Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Ahaa, ndio maana. Manaake najaribu kumbeep Mwita25 lakini simu yake inanijibu jamaa izi noti richabo (samahani mteja uliyempigia simu hapatikani)!Baada ya kutafuta sana ni kwamba anaomba mmruhusu kutuacha na ka furaha ketu hapa bassement tulipo, anaenda kukaa peke yake aweze kuendelea na mazoezi ya kiakili zaidi.
Walikua huru kushiriki au kutoshiriki. Kukuripoti au kuto kuripoti...@ Mwita25 ,@ Kiranga
Jamani mtanisamehe kama nimewakwaza.
Haikuwa nia yangu kutumia hizi alias zenu kwa nia mbaya. Lakini kama jukwaaa lilivyo hii la chitc hat niliweka ujumbe huo nikitgema ktoka na michago yenu nyie mnaweza kuwa chachu ya kukumbusha enzi i zile za debates za kanumbas kama mlipitia huko.
chamoto. nadhani
kwa kweli huu mpambano ulikuwa ni unfair kwa Mwita from the get go. Haiwezekani kusema mjadala uwe wa Kiingereza bila kukubaliana tunataka wakuu wetu hawa wazungumzie nini. Kiranga anaweza kuzungumzia masuala ya particle/quantum physics as well as existential questions with such eloquence kama kumeza uji uliowekwa blue band! Mwita anaweza kutetea vizuri sana CCM na mambo yanayofanywa na serikali yake.
Sasa, labda tuwachagulie hoja ya the 'THE FUTURE OF CCM TOWARDS 2015 IS IN STAKE - WILL KIKWETE SAVE HIS PARTY AND THE PRESIDENCY?" Na kutoka hapo wajimwage mwage - assuming the two will take differing positions. Lakini bila kuwapa cha kushindania ni wazi Mwita ataangushwa raundi ya kwanza.
Hahaha, una hatari.
So what percentage of the purse will go to the bloodied gladiators?
Permit me to gladly grab my sootless sticks out of the hazily hued humidor and evade eerie effable ephemeral enchantments with enviable equanimity while embarking from this putrid pungent pugilists pantomime, to a somber soliloquy of solitary sanity.
Niko na jamaa yangu hapa ni mmarekani, mi niko na laptop nacheka yani mbavu sina, anashangaa, namwambia njoo soma hii halafu unitafsirie, katoka kavu hata yeye!Permit me to gladly grab my sootless sticks out of the hazily hued humidor and evade eerie effable ephemeral enchantments with enviable equanimity while embarking from this putrid pungent pugilists pantomime, to a somber soliloquy of solitary sanity.
Kiranga, si kweli nilisema wewe ni "jini-ujuvi" kwasababu ya "udungaji wa sentensi za maneno mazuri" Isipokuwa kwamba unazungumza lugha zaidi ya nne?Ama si kweli?Kiranga said:Nchi yetu haiwezi kuendelea mpaka watu wetu watakapoacha kuridhika kirahisi, kama kumuona Kiranga mwanazamivu kama jini-ujuvi kwa sababu tu anaweza kudunga uzi wa sentensi za maneno mazuri
Where is the time watcher gaijin
Hivi KUNTU ni neno rasmi? Naliskiaga kwa akina Dina Marios na Gea Habib - Clouds Radio kipindi cha Leo Tena.
Pambano halina posho mwita25 kajitoa.
Ngoja nipange na Mtazamaji tuandae match kati yako na Mzee Mwanakijiji. lolNdiyo, kuntu ni neno "rasmi" na lipo kwenye kamusi ya Kiswahili sanifu.
Jifunzeni lugha yenu jamani! Mna lugha nzuri tu tena yenye misamiati mingi lakini hamuipi umuhimu unaostahili.
Ngoja nipange na Mtazamaji tuandae match kati yako na Mzee Mwanakijiji. lol
Na mimi nitaporomosha matusi alafu nasepa. lolMi nakutaka wewe hapo....
Wapi Don King aandae mpambano mwingine NN vs Mwali
Mwita25 Mbona unawatukana Watu ehhh hutaki kutajwa nini? ukiona watu wanakutaja ujuwe wanakupenda mbona hawanitaji mimi?Mwita25 tulia kama una nyolewa nywele kichwani.Pelekeni upumbavu wenu huko nyie vilaza mnaotaka kuigilizia maneno ya kiingereza kutoka kwa wenzenu. Narudia tena wewe uliyeniweka kwenye debate yako ya kiboya una matege ya ubongo na nakushauri peleka uchafu wako kwa vichaa wenzako pale hospitali ya Mirembe. Naona unajisikia kukunwa upele wako wa kila mara unapoamua kuanzisha thread kwa kutumia jina langu siyo? Pu%@=€ffffffffff
offcourse lazima utoe mitusi...kiranga sio wa kitoto...
Na mimi nitaporomosha matusi alafu nasepa. lol
Pelekeni upumbavu wenu huko nyie vilaza mnaotaka kuigilizia maneno ya kiingereza kutoka kwa wenzenu. Narudia tena wewe uliyeniweka kwenye debate yako ya kiboya una matege ya ubongo na nakushauri peleka uchafu wako kwa vichaa wenzako pale hospitali ya Mirembe. Naona unajisikia kukunwa upele wako wa kila mara unapoamua kuanzisha thread kwa kutumia jina langu siyo? Pu%@=ffffffffff
The sheer parochial absurdity of this stale regiment of a thinly disguised chicanery exposes a poor attempt -if not grave wanton for respect of individuals- at humorous serendipitous eccentricities of Piddletrenthide proportions.