JamiiForums Exclusive: Kiranga and Fellow members English Debate

kwa kweli huu mpambano ulikuwa ni unfair kwa Mwita from the get go. Haiwezekani kusema mjadala uwe wa Kiingereza bila kukubaliana tunataka wakuu wetu hawa wazungumzie nini. Kiranga anaweza kuzungumzia masuala ya particle/quantum physics as well as existential questions with such eloquence kama kumeza uji uliowekwa blue band! Mwita anaweza kutetea vizuri sana CCM na mambo yanayofanywa na serikali yake.

Sasa, labda tuwachagulie hoja ya the 'THE FUTURE OF CCM TOWARDS 2015 IS IN STAKE - WILL KIKWETE SAVE HIS PARTY AND THE PRESIDENCY?" Na kutoka hapo wajimwage mwage - assuming the two will take differing positions. Lakini bila kuwapa cha kushindania ni wazi Mwita ataangushwa raundi ya kwanza.
 
Baada ya kutafuta sana ni kwamba anaomba mmruhusu kutuacha na ka furaha ketu hapa bassement tulipo, anaenda kukaa peke yake aweze kuendelea na mazoezi ya kiakili zaidi.
Ahaa, ndio maana. Manaake najaribu kumbeep Mwita25 lakini simu yake inanijibu jamaa izi noti richabo (samahani mteja uliyempigia simu hapatikani)!
 
@ Mwita25 ,@ Kiranga
Jamani mtanisamehe kama nimewakwaza.

Haikuwa nia yangu kutumia hizi alias zenu kwa nia mbaya. Lakini kama jukwaaa lilivyo hii la chitc hat niliweka ujumbe huo nikitgema ktoka na michago yenu nyie mnaweza kuwa chachu ya kukumbusha enzi i zile za debates za kanumbas kama mlipitia huko.
 
Walikua huru kushiriki au kutoshiriki. Kukuripoti au kuto kuripoti...
Asante kwa Kiranga, the enchantment will not be that ephemeral after all...lol
 
chamoto. nadhani

I think so.


Mwita25 si alihamia Chadema? Au kesharudi tena CCM?
 

Kwa mwendo huo wa kwenye red, Mwita25 hatii mguu.......................Mwita25 Chaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Reactions: 3D.
Permit me to gladly grab my sootless sticks out of the hazily hued humidor and evade eerie effable ephemeral enchantments with enviable equanimity while embarking from this putrid pungent pugilists pantomime, to a somber soliloquy of solitary sanity.
Niko na jamaa yangu hapa ni mmarekani, mi niko na laptop nacheka yani mbavu sina, anashangaa, namwambia njoo soma hii halafu unitafsirie, katoka kavu hata yeye!

Hii ni kiingereza ya waingereza wenyewe hii!

Long live Kiranga! Lol!
 
Kiranga said:
Nchi yetu haiwezi kuendelea mpaka watu wetu watakapoacha kuridhika kirahisi, kama kumuona Kiranga mwanazamivu kama jini-ujuvi kwa sababu tu anaweza kudunga uzi wa sentensi za maneno mazuri

Kiranga, si kweli nilisema wewe ni "jini-ujuvi" kwasababu ya "udungaji wa sentensi za maneno mazuri" Isipokuwa kwamba unazungumza lugha zaidi ya nne?Ama si kweli?
 
Ndiyo, kuntu ni neno "rasmi" na lipo kwenye kamusi ya Kiswahili sanifu.

Jifunzeni lugha yenu jamani! Mna lugha nzuri tu tena yenye misamiati mingi lakini hamuipi umuhimu unaostahili.
Ngoja nipange na Mtazamaji tuandae match kati yako na Mzee Mwanakijiji. lol
 
Mwita25 Mbona unawatukana Watu ehhh hutaki kutajwa nini? ukiona watu wanakutaja ujuwe wanakupenda mbona hawanitaji mimi?Mwita25 tulia kama una nyolewa nywele kichwani.
 
offcourse lazima utoe mitusi...kiranga sio wa kitoto...

Umenikumbusha mbali sana, enzi hizo sehemu wakiwepo madogo kama wewe lazima ugomvi utokee, kwani walikuwa na kipaji cha kugombanisha.
Siku hiyo wakishindwa kabisa kugombanisha wenzao basi wataenda kupiganisha majogoo.
 
Na mimi nitaporomosha matusi alafu nasepa. lol

This won't be a one punch knockout kind of fight. It will be a systematic, good ol' fashioned rhetorical beat down.

Using my unorthodox style of mental catch wrestling, I will ground and pound and smash you to smithereens.
 

Mwita25 vp?
Wewe si kila siku unajianzishiaga misledi ya promo? Focus ya promo ni either kukubalika au vise verser, ila promo zako zinaonyesha ku come out with something positive, sasa kwa nini kuwageuka watu wanaokukubali? Kosa lao ni lipi hapo?
Come on, just puta, vuka mstari ulipe ng'ombe zetu kumi na mbili, Kranga ameshaanza kupasha
 
The sheer parochial absurdity of this stale regiment of a thinly disguised chicanery exposes a poor attempt -if not grave wanton for respect of individuals- at humorous serendipitous eccentricities of Piddletrenthide proportions.

umeandika nini hapo juu?
Individuals?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…