Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
hahahhaa..... Tiger..... Dah!
What game are you playing exactly?:A S 465:
Hey, Tiger is not Tigger. I just thought I'd let you know just in case.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahhaa..... Tiger..... Dah!
What game are you playing exactly?:A S 465:
Acha wivu mbaya, unajuwa maana ya kuprevail?Ushasema mwenzie hakushiri, sasa itakuwaje tena "Kiranga prevailed"?
Ukiongea kizigua cha babaako na kidengeleko cha maamako na Kiswahili ulichokulia unaongea na kizungu cha kujifunza shule hizo ni lugha nne, hiyo inakufanya "genius"?
unajuaje ni mwanachi wa kawaida"?
Au yeye ndio haji utilize kwa nchi yake? Wafanyeje, wamfate nyumbani wamteue Waziri wa lugha nne?
Una ma assumptions kibao mazee, kuwa makini kidogo
Hey, Tiger is not Tigger. I just thought I'd let you know just in case.....
Utajiuwa tu mijitu ilijiuga JF kwa nia zao, hukuona nilipozungumzia kuhusu science?Ama ulidhani ni "Unga unga"?Hapa sikuelewe Jmushi1...inamaana mtu kufahamu lugha nyingi na kuongea bombastics ndio kigezo cha kuwa kiongozi mzuri?
One thing is for sure. Matokeo ya debate hii yako more genuine than kura ya maoni ya Mjengwablog.
Mtazamaji kuna swali. Je, lengo la debate limetimia? Kama halijatimia, je tufanye nini ili litimie?
Nakumbuka hiyo thread, ila watu wanaona udengereko peke yake...Pundit,Blueray,kiranga hawa wanafanana sana,wako deep kwenye Quantum Physics,Mama na Kuhani pia wako deep.Kuna uzi mmoja ulikuwa unahusu Electrons aisee Pundit,mama na kuhani walimwaga shule hadi basi
watu bar wakiagiza kinywaji. wa kwanza akaagiza MARTINS single, mwingine JACK DANIELS double, wa tatu GORDON single, basi dada yetu mtanzania hakuelewa akajua wav wanajitambulisha nae akasema MANKA MUSHI married
OOOH Pourquoi quittez-vous Matola? Restez avec moi ici, nous devons connaître LE GAGNANT DU FRÈRE DE MATCH CE JOUR
Asante Sister AshaDii, mie mzima wa afya. Jana nilijikwaa nikaangukia huku na hadi sasa bado ninavinjari nikimngojea kwa hamu Mwita25 atokee na makombora ya nyuklia!This has to be a debate of the Year....
Askari Kanzu unajua upo wapi? lol (au umepotea njia?)
Habari ya siku Mkuu...
Tukuhitimisha inawezekana tukaonekana hatuko fair. May be Tuelekee ukumbi wa MGM grand no 2 kwenye pambano lingine lilioanzishwa na mlachake huku tukisubiri kuona labda mjumbe mwingine ataibuka na hata sentensi moja.
We unaonaje
Mkuu naona uikuwa umeficha makucha...Mkuu mimi ni mtazamaji tu. Najaribu kumchokonoa Mwita25 ili tuendelee kupata uhondo!
Asante Sister AshaDii, mie mzima wa afya. Jana nilijikwaa nikaangukia huku na hadi sasa bado ninavinjari nikimngojea kwa hamu Mwita25 atokee na makombora ya nyuklia!
Askari kanzu inaelekea ndo heavy weight wa kupambanishwa na Kiranga, NN ndo Mr chairman AKA Mr Speaker, lets have some fun!
Topic sijui ni the same ama vipi? Mtazamaji unaionaje hii?
Mkuu ugladieta huo siuwezi. Afadhali niendelee kutwangana na wakenya flani kule kwenye jukwaa la kimataifa!Askari kanzu inaelekea ndo heavy weight wa kupambanishwa na Kiranga, NN ndo Mr chairman AKA Mr Speaker, lets have some fun!
Topic sijui ni the same ama vipi? Mtazamaji unaionaje hii?
Unashangilia, umeelewa?
hiyo a double s ni nini?
Au ndo maneno komoni tuloyaweka kibindoni kwa ajili ya mikutano
Sounds good
singing the same song
That's perfect!
Hi guys
hahahhaa..... Tiger..... Dah!
What game are you playing exactly?:A S 465:
FF..mr NN kakukimbia kuna Uzi nimeanzisha naona kule ndio anashusha vitu..kwa kua mm nakuaminia mfuate kule kule