kiingereza unafaa zaidi kuliko katika lugha yenye kueleweka na wengi, iliyo na urahisi wa kueleweka na mantiki lukuki kama Kiswahili?

Zaidi ya hayo, unachotaka kufanya ni nini? Kama unataka kufanya watu wacheze kama wanasesere ili wengine wacheke mie sio kazi yangu na wala ngoma hizo siwezi.

Kama kuna kingine cha ziada tuambizane.

so sad ...nilivyoona hii thread niliifungua kwa mbwembwe nikitarajia kukuta nondo za hawa jamaa( nawakubali)... may be hawakuelewa mantiki ya mwanzishaji..or may be the're not aware of what is going on here in "chit-chat"
mtazamaji kama vipi tafuta wengine and dont exclude NN--miafrikaaaa ......
 
I got my caramel popcorn and my soda pop ready.
Do u have any point of interruption regarding the subject debate and key speakers .

BTN
wich is your side the village or ze town lol
 
Kiranga mimi huwa unaniacha hoi mkuu!Lol!

BTW nasikia wewe unazungumza multiple languages fluently, sikuuliza ni lugha zipi, however you must be a genious, how can you utilize it for our country's benefits?

Have you ever thought about that?

Nchi yetu haiwezi kuendelea mpaka watu wetu watakapoacha kuridhika kirahisi, kama kumuona Kiranga mwanazamivu kama jini-ujuvi kwa sababu tu anaweza kudunga uzi wa sentensi za maneno mazuri.

Nataka kuanzisha kigazeti kinachohusu mambo ya nishati tu. Nishati, matumizi bora ya nishati, nishati na maendeleo vijijini. Njia za kutanua wigo wa nishati mbadala. Kuondoa utegemezi wa kuni vijijini. Kusaidia kinamama waepuke moshi katika kupika. Tunawezaje kunufaika na mifano ya wengine walioanza kabla kutumia nishati mbadala.Na mambo kama hayo.

Kama kipo tayari nitafurahi kukijua ili nijue kipi cha kuongezwa.

Ngoma huanza na lele, na miye hicho kigazeti ndicho kitakuwa lele langu kabla hata kupasuka msamba na makubwa.
 
Oyaaaaa, mbona debate imekwama jamani. Hii thread ni nzuri sana katika kipindi hiki cha mapumziko.

BTW Mwita25 unaruhusiwa kutumia ID yako moja tu katika hii thread.

Haya leteni hoja.
 
Pelekeni upumbavu wenu huko nyie vilaza mnaotaka kuigilizia maneno ya kiingereza kutoka kwa wenzenu. Narudia tena wewe uliyeniweka kwenye debate yako ya kiboya una matege ya ubongo na nakushauri peleka uchafu wako kwa vichaa wenzako pale hospitali ya Mirembe. Naona unajisikia kukunwa upele wako wa kila mara unapoamua kuanzisha thread kwa kutumia jina langu siyo? Pu%@=€ffffffffff
 
Pelekeni upumbavu wenu huko nyie vilaza mnaotaka kuigilizia maneno ya kiingereza kutoka kwa wenzenu. Narudia tena wewe uliyeniweka kwenye debate yako ya kiboya una matege ya ubongo na nakushauri peleka uchafu wako kwa vichaa wenzako pale hospitali ya Mirembe. Naona unajisikia kukunwa upele wako wa kila mara unapoamua kuanzisha thread kwa kutumia jina langu siyo? Pu%@=€ffffffffff

offcourse lazima utoe mitusi...kiranga sio wa kitoto...
 
Mbona wadau mmeshajudge kuwa Mwita25 ndio ana wakati mgumu? Inaweza kuwa opposite, oohoooooo...
 
so sad ...nilivyoona hii thread niliifungua kwa mbwembwe nikitarajia kukuta nondo za hawa jamaa( nawakubali)... may be hawakuelewa mantiki ya mwanzishaji..or may be the're not aware of what is going on here in "chit-chat"
mtazamaji kama vipi tafuta wengine and dont exclude NN--miafrikaaaa ......

For NN naona hata kwenye mambo ya lahaja, tashtiti na takriri yumo, mambo debate kama hizi za kamumbas tayari kashasuha mawe kama ( marquee match up) nipo na dictionary karibu

Where is ze time keeper
 
Back
Top Bottom